Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo kumpenda-Mungu. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo kumpenda-Mungu. Onyesha machapisho yote
Jumanne, 2 Aprili 2019
Wimbo wa Kuabudu | “Wale Wanaompenda Mungu kwa Dhati Wote ni Watu Waaminifu” | Kids Dance
By Chris ZhouAprili 02, 2019Bwana-asifiwe, kumpenda-Mungu, Msururu-wa-MV-za-Ufalme, Nyimbo-za-Kuabudu, Video, wokovu-wa-MunguNo comments

Wimbo wa Kuabudu | “Wale Wanaompenda Mungu kwa Dhati Wote ni Watu Waaminifu” | Kids Dance
Safi na mwaminifu, kama mtoto bila hatia,
mchangamfu na mwenye nguvu za ujana,
wao ni kama malaika wanaokuja ulimwenguni.
Bila udanganyifu, na mioyo iliyo wazi tu, wao ni waadilifu.
Wanatoa mioyo yao kwa Mungu na kupata imani Yake.
Wao ni watu waaminifu...
Alhamisi, 29 Machi 2018
Umeme wa Mashariki | Kuhusu Desturi ya Sala
By UnknownMachi 29, 2018kumpenda-Mungu, Maombi, Neno-Laonekana-katika-Mwili, Roho-Mtakatifu, VitabuNo comments


Umeme wa Mashariki | Kuhusu Desturi ya Sala
Nyinyi hamtilii maanani sala katika maisha yenu ya kila siku. Watu daima wamepuuza sala. Katika sala zao hapo awali walikuwa wakifanya tu mambo kwa namna isiyo ya dhati na kufanya mchezo tu, na hakuna mtu aliyeupeana moyo wake...
Jumanne, 27 Machi 2018
Umeme wa Mashariki | Wengi Wameitwa, Lakini Wachache Wamechaguliwa
By UnknownMachi 27, 2018kukamilishwa-na-Mungu, kumfuata-Mungu, kumpenda-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, Ukweli, VitabuNo comments


Umeme wa Mashariki | Wengi Wameitwa, Lakini Wachache Wamechaguliwa
Mwenyezi Mungu alisema, Nimewatafuta wengi duniani wawe wafuasi Wangu. Kati yao ni wale wanaohudumu kama makuhani, wanaoongoza, wanaojumuisha wana, wanaojumuisha watu, na wale wanaotoa huduma. Ninaweka migawo...
Jumapili, 11 Machi 2018
Umeme wa Mashariki | Njia… (7)

Umeme wa Mashariki | Njia… (7)
Mwenyezi Mungu alisema, Sote tunaweza kuona katika uzoefu wetu wa utendaji kwamba kuna nyakati nyingi ambazo Mungu binafsi ametufungulia njia ili tuwe tunakanyaga njia iliyo imara zaidi, ya kweli zaidi. Hii ni kwa sababu hii ndiyo njia ambayo...
Ijumaa, 9 Machi 2018
Umeme wa Mashariki | Njia… (3)
By UnknownMachi 09, 2018kumfuata-Mungu, kumpenda-Mungu, mapenzi-ya-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, VitabuNo comments


Umeme wa Mashariki | Njia… (3)
Mwenyezi Mungu alisema, Katika maisha Yangu, Niko radhi kila mara kujitolea Mwenyewe kwa Mungu kabisa, mwili na fikra. Kwa njia hii, hakuna lawama kwa dhamiri Yangu na Naweza kupata kiasi kidogo cha amani. Mtu anayeandama uzima ni lazima...
Jumapili, 25 Februari 2018
Hymn of Christian Experience (Swahili) "Ni Furaha Kuu kuwa Mtu Mwaminifu" | Mbinguni ni mahali pa mtu mwaminifu
By UnknownFebruari 25, 2018kumpenda-Mungu, ndugu-na-dada, Ukweli, Video, Video-za-Muziki-wa- AkapelaNo comments


Hymn of Christian Experience (Swahili) "Ni Furaha Kuu kuwa Mtu Mwaminifu" | Mbinguni ni mahali pa mtu mwaminifu
Kuelewa ukweli huiachilia huru roho ya mtu
na kumfanya mtu kuwa mwenye furaha.
Nimejazwa na imani katika neno la Mungu na sina shaka.
Mimi niko bila uhasi...
Jumanne, 20 Februari 2018
Mungu ni Mkuu | "Upendo wa Kweli wa Mungu" Swahili Gospel Song | Asante Mungu | Haleluya

Mungu ni Mkuu | "Upendo wa Kweli wa Mungu" Swahili Gospel Song | Asante Mungu | Haleluya
Upendo wa Kweli wa Mungu
Nasimama mbele ya Mungu wangu tena leo.
Moyo wangu una mengi ya kusema
ninapoona uso Wake wa kupendeza.
Nimeacha siku zangu za zamani za kuzurura...
Jumamosi, 27 Januari 2018
Kuhusu Maisha ya Petro | Umeme wa Mashariki
By UnknownJanuari 27, 2018kumpenda-Mungu, msalaba, Neno-Laonekana-katika-Mwili, Roho-Mtakatifu, VitabuNo comments


Kuhusu Maisha ya Petro
Mwenyezi Mungu alisema, Petro ni mfano ambao Mungu aliutambulisha kwa wanadamu, na yeye ni mtu mashuhuri anayejulikana vizuri. Kwa nini mtu mnyonge kama huyo aliwekwa mahala kama mfano na Mungu na amesifiwa na vizazi vya baadaye? Bila shaka, ni...
Alhamisi, 18 Januari 2018
Kumpenda Mungu Tu Ndiko Kumwamini Mungu Kweli
By UnknownJanuari 18, 2018kumpenda-Mungu, Kumwamini-Mungu, kutenda-ukweli, Neno-Laonekana-katika-Mwili, VitabuNo comments


Kumpenda Mungu Tu Ndiko Kumwamini Mungu Kweli
Mwenyezi Mungu alisema, Mnapotaka kumpenda na kumjua Mungu leo, kwa upande mmoja ni lazima mstahimili mateso, usafishaji, na kwa ule upande mwingine, ni lazima mgharamike. Hakuna funzo lililo kubwa kuliko lile la kumpenda...
Jumatano, 10 Januari 2018
Wanaompenda Mungu Wataishi Milele Katika Mwangaza Wake

Wanaompenda Mungu Wataishi Milele Katika Mwangaza Wake
Mwenyezi Mungu alisema, Kiini cha imani ya watu wengi katika Mungu ni imani za kidini: Hawana uwezo wa kumpenda Mungu, na wanaweza kumfuata Mungu tu kama roboti, bila kuweza kumtamani Mungu, ama kumwabudu. Wanamfuata...