Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Ufalme. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Ufalme. Onyesha machapisho yote
Jumanne, 18 Juni 2019
Maneno ya Mungu | Sura ya 38
By Mwenyezi Mungu ni Mchungaji WanguJuni 18, 2019baraka, Kazi-ya-Mungu, maneno-ya-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, Ufalme, VitabuNo comments

Maneno ya Mungu | Sura ya 38
Si kwamba imani yako ni nzuri au safi, lakini badala yake, kazi Yangu ni ya ajabu! Kila kitu ni kwa sababu ya rehema Zangu! Hupaswi kuwa na tabia potovu ya ubinafsi au kiburi hata kidogo, vinginevyo kazi Yangu kwako haitaendelea. Lazima uelewe wazi kwamba iwapo watu wanaanguka au kusimama imara si kwa sababu yao,...
Jumapili, 16 Juni 2019
Maneno ya Mungu | Sura ya 36
By wangbaoxinJuni 16, 2019hukumu, maneno-ya-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, Ufalme, utukufu, VitabuNo comments

Maneno ya Mungu | Sura ya 36
Mwenyezi Mungu wa kweli, Mfalme katika kiti cha enzi, hutawala ulimwengu mzima, Anakabiliana na mataifa yote na watu wote, kila kitu chini ya mbingu hung’aa kwa utukufu wa Mungu. Viumbe vyote hai katika miisho ya ulimwengu vitaona. Milima, mito, maziwa, ardhi, bahari na viumbe vyote viishivyo, katika nuru ya uso...
Jumanne, 7 Mei 2019
Maneno ya Mungu kwa Ulimwengu Mzima | Sura ya 1
By ye.fengMei 07, 2019maneno-ya-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, Ufalme, Ujenzi-wa-kanisa, VitabuNo comments


Maneno ya Mungu kwa Ulimwengu Mzima | Sura ya 1
Je, wale wanaoshuhudia maneno Yangu huyakubali kwa kweli? Je, mnanijua kwa kweli? Mmejifunza utiifu kweli? Ninyi hutumia rasilimali kwa ajili Yangu kwa uaminifu? Mmekuwa na ushuhuda thabiti, usiokubali kushindwa Kwangu...
Jumapili, 5 Mei 2019
Maneno ya Mungu kwa Ulimwengu Mzima | Wimbo wa Ufalme
Maneno ya Mungu kwa Ulimwengu Mzima | Wimbo wa Ufalme
Watu wanishangilia Mimi, watu wananisifu Mimi; midomo yote inataja Mungu mmoja wa kweli, watu wote wainua macho yao kutazama matendo Yangu. Ufalme washuka duniani, nafsi Yangu ni tajiri na yenye wingi. Ni nani hangesherehekea haya? Nani hangecheza kwa furaha kwa ajili ya haya? Ee, Sayuni! Inua...
Jumatatu, 25 Machi 2019
Wimbo wa Kusifu na Kuabudu 2019 | “Watu wa Mungu wa Mataifa Yote Huonyesha Hisia Zao Kama Mtu Mmoja” | Praise and Thank God's Love
Wimbo wa Kusifu na Kuabudu 2019 | “Watu wa Mungu wa Mataifa Yote Huonyesha Hisia Zao Kama Mtu Mmoja” | Praise and Thank God's Love
Uangalie ufalme wa Mungu, ambako Mungu anatawala juu ya yote.
Kutoka wakati uumbaji ulipoanza mpaka siku ya sasa,
wana wa Mungu waliongozwa wakipitia taabu.
Katika milima na mabonde walienda. Lakini sasa katika nuru...
Jumatatu, 18 Machi 2019
Maneno ya Mungu kwa Ulimwengu Mzima | Sura ya 14
By ye.fengMachi 18, 2019huruma, maneno-ya-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, Ufalme, VitabuNo comments


Mwenyezi Mungu anasema, "Katika enzi zote, hakuna mwanadamu ameingia katika ufalme na hivyo hakuna aliyefurahia neema ya Enzi ya Ufalme, hakuna aliyeona Mfalme wa ufalme. Ingawa chini ya nuru ya Roho Wangu watu wengi wametabiri uzuri wa ufalme, wanajua tu nje ya ufalme, sio...
Ijumaa, 15 Machi 2019
Maneno ya Mungu kwa Ulimwengu Mzima | Sura ya 23
By ye.fengMachi 15, 2019maneno-ya-Mungu, mapenzi-ya-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, Ufalme, VitabuNo comments


Maneno ya Mungu kwa Ulimwengu Mzima | Sura ya 23
Mwenyezi Mungu anasema, Ninapopaza sauti Yangu, macho Yangu yanapofyatua moto, Ninaitazama kwa uangalifu dunia nzima, Ninatazama kwa uangalifu ulimwengu mzima. Wanadamu wote wananiomba Mimi, wameinua macho yao kuelekea...
Jumatano, 22 Agosti 2018
Swahili Gospel Choir Song "Ufalme" | New Jerusalem Has Come Down Out of Heaven
By Kuhusu Umeme wa MasharikiAgosti 22, 2018mji-wa-watakatifu, Ufalme, ufalme-wa-Kristo, Umeme-unatoka-MasharikiNo comments

Swahili Gospel Choir Song "Ufalme" | New Jerusalem Has Come Down Out of Heaven
Ufalme, mji wa watakatifu, ufalme wa Kristo.
Katika ufalme, utajiri na utukufu wa Mungu hudhihirishwa.
Umeme unatoka Mashariki na kuangaza hadi Magharibi.
Mwanga wa kweli uko hapa, neno la Mungu limeonekana katika mwili.
Mwokozi amesharudi, akishuka juu ya wingu...
Jumanne, 17 Aprili 2018
Umeme wa Mashariki | Tamko la Tisa
By UnknownAprili 17, 2018kumtumikia-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, Ufalme, Vitabu, watu-wa-MunguNo comments

Umeme wa Mashariki | Tamko la Tisa
Mwenyezi Mungu alisema, Kwa sababu kwamba wewe ni mmoja wa watu nyumbani Mwangu, na kwa sababu wewe ni mwaminifu katika Ufalme wangu, kila unachofanya lazima kifikie viwango Ninavyohitaji Mimi. Sisemi kwamba uwe tu kama wingu linalofuata upepo, bali uwe kama theluji inayong’aa, na uwe na hali kama yake na hata...
Ijumaa, 16 Machi 2018
Umeme wa Mashariki | Ufafanuzi wa Tamko la Kwanza
By UnknownMachi 16, 2018Neno-Laonekana-katika-Mwili, Roho-wa-Mungu, Ufalme, Vitabu, watu-wa-MunguNo comments

Umeme wa Mashariki | Ufafanuzi wa Tamko la Kwanza
Mwenyezi Mungu alisema, Kama tu Mungu alivyosema, “Hakuna anayeweza kuelewa mzizi wa maneno Yangu, wala kusudi la maneno haya.” Kama Isingekuwa uongozi wa Roho wa Mungu, kama isingekuwa kwa majilio ya maneno Yake, wote wangeangamia chini ya kuadibu Kwake. Ni kwa nini Mungu humjaribu...
Jumanne, 27 Februari 2018
Umeme wa Mashariki | "Ndoto Yangu ya Ufalme wa Kibinguni" (3) - Ufalme wa Mbinguni u Wapi Hasa?
By UnknownFebruari 27, 2018Sehemu-za-Filamu, Ufalme, Ufalme-wa-Mbinguni-u-Wapi-Hasa, ujio-wa-pili-wa-Yesu, VideoNo comments


Umeme wa Mashariki | "Ndoto Yangu ya Ufalme wa Kibinguni" (3) - Ufalme wa Mbinguni u Wapi Hasa?
Matamanio yetu makuu sisi tunaoamini katika Bwana ni kukaribisha kurudi kwa Bwana, kuletwa katika ufalme wa mbinguni, na kupokea ahadi na baraka za Mungu. Watu wengi wanaamini...
Jumatano, 27 Desemba 2017
Mazungumzo Mafupi Kuhusu “Ufalme wa Milenia Umefika”

Mazungumzo Mafupi Kuhusu “Ufalme wa Milenia Umefika”
Mwenyezi Mungu alisema, Mnayaonaje maono ya Ufalme wa Milenia? Baadhi ya watu hutafakari sana kuuhusu na kusema kuwa Ufalme wa Milenia utadumu duniani kwa miaka elfu moja, hivyo basi ikiwa waumini wazee katika kanisa...
Jumapili, 24 Desemba 2017
Kwa nini Mungu Huchukua Jina la Mwenyezi Mungu Katika Enzi ya Ufalme?
By Suara TuhanDesemba 24, 2017Bwana-Yesu, Kuhusu-Sisi, Maswali-Yanayoulizwa-Mara-Nyingi, Mwenyezi-Mungu, UfalmeNo comments


Kwa nini Mungu Huchukua Jina la Mwenyezi Mungu Katika Enzi ya Ufalme?
Watu wengi hawaelewi ni kwa nini, kwa kuwa Mwenyezi Mungu ni kurudi kwa Bwana Yesu katika siku za mwisho, Bwana Yesu anaitwa Mwenyezi Mungu wakati Anapokuja kufanya kazi ya hukumu katika siku za ...
Jumamosi, 23 Desemba 2017
Ufalme wa Milenia Umewasili | Matamshi ya Mwenyezi Mungu

Ufalme wa Milenia Umewasili | Matamshi ya Mwenyezi Mungu
Je, mmeona kazi ambayo Mungu ataikamilisha katika kundi hili la watu? Mungu alisema, hata katika Ufalme wa Milenia watu ni lazima waendelee kufuata matamshi Yake, na katika maisha ya baadaye, matamshi ya Mungu...