Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Roho-Mtakatifu. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Roho-Mtakatifu. Onyesha machapisho yote
Jumatatu, 10 Juni 2019
Sauti na maneno ya Roho Mtakatifu | “Mungu na Mwanadamu Wataingia Rahani Pamoja” sehemu ya kwanza
By Mwenyezi Mungu ni Mchungaji WanguJuni 10, 2019Kazi-ya-Mungu, Neno-la-Mungu, Roho-Mtakatifu, Usomaji-wa-Maneno-ya-Mwenyezi-Mungu, VideoNo comments

Sauti na maneno ya Roho Mtakatifu | “Mungu na Mwanadamu Wataingia Rahani Pamoja” sehemu ya kwanza
Mwenyezi Mungu anasema, “Kuingia rahani hakumaanishi kwamba mambo yote yatakoma kusonga, ama kwamba mambo yote yatakoma kuendelea, wala hakumaanishi kwamba Mungu atakoma kufanya kazi ama mwanadamu atakoma kuishi. Ishara ya kuingia rahani ni...
Ijumaa, 7 Juni 2019
Sauti ya Mungu | Sura ya 27
By Mwenyezi Mungu ni Mchungaji WanguJuni 07, 2019Neno-Laonekana-katika-Mwili, Roho-Mtakatifu, sauti-ya-Mungu, ushuhuda, VitabuNo comments

Sauti ya Mungu | Sura ya 27
Mungu mmoja wa kweli anayetawala vitu vyote katika ulimwengu—Kristo mwenyezi! Huu ndio ushuhuda wa Roho Mtakatifu, ni ushahidi dhahiri! Roho Mtakatifu anafanya kazi kuwa na ushuhuda kila mahali, ili kusiwe na mtu yeyote mwenye shaka yoyote. Mfalme wa ushindi, Mwenyezi Mungu! Yeye ameushinda ulimwengu, Ameishinda dhambi...
Jumamosi, 18 Mei 2019
Neno la Mungu | “Mwanadamu Mpotovu Hawezi Kumwakilisha Mungu”
By Mwenyezi Mungu ni Mchungaji WanguMei 18, 2019Kumjua-Mungu, Neno-la-Mungu, Roho-Mtakatifu, Usomaji-wa-Maneno-ya-Mwenyezi-Mungu, VideoNo comments

Neno la Mungu | “Mwanadamu Mpotovu Hawezi Kumwakilisha Mungu”
Mwenyezi Mungu anasema, “Vitendo vyote na matendo ya Shetani vinaonyeshwa kupitia kwa binadamu. Sasa vitendo vyote na matendo yote ya binadamu ni maonyesho ya Shetani na hivyo basi haviwezi kumwakilisha Mungu. Binadamu ni mfano halisi wa Shetani, na tabia ya mwanadamu haiwezi kuiwakilisha...
Alhamisi, 16 Mei 2019
Maneno ya Mungu | Sura ya 9
By Mwenyezi Mungu ni Mchungaji WanguMei 16, 2019maneno-ya-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, Roho-Mtakatifu, Ukweli, VitabuNo comments


Maneno ya Mungu | Sura ya 9
Nataka kukukumbusha kwamba huwezi kuwa na wasiwasi hata kidogo juu ya neno Langu na kutokujali kwa aina yoyote hakukubaliki. Unapaswa kulisikiliza na kulitii na kutenda mambo kulingana na nia Zangu. Daima lazima uwe macho na kamwe usiwe...
Jumamosi, 11 Mei 2019
Maneno ya Mungu | Sura ya 5
By Mwenyezi Mungu ni Mchungaji WanguMei 11, 2019imani, Neema, Neno-Laonekana-katika-Mwili, Roho-Mtakatifu, VitabuNo comments


Maneno ya Mungu | Sura ya 5
Milima na mito huenda ikibadilika, vijito hutiririka mbele, na maisha ya mwanadamu ni yenye uvumilivu mdogo kuliko ardhi na anga. Mwenyezi Mungu pekee ndiye maisha ya milele yaliyofufuka milele, katika vizazi hai milele! Vitu vyote na...
Jumatano, 8 Mei 2019
Maneno ya Mungu kwa Ulimwengu Mzima | Sura ya 2
By ye.fengMei 08, 2019kanisa, maneno-ya-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, Roho-Mtakatifu, VitabuNo comments

Mwenyezi Mungu anasema, Kufuata kuanza kazi kwa mtazamo mpya, kutakuwa na hatua mpya katika kazi Yangu. Kama ilivyo katika ufalme, Nitafanya mambo moja kwa moja kupitia kwa uungu, Nikiongoza kila hatua ya njia, sahihi hadi kwa maelezo madogo, na bila kutiwa najisi na nia za binadamu hata kidogo. Yafuatayo yanaeleza kwa muhtasari namna ya utekelezaji...
Jumanne, 15 Januari 2019
Matamshi ya Mwenyezi Mungu | 5. Ni zipi tofauti muhimu kati ya Mungu mwenye mwili na hao watu ambao hutumiwa na Mungu?
By UnknownJanuari 15, 2019dutu-ya-Mungu, Injili-ya-Ufalme-wa-Mbinguni, Kiumbe-Aliyeumbwa, kupata-mwili, masomo-ya-Biblia, Mungu-Kupata-Mwili, Roho-MtakatifuNo comments


Matamshi ya Mwenyezi Mungu | 5. Ni zipi tofauti muhimu kati ya Mungu mwenye mwili na hao watu ambao hutumiwa na Mungu?
Aya za Biblia za Kurejelea:
“Mimi nawabatiza na maji ili mtubu. Lakini yule ajaye baada ya mimi ni mwenye nguvu zaidi kuliko mimi, ambaye sistahili...
Jumamosi, 5 Januari 2019
3. Unawezaje Kutambua Tofauti Kati ya Kristo wa Kweli na Makristo wa Uongo?
By UnknownJanuari 05, 2019Kondoo-wa-Mungu-Huisikia-Sauti-ya-Mungu, Kristo, Roho-Mtakatifu, siku-za-mwisho, Vitabu, YesuNo comments


Sura ya 6 Aina Mbalimbali za Utofautishaji Ambazo Unafaa Kumiliki katika Kusadiki Kwako kwa Mungu
3. Unawezaje Kutambua Tofauti Kati ya Kristo wa Kweli na Makristo wa Uongo?
Maneno Husika ya Mwenyezi Mungu:
Mungu aliyepata mwili Anaitwa Kristo, na hivyo Kristo...
Jumanne, 25 Desemba 2018
Swahili Christian Video 2018 | "Ni Vizuri Sana Kutupa Mbali Pingu za Hadhi" | Wokovu wa Mungu
Swahili Christian Video 2018 | "Ni Vizuri Sana Kutupa Mbali Pingu za Hadhi" | Wokovu wa Mungu
Baada ya Liang Zhi kumwamini Mungu, bila kukoma alitafuta kwa shauku, na kujitosa katika kutimiza wajibu wake. Baada ya miaka kadhaa, alichaguliwa kama kiongozi wa kanisa. Wakati alipokuwa akitekeleza wajibu wake kama kiongozi wa kanisa, aligundua...
Jumamosi, 15 Desemba 2018
4. Sura ya tatizo la mtu asiyejua umuhimu wa jina la Mungu na asiyelikubali jina jipya la Mungu ni ipi?
By UnknownDesemba 15, 2018Kristo, Mashahidi-wa-Kristo-wa-Siku-za-Mwisho, Roho-Mtakatifu, siku-za-mwisho, Umeme-wa-Mashariki, Vitabu, YesuNo comments


IV. Ni Lazima Mtu Ashuhudie Kipengele cha Ukweli Kuhusu Hatua Tatu za Kazi ya Mungu na Majina Yake
4. Sura ya tatizo la mtu asiyejua umuhimu wa jina la Mungu na asiyelikubali jina jipya la Mungu ni ipi?
Maneno Husika ya Mungu:
Katika kila kipindi cha wakati,...
Jumapili, 2 Desemba 2018
Sauti na maneno ya Roho Mtakatifu | "Ni Muhimu Sana Kuelewa Tabia ya Mungu"
Sauti na maneno ya Roho Mtakatifu | "Ni Muhimu Sana Kuelewa Tabia ya Mungu"
Mwenyezi Mungu anasema, "Kama huelewi tabia ya Mungu, basi itakuwa haiwezekani kwako wewe kufanya kazi unayofaa kumfanyia. Kama hujui dutu ya Mungu, ndivyo pia haitawezekana kubakiza hali ya kumcha na kumwogopa Yeye, utakuwa ni uzembe na kuepuka kusema ukweli wote...
Jumatano, 14 Novemba 2018
I. Ni Lazima Mtu Ashuhudie Kipengele cha Ukweli Kuhusu Kupata Mwili kwa Mungu
By UnknownNovemba 14, 2018Biblia, Kristo, Mashahidi-wa-Kristo-wa-Siku-za-Mwisho, Roho-Mtakatifu, siku-za-mwisho, VitabuNo comments


I. Ni Lazima Mtu Ashuhudie Kipengele cha Ukweli Kuhusu Kupata Mwili kwa Mungu
1. Bwana Yesu Mwenyewe alitabiri ya kwamba Mungu angepata mwili katika siku za mwisho na kuonekana kama Mwana wa Adamu ili kufanya kazi.
Aya za Biblia za Kurejelea:
"Na ninyi pia...
Jumatatu, 3 Septemba 2018
Swahili Gospel Song Video "Shukrani na Sifa kwa Mwenyezi Mungu" | God Guided Me to a New Life
By Kuhusu Umeme wa MasharikiSeptemba 03, 2018Mwenyezi-Mungu, Roho-Mtakatifu, Shukrani-na-sifa, tunaelewa-ukweliNo comments

Swahili Gospel Song Video "Shukrani na Sifa kwa Mwenyezi Mungu" | God Guided Me to a New Life
I
Tumeletwa mbele ya Mungu. Maneno Yake tunakula na kunywa.
Roho Mtakatifu anatupa nuru, tunaelewa ukweli anaonena Mungu.
Mila za dini, tumezitupa, minyororo yote. Isiyozuiliwa na sheria, mioyo yetu inawekwa hur...
Alhamisi, 30 Agosti 2018
Swahili Gospel Movie Clip "Kutoka kwa Enzi Hububujika Maji ya Uzima" (2) - Mbona Kuna Ukiwa Ulioenea Pote katika Ulimwengu wa Dini?
By Kuhusu Umeme wa MasharikiAgosti 30, 2018imani-ya-kidini, Mwenyezi-Mungu, Roho-Mtakatifu, siku-za-mwishoNo comments

Swahili Gospel Movie Clip "Kutoka kwa Enzi Hububujika Maji ya Uzima" (2) - Mbona Kuna Ukiwa Ulioenea Pote katika Ulimwengu wa Dini?
Dunia nzima ya dini kwa sasa inapitia njaa kubwa, hawapo tena pamoja na kazi ya Roho Mtakatifu au uwepo wa Bwana, wanafanya mambo maovu zaidi na zaidi na imani na huruma ya waumini inadhoofika na kuwa baridi. Aidha,...
Jumamosi, 25 Agosti 2018
Swahili Gospel Movie Clip "Kutoka kwa Enzi Hububujika Maji ya Uzima" (3) - Ili Kuchunguza Kurudi kwa Bwana Tunapaswa Kusikiliza Sauti ya Mungu
By Kuhusu Umeme wa MasharikiAgosti 25, 2018Biblia, Kusikiliza-Sauti-ya-Mungu, Mwenyezi Mungu, Roho-MtakatifuNo comments

Swahili Gospel Movie Clip "Kutoka kwa Enzi Hububujika Maji ya Uzima" (3) - Ili Kuchunguza Kurudi kwa Bwana Tunapaswa Kusikiliza Sauti ya Mungu
Kimsingi unabii wote uliotajwa katika Biblia kuhusiana na kurudi kwa Bwana tayari umetokea. Watu wengi wamehisi kwamba Bwana tayari amerudi, hivyo, tunapaswa kuchunguza vipi ili kuhakikisha kuhusu suala...
Ijumaa, 3 Agosti 2018
Sinema za Injili "Kutoka kwa Enzi Hububujika Maji ya Uzima" | Roho wa Ukweli Amekuja!
By Kuhusu Umeme wa MasharikiAgosti 03, 2018Kanisa-la-Mwenyezi-Mungu, msalaba, Roho-Mtakatifu, Sinema-za-Injili, UkweliNo comments

Sinema za Injili "Kutoka kwa Enzi Hububujika Maji ya Uzima" | Roho wa Ukweli Amekuja!
Tao Wei alikuwa mhubiri kutoka kanisa la nyumba. Kanisa lake lilipokuwa na ukiwa zaidi na zaidi siku baada ya siku, wafuasi wake wote wakawa walegevu na wenye roho dhaifu, na roho yake mwenyewe ilikuwa na giza. Yeye hakuweza tena kuhisi uwepo wa Bwana,...
Ijumaa, 20 Julai 2018
Ni Muhimu Sana Kutii Kazi ya Roho Mtakatifu!
By Kuhusu Umeme wa MasharikiJulai 20, 2018Kanisa-la-Mwenyezi-Mungu, Maombi, Roho-Mtakatifu, Umeme-wa-MasharikiNo comments


Ni Muhimu Sana Kutii Kazi ya Roho Mtakatifu!
Xiaowei Mji wa Shanghai
Wakati fulani kitambo, hata kama daima nilipata msukumo kiasi na fadhila wakati dada mmoja aliyeshiriki nami alishiriki nuru aliyokuwa amepata wakati alipokula na kunywa neno la Mungu,...
Jumapili, 27 Mei 2018
Umeme wa Mashariki 56. Filosofia ya Shetani Inanasa na Kuharibu
By Kuhusu Umeme wa MasharikiMei 27, 2018kanisa, Maombi, Roho-Mtakatifu, Ushuhuda-wa-Kuipitia-Hukumu-ya-Kristo, VitabuNo comments


Umeme wa Mashariki 56. Filosofia ya Shetani Inanasa na Kuharibu
Wu You Mji wa Hechi, Mkoa wa Guangxi
Wakati fulani uliopita, kanisa lilinipangia kuishi na familia mwenyeji kwa sababu za kazi. Wakati nilipofanya ushirika kwanza na ndugu wa kiume na wa...
Ijumaa, 18 Mei 2018
Umeme wa Mashariki | Ambua Barakoa, na Uanze Maisha Upya
By UnknownMei 18, 2018Hukumu-na-Kuadibu, Roho-Mtakatifu, Upendo-wa-Mungu, Ushuhuda-wa-Kuipitia-Hukumu-ya-Kristo, VitabuNo comments


Umeme wa Mashariki | Ambua Barakoa, na Uanze Maisha Upya
Chen Dan Mkoa wa Hunan
Mwishoni mwa mwaka jana, kwa sababu sikuweza kuzindua kazi ya injili katika eneo langu, familia ya Mungu ilimhamisha ndugu mmoja wa kiume kutoka eneo jingine ili kuchukua kazi...
Alhamisi, 29 Machi 2018
Umeme wa Mashariki | Kuhusu Desturi ya Sala
By UnknownMachi 29, 2018kumpenda-Mungu, Maombi, Neno-Laonekana-katika-Mwili, Roho-Mtakatifu, VitabuNo comments


Umeme wa Mashariki | Kuhusu Desturi ya Sala
Nyinyi hamtilii maanani sala katika maisha yenu ya kila siku. Watu daima wamepuuza sala. Katika sala zao hapo awali walikuwa wakifanya tu mambo kwa namna isiyo ya dhati na kufanya mchezo tu, na hakuna mtu aliyeupeana moyo wake...