
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Mwenyezi Mungu. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Mwenyezi Mungu. Onyesha machapisho yote
Jumatano, 10 Oktoba 2018
Onyo kwa Wale Wasioweka Ukweli katika Vitendo
By Kuhusu Umeme wa MasharikiOktoba 10, 2018Kanisa-la-Mwenyezi-Mungu, Mwenyezi Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, Vitabu, Wasioweka-Ukweli-katika-VitendoNo comments


Onyo kwa Wale Wasioweka Ukweli katika Vitendo
Wale miongoni mwa ndugu na dada ambao daima hueneza ubaya wao ni vibaraka wa Shetani na hulivuruga kanisa. Watu hawa lazima siku moja wafukuzwe na kuondolewa. Katika Imani yao kwa Mungu, ikiwa watu hawana moyo wa kumcha...
Jumamosi, 25 Agosti 2018
Swahili Gospel Movie Clip "Kutoka kwa Enzi Hububujika Maji ya Uzima" (3) - Ili Kuchunguza Kurudi kwa Bwana Tunapaswa Kusikiliza Sauti ya Mungu
By Kuhusu Umeme wa MasharikiAgosti 25, 2018Biblia, Kusikiliza-Sauti-ya-Mungu, Mwenyezi Mungu, Roho-MtakatifuNo comments

Swahili Gospel Movie Clip "Kutoka kwa Enzi Hububujika Maji ya Uzima" (3) - Ili Kuchunguza Kurudi kwa Bwana Tunapaswa Kusikiliza Sauti ya Mungu
Kimsingi unabii wote uliotajwa katika Biblia kuhusiana na kurudi kwa Bwana tayari umetokea. Watu wengi wamehisi kwamba Bwana tayari amerudi, hivyo, tunapaswa kuchunguza vipi ili kuhakikisha kuhusu suala...
Jumamosi, 18 Agosti 2018
Ufafanuzi wa Tamko la Arubaini na Sita
By Kuhusu Umeme wa MasharikiAgosti 18, 2018Kanisa-la-Mwenyezi-Mungu, Mwenyezi Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, Umeme-wa-Mashariki, VitabuNo comments


Ufafanuzi wa Tamko la Arubaini na Sita
Miongoni mwa maneno haya yote, hakuna yasiyoweza kusahaulika zaidi kama yale ya leo. Awali maneno ya Mungu yalifichua hali za mwanadamu au siri za mbinguni, lakini tamko hili halifanani na yale ya wakati uliopita. Halidhihaki wala...
Jumapili, 29 Julai 2018
Ufafanuzi wa Tamko la Kumi na Tisa
By Kuhusu Umeme wa MasharikiJulai 29, 2018Kanisa-la-Mwenyezi-Mungu, Mwenyezi Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, Umeme-wa-Mashariki, VitabuNo comments


Ufafanuzi wa Tamko la Kumi na Tisa
Inaonekana kwamba katika mawazo ya watu, Mungu ni wa fahari sana naye Haeleweki. Ni kana kwamba Mungu haishi miongoni mwa wanadamu, kana kwamba anawadharau watu kwa sababu Yeye ni wa fahari sana....
Ijumaa, 13 Julai 2018
Tamko la Thelathini na Saba
By Kuhusu Umeme wa MasharikiJulai 13, 2018Kanisa-la-Mwenyezi-Mungu, Mwenyezi Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, Umeme-wa-Mashariki, VitabuNo comments


Tamko la Thelathini na Saba
Kotekote katika enzi, kazi yote Niliyoifanya—kila hatua ya kazi hiyo—imekuwa na mbinu Zangu zinazofaa za kazi. Ni kwa sababu ya hili ndio watu Wangu wapendwa wamekuwa watakatifu zaidi na zaidi, na wa kufaa zaidi na zaidi kwa matumizi Yangu....
Jumatano, 11 Julai 2018
Ufafanuzi wa Tamko la Kumi na Moja
By Kuhusu Umeme wa MasharikiJulai 11, 2018Kanisa-la-Mwenyezi-Mungu, Mwenyezi Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, Umeme-wa-Mashariki, VitabuNo comments


Kwa macho ya mwanadamu, inaonekana hakuna badiliko katika matamshi ya Mungu wakati wa kipindi hiki, ambalo ni kwa sababu watu hawawezi kuelewa sheria ambazo kwazo Mungu hunena, na hawafahamu muktadha wa maneno Yake...
Jumamosi, 2 Desemba 2017
Kueneza kwa Injili ya Ufalme wa Mwenyezi Mungu Nchini China
By Suara TuhanDesemba 02, 2017Injili, Injili-ya-Ufalme, Kuhusu-Sisi, Mungu, Mwenyezi MunguNo comments


4. Kueneza kwa Injili ya Ufalme wa Mwenyezi Mungu Nchini China
Mwaka wa 1995, kazi ya kushuhudia kwa injili ya ufalme ya Mwenyezi Mungu ilianza rasmi China Bara. Kwa njia ya shukrani kwa Mungu na kwa upendo ambao ulikuwa wa kweli, tulishuhudia kwa kuoenekana na kazi...
Ijumaa, 1 Desemba 2017
Asili na Maendeleo ya Kanisa la Mwenyezi Mungu
By Suara TuhanDesemba 01, 2017Biblia, Kanisa-la-Mwenyezi-Mungu, Kuhusu-Sisi, Mwenyezi Mungu, Umeme-wa-Mashariki, YesuNo comments


3. Asili na Maendeleo ya Kanisa la Mwenyezi Mungu
Katika Enzi ya Neema, Bwana Yesu aliwaahidi wafuasi wake, “Basi mimi nikienda na kuwaandalia mahali, nitakuja tena niwakaribishe kwangu; ili nilipo mimi, nanyi muwepo.” (Yohana 14:3) Kadhalika Alitabiri, “Kwa maana kama...