Jaweni na Upendo kwa Ajili ya Mungu | Muziki wa Akapela "Yasifu Maisha Mapya"

Kristo wa siku za mwisho ameonekana, akifanya kazi na kuzungumza miongini mwa wanadamu. Neno lake hutuhukumu, kutuadibu na kututakasa, likituongoza kwenye njia sahihi ya maisha ya binadamu.

Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Nyimbo. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Nyimbo. Onyesha machapisho yote

Ijumaa, 24 Mei 2019

Wimbo wa Injili | "Toa Akili na Mwili ili Kutimiza Agizo la Mungu" | The Great Mission of Christians

Wimbo wa Injili | "Toa Akili na Mwili ili Kutimiza Agizo la Mungu" | The Great Mission of Christians I Kama washiriki wa jamii ya wanadamu, kama wafuasi wa Kristo wa dhati, ni wajibu wetu, ni jukumu letu kutoa akili zetu  na miili yetu kwa kutimiza agizo la Mungu. Kwa maana asili yetu yote ilitoka kwa Mungu, na twaishi, kwa ajili ya...

Jumatatu, 28 Januari 2019

nyimbo za kuabudu 2019 | "Mungu Anashuka na Hukumu" | Christ of the Last Days Has Appeared

Nyimbo za Kuabudu 2019 | "Mungu Anashuka na Hukumu" | Christ of the Last Days Has Appeared Anapokuja chini katika taifa la joka kuu jekundu, Mungu anageuka kuutazama ulimwengu na unaanza kutingika. Je, kuna mahali popote ambapo hapatapata hukumu Yake? Ama kuishi katika janga Analotoa? Kila mahali Aendapo anamwaga mbegu ya janga, lakini kupitia...

Jumapili, 27 Januari 2019

Nyimbo za Dini | Ni kwa Kufanya Kazi Katika Mwili Pekee Ndiyo Mungu Anaweza Kumpata Binadamu

Nyimbo za Dini | Ni kwa Kufanya Kazi Katika Mwili Pekee Ndiyo Mungu Anaweza Kumpata Binadamu I Kupitia neno la Mungu la utendaji, unyonge wa mwanadamu na uasi yanahukumiwa na kufichuliwa. Kisha wanadamu wanapokea wanachohitaji Wanaona kuwa Mungu amekuja katika ulimwengu huu wa binadam...

Jumamosi, 26 Januari 2019

Nyimbo za Dini | Umuhumi wa Maombi

Nyimbo za Dini | Umuhumi wa Maombi I Maombi ni njia moja ya mwanadamu kushirikiana na Mungu, kuita Roho Wake na kuguswa na Mungu. Kadiri unavyoomba zaidi, ndivyo utakavyoguswa zaidi, kuangaziwa na kuwa mwenye nguvu-nia. Watu kama hao wanaweza kufanywa kamili hivi karibuni. Kadiri unavyoomba zaidi, ndivyo utakavyoguswa zaidi, kuangaziwa...

Ijumaa, 25 Januari 2019

Wimbo wa Maneno ya Mungu Viumbe Wote Lazima Waje Chini ya Utawala wa Mungu

Wimbo wa Maneno ya Mungu Viumbe Wote Lazima Waje Chini ya Utawala wa Mungu I Mungu aliumba vitu vyote, na hivyo Yeye hufanya viumbe vyote kuja chini ya amri Yake, na kutii utawala Wake. Anaamuru vitu vyote, akividhibiti katika mikono Yake. Vitu hai, milima, mito na mwanadamu lazima vyote vije chini ya amri Yak...

Jumanne, 8 Januari 2019

Best Swahili Christian Worship Song "Maisha Yetu Sio Bure"

Umeme wa Mashariki | Best Swahili Christian Worship Song "Maisha Yetu Sio Bure" Maisha yetu sio bure. Maisha yetu sio bure. Leo tunakutana na Mungu, tunapitia kazi Yake. Tumemjua Mungu katika mwili, wa utendaji na wa hakika. Tumeiona kazi Yake, nzuri na ya ajabu. Kila siku ya maisha yetu sio bure. Tunamshuhudia Kristo kama ukweli na...

Alhamisi, 3 Januari 2019

Best Swahili Gospel Worship Song "Njoo Mbele Ya Mungu Mara kwa Mara" | Uso kwa uso na Mungu

Best Swahili Gospel Worship Song "Njoo Mbele Ya Mungu Mara kwa Mara" | Uso kwa uso na Mungu Chukua fursa unapokuwa na wakati, keti kimya mbele ya Mungu. Soma neno Lake, jua ukweli Wake, rekebisha makosa yaliyo ndani yako. Majaribu huja, yakabili; ijue nia ya Mungu na utakuwa na nguvu. Mwambie ni vitu gani unavyokosa, shiriki ukweli Wake...

Jumatano, 2 Januari 2019

4. Umuhimu wa Kazi ya Mungu ya Majaribio na Utakasaji.

Sura ya 4 Lazima Mjue Ukweli wa Kazi ya Mungu ya Siku za Mwisho 4. Umuhimu wa Kazi ya Mungu ya Majaribio na Utakasaji. Maneno Husika ya Mungu: Majaribu haya yanailenga hali gani ya ndani ya watu? Yanalenga tabia ya uasi ndani ya watu ambayo haiwezi kumridhisha...

Ijumaa, 30 Novemba 2018

60. Chochote Mungu Asemacho Ndiyo Hukumu Hasa ya Mwanadamu

60. Chochote Mungu Asemacho Ndiyo Hukumu Hasa ya Mwanadamu Xunqiu Mji wa Nanyang, Mkoa wa Henan Nilikuwa nikidhani kwamba Mungu alimhukumu na kumuadibu mwanadamu wakati tu Alipoufichua upotovu wa asili wa mwanadamu au alipoeleza maneno mkali ambayo yaliuhukumu...

Jumamosi, 6 Oktoba 2018

Kiini cha Kristo Ni Mungu

 Kiini cha Kristo Ni Mungu Wimbo wa Maneno ya Mungu Kiini cha Kristo Ni Mungu I Mungu anayekuwa mwili anaitwa Kristo, na hivyo Kristo anayeweza kuwapa watu ukweli anaitwa Mungu. Si kupita kiasi kusema hivyo, kwani Ana kiini cha Mungu. Ana tabia...

Ijumaa, 5 Oktoba 2018

Kusudi la Kazi ya Mungu la Usimamizi

Kusudi la Kazi ya Mungu la Usimamizi Wimbo wa Maneno ya Mungu Kusudi la Kazi ya Mungu la Usimamizi I Mungu ana mpango wa usimamizi wa miaka 6,000, uliyogawanywa katika hatua tatu, kila moja inaitwa enzi. Kwanza ni Enzi ya Sheria, kisha Enzi ya Neema, na...

Jumamosi, 29 Septemba 2018

Ulimwengu wote ni Mpya Kabisa katika Utukufu wa Mungu

Ulimwengu wote ni Mpya Kabisa katika Utukufu wa Mungu Ⅰ Katika ufalme Wake, maneno ya Mungu hutoka. Naye hutembea kila mahali duniani. Naye amefanikiwa juu ya maeneo yote ya duniani, juu ya nchi yote iliyo najisi na yenye uchafu. Sio mbingu tu bali dunia inabadilika. Na...

Jumamosi, 22 Septemba 2018

Swahili Praise Song "Upendo wa Mungu Unauzingira Moyo Wangu" Thank and Praise the Lord for His Grace

Swahili Praise Song "Upendo wa Mungu Unauzingira Moyo Wangu" Thank and Praise the Lord for His Grace Jua la haki linainuka Mashariki. Ee Mungu! Utukufu Wako unajaza mbingu na dunia. Mpendwa wangu, upendo Wako unauzunguka moyo wangu. Wale wanaotafuta ukweli—wanampenda Mungu, kila mmoja. Asubuhi na mapema, ingawa naamka peke yangu, furaha...

Jumamosi, 28 Julai 2018

Wimbo wa Maneno ya Mungu | "Jinsi Mungu Anavyotawala Vitu Vyote"

Wimbo wa Maneno ya Mungu | "Jinsi Mungu Anavyotawala Vitu Vyote" I Kutoka unapoingia katika dunia hii ukilia, unaanza kutenda wajibu wako. Katika mpango na utaratibu wa Mungu, unachukua nafasi yako, na unaanza safari ya maisha. Vyovyote vilivyo msingi wako ama safari iliyo mbele yako, hakuna anayeweza kuepuka utaratibu na...

Jumamosi, 14 Julai 2018

Kwa Kuwa Mungu Anamwokoa Mwanadamu, Atamwokoa Kabisa | Mwenyezi Mungu

Kwa Kuwa Mungu Anamwokoa Mwanadamu, Atamwokoa Kabisa | Mwenyezi Mungu I Kwa kuwa Mungu alimuumba mwanadamu, Atamwongoza; kwa kuwa Anamwokoa mwanadamu, Atamwokoa na kumpata kabisa; kwa kuwa anamwongoza mwanadamu, Atamfikisha katika hatima sahihi. Kwa...

Jumatatu, 4 Desemba 2017

Wimbo wa Uzoefu wa Maisha | Nimeuona uzuri wa Mungu

Wimbo wa Uzoefu wa Maisha | Nimeuona uzuri wa Mungu I Nasikia sauti ijulikanayo ikiniita mara kwa mara. Nikaamka na kuangalia kuona, ni nani aliye pale akizungumza. Sauti yake ni nyororo lakini kali, picha Yake nzuri! Nateseka kupigwa na kuvumilia maumivu makubwa,...

Wimbo wa Maneno ya Mungu | Jinsi Upendo wa Mungu kwa Mwanadamu Ulivyo Muhimu

Wimbo wa Maneno ya Mungu | Jinsi Upendo wa Mungu kwa Mwanadamu Ulivyo Muhimu I Mandhari iliyochorwa katika Biblia "Amri ya Mungu kwa Adamu" ni ya kugusa na yenye kutia moyo. Ingawa hiyo picha ina Mungu na mtu tu, uhusiano kati ya hao wawili ni wa ndani sana...