Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo utukufu. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo utukufu. Onyesha machapisho yote
Jumapili, 16 Juni 2019
Maneno ya Mungu | Sura ya 36
By wangbaoxinJuni 16, 2019hukumu, maneno-ya-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, Ufalme, utukufu, VitabuNo comments

Maneno ya Mungu | Sura ya 36
Mwenyezi Mungu wa kweli, Mfalme katika kiti cha enzi, hutawala ulimwengu mzima, Anakabiliana na mataifa yote na watu wote, kila kitu chini ya mbingu hung’aa kwa utukufu wa Mungu. Viumbe vyote hai katika miisho ya ulimwengu vitaona. Milima, mito, maziwa, ardhi, bahari na viumbe vyote viishivyo, katika nuru ya uso...
Jumanne, 4 Juni 2019
Sauti ya Mungu | Sura ya 25
By Mwenyezi Mungu ni Mchungaji WanguJuni 04, 2019Neno-Laonekana-katika-Mwili, sauti-ya-Mungu, utukufu, Vitabu, wokovu-wa-MunguNo comments


Sauti ya Mungu | Sura ya 25
Mwenyezi Mungu, Baba wa Milele, Mfalme wa Amani, Mungu wetu Anatawala! Mwenyezi Mungu anaweka miguu Yake kwenye Mlima wa Mizeituni. Uzuri ulioje! Sikiliza! Sisi walinzi tunapaza sauti zetu: tunaimba kwa pamoja kwa sauti zetu, kwa kuwa Mungu...
Alhamisi, 9 Mei 2019
Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Sura ya 3
By Mwenyezi Mungu ni Mchungaji WanguMei 09, 2019hukumu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, Ukombozi, utukufu, VitabuNo comments


Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Sura ya 3
Mfalme wa ushindi hukaa juu ya kiti Chake cha enzi cha utukufu. Yeye Ametimiza ukombozi na kuongoza watu Wake wote kuonekana katika utukufu. Yeye hushikilia ulimwengu mikononi Mwake kwa hekima Yake ya uungu na uweza Yeye Amejenga...
Jumanne, 1 Januari 2019
Neno la Mungu | "Maana ya Kuwa Mwanaadamu Halisi" (Official Video)
Neno la Mungu | "Maana ya Kuwa Mwanaadamu Halisi" (Official Video)
Mwenyezi Mungu anasema, "Hata hivyo unapaswa kujua, wanadamu Nilioumba walikuwa watu watakatifu na wenye mfano Wangu na utukufu Wangu. Hapo awali hawakuwa wa Shetani, wala hawakukabiliwa na kukanyagwa kwake, bali walikuwa tu udhihirisho Wangu, walikuwa huru kutokana...
Jumatatu, 30 Aprili 2018
Neno la Mungu "Ngurumo Saba Zatoa Sauti - Zikitabiri Kuwa Injili ya Ufalme Itaenea Kote Ulimwenguni"
By UnknownAprili 30, 2018Israeli, Mungu, Umeme-wa-Mashariki, Usomaji-wa-Maneno-ya-Mwenyezi-Mungu, utukufu, VideoNo comments


Neno la Mungu "Ngurumo Saba Zatoa Sauti - Zikitabiri Kuwa Injili ya Ufalme Itaenea Kote Ulimwenguni"
Utambulisho
Mwenyezi Mungu alisema, “Wakati nuru ya Mashariki inapong’aa polepole tu ndipo giza kote duniani litaanza kugeuka na kuwa nuru, na hapo tu ndipo mwanadamu...
Ijumaa, 9 Machi 2018
Umeme wa Mashariki | Njia… (4)
By UnknownMachi 09, 2018mafunzo-ya-ufalme, neema-ya-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, utukufuNo comments


Umeme wa Mashariki | Njia… (4)
Mwenyezi Mungu alisema, Kwamba watu wanaweza kugundua kupendeza kwa Mungu, kutafuta njia ya kumpenda Mungu katika enzi hii, na kwamba wako radhi kukubali mafunzo ya ufalme wa leo—hii yote ni neema ya Mungu na hata zaidi, ni Yeye ndiye anawainua...
Jumatano, 7 Machi 2018
Swahili Christian Song "Ni Furaha Kuu kuwa Mtu Mwaminifu" | Mbinguni ni mahali pa mtu mwaminifu
By UnknownMachi 07, 2018Msururu-wa-MV-za-Ufalme, ndugu-na-dada, nyimbo-za-sifa, utukufu, VideoNo comments


Swahili Christian Song "Ni Furaha Kuu kuwa Mtu Mwaminifu" | Mbinguni ni mahali pa mtu mwaminifu
Kuelewa ukweli huiachilia huru roho ya mtu
na kumfanya mtu kuwa mwenye furaha.
Nimejazwa na imani katika neno la Mungu na sina shaka.
Mimi niko bila uhasi wowote,
sirudi...
Jumatatu, 29 Januari 2018
Ukaribisheni Urejeaji wa Bwana Yesu | Sifa na Ibada “Mungu Ameleta Utukufu Wake Mashariki”
By UnknownJanuari 29, 2018Mungu, siku-za-mwisho, Ukombozi, utukufu, Video, Video-za-UzoefuNo comments


Mungu Ameleta Utukufu Wake Mashariki
Mungu aliipa Israeli utukufu Wake kisha Akauhamisha mbali na pale,
na kuwaleta Waisraeli na kuwaleta watu wote Mashariki.
Mungu amewaelekeza wote kwenye mwanga
ili waweze kuungana tena na kuwa pamoja na mwanga,
wasilazimike kuutafuta...