Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Neno-Laonekana-katika-Mwili. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Neno-Laonekana-katika-Mwili. Onyesha machapisho yote
Jumapili, 23 Juni 2019
Maneno ya Mungu | Sura ya 43
Maneno ya Mungu | Sura ya 43
Je, Sijawakumbusha? Msiwe wenye hofu; ninyi hamjanisikiliza tu, watu wasio na fikira ninyi! Je, mtaweza kuuelewa moyo Wangu lini? Kila siku kuna nuru mpya, kila siku kuna mwanga mpya. Ni mara ngapi mmeuelewa kwa ajili yenu wenyewe? Je, Sijawaambia Mwenyewe? Bado ninyi ni wa kukaa tu kama wadudu ambao watasonga tu wanaposukumwa,...
Jumamosi, 22 Juni 2019
Sauti ya Mungu | Sura ya 42
By wangbaoxinJuni 22, 2019kanisa, Neno-Laonekana-katika-Mwili, Roho- Mtakatifu, Upendo-wa-Mungu, VitabuNo comments

Sauti ya Mungu | Sura ya 42
Jinsi gani matendo ya Mwenyezi Mungu yalivyo makuu! Jinsi ilivyo ya ajabu! Jinsi ilivyo ya kushangaza! Tarumbeta saba zinatoa sauti, ngurumo saba zinatolewa, bakuli saba zinamwangwa—hii itadhihirika wazi mara moja na hakuwezi kuwa na shaka. Upendo wa Mungu huja juu yetu kila siku na ni Mwenyezi Mungu pekee Anayeweza...
Ijumaa, 21 Juni 2019
Maneno ya Mungu | Sura ya 41
Maneno ya Mungu | Sura ya 41
Kuhusu shida zinazoibuka kanisani, usiwe na mashaka mengi. Kanisa linapojengwa haiwezekani kuepuka makosa, lakini usiwe na wasiwasi unapokabiliwa na shida hizo; kuwa mtulivu na makini. Sijawaambia hivyo? Omba Kwangu mara nyingi, na Nitakuonyesha kwa wazi nia Zangu. Kanisa ni moyo Wangu na ni lengo Langu la msingi,...
Alhamisi, 20 Juni 2019
Maneno ya Mungu | Sura ya 40
By wangbaoxinJuni 20, 2019hukumu, kanisa, maneno-ya-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, Ukweli, VitabuNo comments

Maneno ya Mungu | Sura ya 40
Kwa nini ninyi ni wa mwendo wa polepole? Kwa nini hamsikii? Makumbusho kadhaa hayajawazindua; hili linanihuzunisha. Kwa kweli Sipendi kuwaona wanangu namna hii. Moyo Wangu unawezaje kustahimili hili? Ah! Lazima Niwafundishe kwa mkono Wangu mwenyewe. Mwendo Wangu unaendelea kuwa wa kasi. Wanangu! Inukeni haraka...
Jumatano, 19 Juni 2019
Sauti ya Mungu | Sura ya 39
By wangbaoxinJuni 19, 2019Mwenyezi-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, sauti-ya-Mungu, Ukweli, VitabuNo comments

Sauti ya Mungu | Sura ya 39
Fungua macho yako na uangalie na unaweza kuona nguvu Zangu kuu kila mahali! Unaweza kuwa na uhakika na Mimi kila mahali. Ulimwengu na anga unaeneza nguvu Zangu kuu. Maneno ambayo Nimenena yametimia katika ongezeko la joto la hali ya hewa, mabadiliko ya hali ya hewa, vioja vya watu, ulemavu wa elimumwendo...
Jumanne, 18 Juni 2019
Maneno ya Mungu | Sura ya 38
By Mwenyezi Mungu ni Mchungaji WanguJuni 18, 2019baraka, Kazi-ya-Mungu, maneno-ya-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, Ufalme, VitabuNo comments

Maneno ya Mungu | Sura ya 38
Si kwamba imani yako ni nzuri au safi, lakini badala yake, kazi Yangu ni ya ajabu! Kila kitu ni kwa sababu ya rehema Zangu! Hupaswi kuwa na tabia potovu ya ubinafsi au kiburi hata kidogo, vinginevyo kazi Yangu kwako haitaendelea. Lazima uelewe wazi kwamba iwapo watu wanaanguka au kusimama imara si kwa sababu yao,...
Jumapili, 16 Juni 2019
Maneno ya Mungu | Sura ya 36
By wangbaoxinJuni 16, 2019hukumu, maneno-ya-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, Ufalme, utukufu, VitabuNo comments

Maneno ya Mungu | Sura ya 36
Mwenyezi Mungu wa kweli, Mfalme katika kiti cha enzi, hutawala ulimwengu mzima, Anakabiliana na mataifa yote na watu wote, kila kitu chini ya mbingu hung’aa kwa utukufu wa Mungu. Viumbe vyote hai katika miisho ya ulimwengu vitaona. Milima, mito, maziwa, ardhi, bahari na viumbe vyote viishivyo, katika nuru ya uso...
Jumamosi, 15 Juni 2019
Sauti ya Mungu | Sura ya 35
By Mwenyezi Mungu ni Mchungaji WanguJuni 15, 2019hukumu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, sauti-ya-Mungu, Ukweli, VitabuNo comments

Sauti ya Mungu | Sura ya 35
Ngurumo saba zinatoka kwenye kiti cha enzi, zinautikisa ulimwengu, zinageuza mbingu na ardhi, na zinavuma angani! Sauti hiyo inapenya sana kiasi kwamba watu hawawezi kuepuka wala kujificha. Nuru ya ghafla ya umeme na sauti ya radi zinatumwa mbele, zikiiangusha chini mbingu na ardhi papo hapo, na watu wamekaribia kufa....
Ijumaa, 14 Juni 2019
Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Sura ya 34
By wangbaoxinJuni 14, 2019kanisa, Matamshi-ya-Mwenyezi-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, ushuhuda, VitabuNo comments

Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Sura ya 34
Mwenyezi Mungu ni mwenye nguvu zote , mwenye kutimiliza yote na Mungu wa kweli kabisa! Habebi tu nyota saba, ana Roho saba, ana macho saba, anafungua mihuri saba na kufungua hati ya kukunja yenye maandishi, lakini zaidi ya hayo Yeye anaendesha mapigo saba na vikasa saba na kufungua radi...
Alhamisi, 13 Juni 2019
Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Sura ya 33
By Mwenyezi Mungu ni Mchungaji WanguJuni 13, 2019kazi-ya-Roho-Mtakatifu, Kristo, Matamshi-ya-Mwenyezi-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, VitabuNo comments

Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Sura ya 33
Ufalme Wangu unawahitaji wale ambao ni waaminifu, wasio wanafiki, na wasio wadanganyifu. Je, si watu wenye moyo safi na waaminifu duniani hawapendwi na watu? Mimi ni kinyume kabisa cha jinsi ilivyo. Inakubalika kwa watu waaminifu kuja Kwangu; Nafurahia mtu wa aina hii, pia Ninamhitaji mtu wa aina hii....
Jumatano, 12 Juni 2019
Sauti ya Mungu | Sura ya 32
By Mwenyezi Mungu ni Mchungaji WanguJuni 12, 2019kazi-ya-Roho-Mtakatifu, maneno-ya-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, sauti-ya-Mungu, VitabuNo comments

Sauti ya Mungu | Sura ya 32
Mwanga ni nini? Katika siku za nyuma kwa kweli mliuona mbadiliko wa kazi ya Roho Mtakatifu kama mwanga. Kuna mwanga wa kweli wakati wote, unaojumuisha ninyi kupata kile Mungu alicho kupitia kwa kunikaribia na kushirikiana na Mimi; kuwa na utambuzi katika maneno ya Mungu na kufahamu mapenzi ya Mungu katika maneno Yake—yaani,...
Jumanne, 11 Juni 2019
Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Sura ya 31
By ye.fengJuni 11, 2019maisha, mapenzi-ya-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, Ujenzi-wa-kanisa, VitabuNo comments

Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Sura ya 31
Ninawapenda wale wote wanaonitaka Mimi kwa dhati. Mkilenga kunipenda, hakika Nitawabariki kwa kiasi kikubwa. Je, mnaelewa nia Zangu? Katika nyumba Yangu, hakuna tofauti kati ya hali ya juu na chini. Kila mtu ni mwanangu, Mimi ni Baba yenu, Mungu wenu. Mimi ni mkuu na wa pekee. Ninadhibiti kila...
Sauti ya Mungu | Sura ya 30
By Mwenyezi Mungu ni Mchungaji WanguJuni 11, 2019kanisa, Mkate-wa-kila-Siku, Neno-Laonekana-katika-Mwili, sauti-ya-Mungu, VitabuNo comments

Sauti ya Mungu | Sura ya 30
Amkeni, ndugu! Amkeni, kina dada! Siku Yangu haitakawishwa; wakati ni uhai, na kuushika wakati ni kuokoa uhai! Wakati hauko mbali sana! Mkifanya mitihani ya kuingia katika chuo kikuu na msipite, mnaweza kujaribu tena na mubukue kwa ajili ya mtihani. Hata hivyo, siku Yangu haitakuwa na ucheleweshaji kama huo. Kumbuka!...
Jumapili, 9 Juni 2019
Maneno ya Mungu | Sura ya 29
By Mwenyezi Mungu ni Mchungaji WanguJuni 09, 2019maneno-ya-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, Ukweli, VitabuNo comments


Maneno ya Mungu | Sura ya 29
Je, ulijua kwamba wakati uko karibu? Hivyo kwa muda mfupi wa hivi karibuni utanitegemea Mimi na kuyatupilia mbali mambo yote kutoka kwako ambayo hayalingani na tabia Yangu: upumbavu, upole wa kuonyesha hisia, mawazo yasiyo wazi, moyo...
Jumamosi, 8 Juni 2019
Maneno ya Mungu | Sura ya 28
By Mwenyezi Mungu ni Mchungaji WanguJuni 08, 2019kazi-ya-Roho-Mtakatifu, maneno-ya-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, siku-za-mwisho, VitabuNo comments

Maneno ya Mungu | Sura ya 28
Unaona kwamba muda ni mfupi sana na kazi ya Roho Mtakatifu inavurumisha mbele, ikikusababisha kupata baraka kubwa hivi, kumpokea Mfalme wa ulimwengu, Mwenyezi Mungu, ambaye ni Jua ling’aalo, Mfalme wa ufalme—hii yote ni neema na huruma Yangu. Kuna nini kinachoweza kuwepo kinachoweza kukutoa kwa upendo Wangu? Tafakari...
Ijumaa, 7 Juni 2019
Sauti ya Mungu | Sura ya 27
By Mwenyezi Mungu ni Mchungaji WanguJuni 07, 2019Neno-Laonekana-katika-Mwili, Roho-Mtakatifu, sauti-ya-Mungu, ushuhuda, VitabuNo comments

Sauti ya Mungu | Sura ya 27
Mungu mmoja wa kweli anayetawala vitu vyote katika ulimwengu—Kristo mwenyezi! Huu ndio ushuhuda wa Roho Mtakatifu, ni ushahidi dhahiri! Roho Mtakatifu anafanya kazi kuwa na ushuhuda kila mahali, ili kusiwe na mtu yeyote mwenye shaka yoyote. Mfalme wa ushindi, Mwenyezi Mungu! Yeye ameushinda ulimwengu, Ameishinda dhambi...
Alhamisi, 6 Juni 2019
Maneno ya Mungu | Sura ya 26
By Mwenyezi Mungu ni Mchungaji WanguJuni 06, 2019hukumu, kazi-ya-Roho-Mtakatifu, maneno-ya-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, VitabuNo comments

Maneno ya Mungu | Sura ya 26
Wanangu, yatilieni maanani maneno Yangu, sikiliza kwa utulivu sauti Yangu na Nitafichua kwako. Uwe na utulivu ndani yangu, kwa maana Mimi ni Mungu wako, Mkombozi wenu wa pekee. Mnatakiwa kutuliza mioyo yenu nyakati zote, mkae ndani yangu; Mimi ni mwamba wako, msaidizi wenu. Msiwe na nia nyingine, lakini mnitegemee...
Jumanne, 4 Juni 2019
Sauti ya Mungu | Sura ya 25
By Mwenyezi Mungu ni Mchungaji WanguJuni 04, 2019Neno-Laonekana-katika-Mwili, sauti-ya-Mungu, utukufu, Vitabu, wokovu-wa-MunguNo comments


Sauti ya Mungu | Sura ya 25
Mwenyezi Mungu, Baba wa Milele, Mfalme wa Amani, Mungu wetu Anatawala! Mwenyezi Mungu anaweka miguu Yake kwenye Mlima wa Mizeituni. Uzuri ulioje! Sikiliza! Sisi walinzi tunapaza sauti zetu: tunaimba kwa pamoja kwa sauti zetu, kwa kuwa Mungu...
Jumatatu, 3 Juni 2019
Maneno ya Mungu | Sura ya 24
By Mwenyezi Mungu ni Mchungaji WanguJuni 03, 2019kanisa, maneno-ya-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, Ukweli, VitabuNo comments

Maneno ya Mungu | Sura ya 24
Wakati unakaribia hata zaidi. Amkeni! Watakatifu wote! Nitawatamkia ninyi. Wote wanaosikia wataamka. Mimi ni Mungu ambaye mmekuwa na imani katika kwa miaka hii mingi. Leo nimekuwa mwili na kuja mbele ya macho yenu, na hii inafichua yule ambaye ananitaka kwa kweli, ambaye yuko tayari kulipa gharama yoyote kwa ajili...
Jumapili, 2 Juni 2019
Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Sura ya 23
By Mwenyezi Mungu ni Mchungaji WanguJuni 02, 2019hukumu, Matamshi-ya-Mwenyezi-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, Ukweli, VitabuNo comments


Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Sura ya 23
Kwa ndugu wote ambao wameisikia sauti Yangu: Mmeisikia sauti ya hukumu Yangu kali na mmevumilia mateso yaliyokithiri. Hata hivyo, mnapaswa kujua kwamba katika sauti Yangu kali kumejificha nia Zangu! Ninawafundisha nidhamu ili...