Alhamisi, 15 Machi 2018

Maisha Mapya Katika Ufalme - “Papa hapa, Hivi Sasa, Tuungane Pamoja” (Video Rasmi ya Muziki)


Umeme wa Mashariki | Maisha Mapya Katika Ufalme - “Papa hapa, Hivi Sasa, Tuungane Pamoja” (Video Rasmi ya Muziki)

Papa hapa, Hivi Sasa, Tuungane Pamoja

Kwa kupendana, sisi ni familia. Ah … ah …
Papa hapa, hivi sasa, tunaungana; kusanyiko la watu wampendao Mungu.
Bila upendeleo, tukishikizwa kwa karibu, furaha na utamu vikijaza nyoyo zetu.
Jana tuliacha majuto na hatia; leo tunaelewana, tunaishi katika upendo wa Mungu.
Pamoja, tuna furaha zaidi, huru kutoka kwa mwili. Ndugu zangu, pendaneni; sisi ni familia moja.
Bila upendeleo, tukishikizwa kwa karibu, Ah … ah …

Papa hapa, hivi sasa, tunaungana; kusanyiko la watu kote ulimwenguni.
Mwanzo tukiwa tumepotoshwa lakini tumeokolewa na Mungu. Tuna lugha moja na moyo mmoja, nia moja.
Tukishiriki hisia za tulipokuwa tumetengana; na uzoefu na maarifa tuliyonayo.
Sasa tumeshika mwendo adhimu wa maisha, mbele yetu, maisha anisi ya baadaye yaliyojaa tumaini na mng'aro.
Wakati anisi ujao, uliojaa mng'aro. Ah … ah …
Papa hapa, hivi sasa, tunaungana; lakini hivi punde tutakuwa tumetengana.
Hali tumetwishwa mizigo ya kazi na mapenzi ya Mungu, tutatengana kwa ajili ya kazi ya Mungu.
Tunapokusanyika, sisi hucheka na kuongea kwa furaha; tunapoondoka, tunatumainishana.
Upendo wa Mungu, chanzo chetu cha kuwa watiifu hadi mwisho.
Kwa maisha mazuri ya baadaye, tutafanya lolote tutakaloweza.
Kwa maisha mazuri ya baadaye, tutafanya lolote tutakaloweza.
kutoka kwa Mfuateni Mwanakondoo na Kuimba Nyimbo Mpya
Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, neema

Umeme wa Mashariki, Kanisa la Mwenyezi Mungu lilianzishwa kwa sababu ya kuonekana na kazi ya Mwenyezi Mungu, ujio wa pili wa Bwana Yesu, Kristo wa siku za mwisho. Linashirikisha wale wote ambao wanaikubali kazi ya Mwenyezi Mungu katika siku za mwisho na ambao wameshindwa na kuokolewa kwa maneno Yake. Liliasisiwa kikamilifu na Mwenyezi Mungu mwenyewe na linaongozwa naye kama Mchungaji. Kwa hakika halikuanzishwa na mtu. Kristo ni ukweli, njia, na uzima. Kondoo wa Mungu husikia sauti ya Mungu. Mradi unasoma maneno ya Mwenyezi Mungu, utaona kuwa Mungu ameonekana.


0 评论:

Chapisha Maoni