Jumatatu, 23 Julai 2018

Wimbo za wokovu | “Kwa Kuwa Mungu Anamwokoa Mwanadamu, Atamwokoa Kabisa” | Wema wa Mungu


Wimbo za wokovu | “Kwa Kuwa Mungu Anamwokoa Mwanadamu, Atamwokoa Kabisa” | Wema wa Mungu

I
Kwa kuwa Mungu alimuumba mwanadamu, Atamwongoza;

kwa kuwa Anamwokoa mwanadamu, Atamwokoa na kumpata kabisa;

kwa kuwa anamwongoza mwanadamu, Atamfikisha katika hatima sahihi.

Kwa kuwa Alimuumba mwanadamu na Anamsimamia,

ni lazima awajibikie matarajio na jalaa ya mwanadamu.

Ni hii ndiyo kazi inayofanywa na Muumba.

Ingawa kazi ya ushindi inafanikishwa ikiondoa matarajio ya jamii ya wanadamu,

mwishowe, mwanadamu bado ataletwa katika hatima sahihi ambayo Mungu amemwandalia.



II

Kwa sababu ni Mungu anayemfanyia mwanadamu kazi, mwanadamu ana hatima

na hatima yake hivyo inahakikishwa, hatima yake inahakikishwa.


Yale ambayo mwanadamu hufuatilia na kutamani ni matarajio aliyo nayo


anapofuata tamaa badhirifu za kimwili,


badala ya hatima, hatima inayotazamiwa na mwanadamu.


Yale ambayo Mungu amemwandalia mwanadamu, kwa upande mwingine,


ni baraka na ahadi zinazomngoja mwanadamu atakapotakaswa,


ambayo Mungu alimwandalia baada ya kuiumba dunia.


Hizo baraka na ahadi hazichafuliwi na fikira


ya mwanadamu na mawazo, au chaguo lake au mwili.


Hii hatima haijaandaliwa kwa mtu mahsusi,


mtu mahsusi, lakini ni mahali pa mapumziko kwa kila mwanadamu.


Hii ndiyo hatima inayofaa, hatima inayofaa kwa mwanadamu.



III


Ni lazima awajibikie matarajio na jalaa ya mwanadamu.


Ni hii ndiyo kazi inayofanywa na Muumba.


Ingawa kazi ya ushindi inafanikishwa ikiondoa matarajio ya jamii ya wanadamu,


mwishowe, mwanadamu bado ataletwa katika hatima sahihi ambayo Mungu amemwandalia.


Ni lazima awajibikie matarajio na jalaa ya mwanadamu.


Ni hii ndiyo kazi inayofanywa na Muumba.


Ingawa kazi ya ushindi inafanikishwa ikiondoa matarajio ya jamii ya wanadamu,


mwishowe, mwanadamu bado ataletwa katika


hatima sahihi ambayo Mungu amemwandalia.

kutoka kwa Neno Laonekana katika Mwili

0 评论:

Chapisha Maoni