Jaweni na Upendo kwa Ajili ya Mungu | Muziki wa Akapela "Yasifu Maisha Mapya"

Kristo wa siku za mwisho ameonekana, akifanya kazi na kuzungumza miongini mwa wanadamu. Neno lake hutuhukumu, kutuadibu na kututakasa, likituongoza kwenye njia sahihi ya maisha ya binadamu.

Muziki wa Akapela "Tokeo Lililofikiwa kwa Kumjua Mungu" (Video Rasmi ya Muziki)

Hayuko katika upeo wa mbali, wala hajajificha juu mawinguni. Yuko kando yako, akiwa na mamlaka juu ya kila kitu chako, Yeye ni kila kitu ulicho nacho, na Yeye ni kitu pekee ulicho nacho.

Mwabudu Mungu kwa Roho na Ukweli | “Sauti ya Moyo ya Kiumbe Aliyeumbwa” (Video za Kikristo)

Mungu wa vitendo na wa kweli, upendo ndani ya moyo wangu. Mimi ni vumbi lakini ninaweza kuona uso Wako. Ninawezaje kukosa kukuabudu?

Mungu ndiye Mwanzo na tena Mwisho | Kwaya ya Injili

Mungu ndiye Mwanzo (Mungu ndiye Mwanzo) na Mwisho (na Mwisho); ni Yeye Mwenyewe Anayetekeleza kazi Yake na hivyo lazima iwe Yeye Mwenyewe Anayemaliza enzi ya kale. Huo ndio ushahidi kuwa Yeye humshinda Shetani (humshinda Shetani) na huishinda dunia, ushahidi kuwa Yeye huishinda dunia.

Nampenda Mungu kwa Moyo Wangu Wote | "Nitampenda Mungu Milele" Video Rasmi ya Muziki

Nitakupa Wewe upendo wa kweli, na sitakuacha Usubiri. Mimi nitakupa Wewe upendo safi, na tafadhali furahia upendo wangu. Nitakupa Wewe upendo wangu wote, na kukuacha upate upendo wangu. Nitakupenda Wewe kwa wakati wote; kukuridhisha Wewe ni matamanio yangu.

Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo wimbo-wa-Kikristo. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo wimbo-wa-Kikristo. Onyesha machapisho yote

Ijumaa, 24 Mei 2019

Wimbo wa Injili | "Toa Akili na Mwili ili Kutimiza Agizo la Mungu" | The Great Mission of Christians


Wimbo wa Injili | "Toa Akili na Mwili ili Kutimiza Agizo la Mungu" | The Great Mission of Christians

I
Kama washiriki wa jamii ya wanadamu,
kama wafuasi wa Kristo wa dhati,
ni wajibu wetu, ni jukumu letu
kutoa akili zetu  na miili yetu
kwa kutimiza agizo la Mungu.
Kwa maana asili yetu yote ilitoka kwa Mungu,
na twaishi, kwa ajili ya ukuu Wake.
Kwa maana asili yetu, ilitoka kwa Mungu,
na twaishi, kwa ajili ya ukuu Wake.

Jumatatu, 3 Desemba 2018

Wimbo Mpya wa Dini | "Jinsi ya Kutafuta Nyayo za Mungu" | God's Sheep Hear the Voice of God

 Wimbo Mpya wa Dini | "Jinsi ya Kutafuta Nyayo za Mungu" | God's Sheep Hear the Voice of God (Official Video)

Kwa kuwa tunatafuta nyayo za Mungu,
lazima tutafute mapenzi ya Mungu,
tutafute maneno ya Mungu na matamshi ya Mungu,
tutafute maneno ya Mungu na matamshi Yake.

Jumamosi, 29 Septemba 2018

Ulimwengu wote ni Mpya Kabisa katika Utukufu wa Mungu

Ulimwengu wote ni Mpya Kabisa katika Utukufu wa Mungu

wimbo wa Kikristo, nyimbo za dini mpya, Matamshi ya Mungu kwa

Katika ufalme Wake, maneno ya Mungu hutoka.
Naye hutembea kila mahali duniani.
Naye amefanikiwa juu ya maeneo yote ya duniani,
juu ya nchi yote iliyo najisi na yenye uchafu.
Sio mbingu tu bali dunia inabadilika.
Na hivi karibuni dunia itafanywa upya.
Ulimwengu wote ni Mpya Kabisa katika Utukufu wa Mungu.
Ni ajabu iliyoje kwa kila mtu kuona.
Inaonekana kama mmwanadamu anaishi mbinguni ambako mwanadamu anafikiria,
huru kutoka kwa mfumbato wa Shetani na mashambulizi ya maadui.
Juu kabisa ya ulimwengu, nyota nyingi
zinachukua nafasi yao mbinguni kwa amri ya Mungu,
zikiangaza mwanga wao kupitia maeneo ya mbinguni
ili kufikia ulimwengu katika masaa ya giza.
Hakuna yeyote anayethubutu kuweka mawazo ya kutotii.
Ulimwengu wote ni Mpya Kabisa katika Utukufu wa Mungu.
Ni ajabu iliyoje kwa kila mtu kuona.
Inaonekana kama mmwanadamu anaishi mbinguni ambako mwanadamu anafikiria,
huru kutoka kwa mfumbato wa Shetani na mashambulizi ya maadui.
Kwa amri takatifu ya Mungu, ulimwengu una utaratibu kamili.
Hakuna kinachothubutu kuvuruga; umoja ambao haujawahi kuvunjwa.
Kwa amri takatifu ya Mungu, ulimwengu una utaratibu kamili.
Hakuna kinachothubutu kuvuruga; umoja ambao haujawahi kuvunjwa.
Ulimwengu wote ni Mpya Kabisa katika Utukufu wa Mungu.
Ni ajabu iliyoje kwa kila mtu kuona.
Inaonekana kama mmwanadamu anaishi mbinguni ambako mwanadamu anafikiria,
huru kutoka kwa mfumbato wa Shetani na mashambulizi ya maadui.
Ulimwengu wote ni Mpya Kabisa katika Utukufu wa Mungu.
Ni ajabu iliyoje kwa kila mtu kuona.
Inaonekana kama mmwanadamu anaishi mbinguni ambako mwanadamu anafikiria,
huru kutoka kwa mfumbato wa Shetani na mashambulizi ya maadui.
Ulimwengu wote ni Mpya Kabisa katika Utukufu wa Mungu.

kutoka kwa "Tamko la Kumi na Tano" la Matamshi ya Mungu kwa 

Ulimwengu Mzima katika Neno Laonekana katika Mwili

Alhamisi, 16 Agosti 2018

Swahili Christian Worship Song "Upendo wa Mungu Hutuleta Karibu Zaidi Pamoja"


Swahili Christian Worship Song "Upendo wa Mungu Hutuleta Karibu Zaidi Pamoja"

ngawa tumetengwa na maziwa na milima isiyohesabika,

sisi tuko pamoja, bila mipaka kati yetu,

tukiwa na rangi tofauti za ngozi na kuzungumza ndimi tofauti.

Kwa sababu maneno ya Mwenyezi Mungu yanatuita,

tunainulia juu mbele ya kiti cha enzi cha Mungu.

Jumatano, 15 Agosti 2018

Wimbo wa Maneno ya Mungu "Upendo Safi Bila Dosari" | What Is It to Truly Love God?


Wimbo wa Maneno ya Mungu "Upendo Safi Bila Dosari" | What Is It to Truly Love God?

I

Upendo ni hisia safi, safi bila dosari.

Tumia moyo, tumia moyo, kupenda, kuhisi, kutunza.

Upendo hauna masharti, vizuizi au kujitenga.

Tumia moyo, Tumia moyo, kupenda, kuhisi, kutunza.

Ukipenda hudanganyi, hulalamiki, hugeuki,

hutazamii kupata kitu, cha malipo.

Ukipenda utajitolea, ukubali taabu, kuwa kimoja, Mungu katika mapatano.

II

Upendo hauna shauku, ujanja wala uongo.

Tumia moyo, Tumia moyo, kupenda, kuhisi, kutunza.

Upendo haujitengi, upendo hauna dosari.

Tumia moyo, Tumia moyo, kupenda, kuhisi, kutunza.

Ukipenda hudanganyi, hulalamiki, hugeuki,

hutazamii kupata kitu cha malipo.

Ukipenda utajitolea, ukubali taabu, kuwa kimoja, Mungu katika mapatano.

III

Utatoa familia, ujana wako na siku za usoni.

Utoe ndoa yako kwa Mungu, toa vyote kwake.

Utatoa familia, ujana na siku za usoni.

Utoe ndoa yako kwa Mungu, toa vyote kwake.

Ama upendo wako si upendo kabisa, bali uongo, usaliti kwa Mungu.

IV

Upendo ni hisia safi, safi bila dosari.

Tumia moyo, Tumia moyo, kupenda, kuhisi, kutunza.

Upendo hauna masharti, vizuizi au kujitenga.

Tumia moyo, Tumia moyo, kupenda, kuhisi, kutunza.


kutoka kwa Neno Laonekana katika Mwili

    Chanzo: Kanisa la Mwenyezi MunguUmeme wa Mashariki 

Jumatatu, 23 Julai 2018

Wimbo za wokovu | “Kwa Kuwa Mungu Anamwokoa Mwanadamu, Atamwokoa Kabisa” | Wema wa Mungu


Wimbo za wokovu | “Kwa Kuwa Mungu Anamwokoa Mwanadamu, Atamwokoa Kabisa” | Wema wa Mungu

I
Kwa kuwa Mungu alimuumba mwanadamu, Atamwongoza;

kwa kuwa Anamwokoa mwanadamu, Atamwokoa na kumpata kabisa;

kwa kuwa anamwongoza mwanadamu, Atamfikisha katika hatima sahihi.

Kwa kuwa Alimuumba mwanadamu na Anamsimamia,

ni lazima awajibikie matarajio na jalaa ya mwanadamu.

Ni hii ndiyo kazi inayofanywa na Muumba.

Ingawa kazi ya ushindi inafanikishwa ikiondoa matarajio ya jamii ya wanadamu,

mwishowe, mwanadamu bado ataletwa katika hatima sahihi ambayo Mungu amemwandalia.

Jumamosi, 14 Julai 2018

Kwa Kuwa Mungu Anamwokoa Mwanadamu, Atamwokoa Kabisa | Mwenyezi Mungu

Smiley face


Kwa Kuwa Mungu Anamwokoa Mwanadamu, Atamwokoa KabisaMwenyezi Mungu

I
Kwa kuwa Mungu alimuumba mwanadamu, Atamwongoza;
kwa kuwa Anamwokoa mwanadamu,
Atamwokoa na kumpata kabisa;
kwa kuwa anamwongoza mwanadamu,
Atamfikisha katika hatima sahihi.
Kwa kuwa Alimuumba mwanadamu na Anamsimamia,
ni lazima awajibikie matarajio na jalaa ya mwanadamu.
Ni hii ndiyo kazi inayofanywa na Muumba.
Ingawa kazi ya ushindi inafanikishwa ikiondoa
matarajio ya jamii ya wanadamu,
mwishowe, mwanadamu bado ataletwa katika
hatima sahihi ambayo Mungu amemwandalia.

Jumamosi, 23 Juni 2018

Swahili Christian Movie | Nyendo za Mateso ya Kidini Nchini China | "Mhalifu ni Nani?"


Swahili Christian Movie | Nyendo za Mateso ya Kidini Nchini China | "Mhalifu ni Nani?" 

Tangu kilipokuja mamlakani katika China Bara mnamo mwaka wa 1949, Chama Cha Kikomunisti cha China kimekuwa hakikomi katika mateso yake kwa imani ya kidini. Kwa wayowayo kimewashika na kuwaua Wakristo, kuwafukuza na kuwadhulumu wamishonari wanaofanya kazi nchini China, wakachukua ngawira na kuchoma nakala nyingi za Biblia, wakafunga kabisa na kubomoa majengo ya kanisa, na bila mafanikio wakajaribu kukomesha makanisa yote ya nyumbani. Filamu hii ya habari inaelezea uzoefu halisi wa Mkristo Kanisa la Mwenyezi Mungu Mchina, Zhou Haijiang, ambaye alikamatwa na serikali ya CCP, akateswa, na kufa kutokana na kuteswa kwake kwa sababu ya imani yake kwa Mungu na utendaji wake wa kazi. Baada ya kifo cha Zhou Haijiang, familia yake pia ilifuatiwa, kutishwa, na kuogofywa na CCP. Hawakushindwa tu kupata haki kwa marehemu, lakini walikutupwa katika vurugu na mateso ya CCP.

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Mateso ya Kidini, Filamu za Kikristo

Umeme wa Mashariki, lilianzishwa kwa sababu ya kuonekana na kazi ya Mwenyezi Mungu, ujio wa pili wa Bwana Yesu, Kristo wa siku za mwisho. Liliasisiwa kikamilifu na Mwenyezi Mungu mwenyewe na linaongozwa naye kama Mchungaji. Kwa hakika halikuanzishwa na mtu. Kristo ni ukweli, njia, na uzima. Kondoo wa Mungu husikia sauti ya Mungu. Mradi unasoma maneno ya Mwenyezi Mungu, utaona kuwa Mungu ameonekana.