Jaweni na Upendo kwa Ajili ya Mungu | Muziki wa Akapela "Yasifu Maisha Mapya"

Kristo wa siku za mwisho ameonekana, akifanya kazi na kuzungumza miongini mwa wanadamu. Neno lake hutuhukumu, kutuadibu na kututakasa, likituongoza kwenye njia sahihi ya maisha ya binadamu.

Muziki wa Akapela "Tokeo Lililofikiwa kwa Kumjua Mungu" (Video Rasmi ya Muziki)

Hayuko katika upeo wa mbali, wala hajajificha juu mawinguni. Yuko kando yako, akiwa na mamlaka juu ya kila kitu chako, Yeye ni kila kitu ulicho nacho, na Yeye ni kitu pekee ulicho nacho.

Mwabudu Mungu kwa Roho na Ukweli | “Sauti ya Moyo ya Kiumbe Aliyeumbwa” (Video za Kikristo)

Mungu wa vitendo na wa kweli, upendo ndani ya moyo wangu. Mimi ni vumbi lakini ninaweza kuona uso Wako. Ninawezaje kukosa kukuabudu?

Mungu ndiye Mwanzo na tena Mwisho | Kwaya ya Injili

Mungu ndiye Mwanzo (Mungu ndiye Mwanzo) na Mwisho (na Mwisho); ni Yeye Mwenyewe Anayetekeleza kazi Yake na hivyo lazima iwe Yeye Mwenyewe Anayemaliza enzi ya kale. Huo ndio ushahidi kuwa Yeye humshinda Shetani (humshinda Shetani) na huishinda dunia, ushahidi kuwa Yeye huishinda dunia.

Nampenda Mungu kwa Moyo Wangu Wote | "Nitampenda Mungu Milele" Video Rasmi ya Muziki

Nitakupa Wewe upendo wa kweli, na sitakuacha Usubiri. Mimi nitakupa Wewe upendo safi, na tafadhali furahia upendo wangu. Nitakupa Wewe upendo wangu wote, na kukuacha upate upendo wangu. Nitakupenda Wewe kwa wakati wote; kukuridhisha Wewe ni matamanio yangu.

Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Msururu-wa-MV-za-Ufalme. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Msururu-wa-MV-za-Ufalme. Onyesha machapisho yote

Alhamisi, 4 Aprili 2019

Wimbo wa Injili "Mwana wa Adamu Ameonekana" | Sifu Kurudi kwa Yesu Mwokozi | Watoto Wanacheza Ngoma



Wimbo wa Injili "Mwana wa Adamu Ameonekana" | Sifu Kurudi kwa Yesu Mwokozi | Watoto Wanacheza Ngoma
Kutoka Mashariki ya ulimwengu (Mashariki ... Mashariki ...), mwale wa mwanga unatokea (mwanga ... mwanga ...), ukiangaza njia yote kwenda magharibi. Mwana wa Adamu ameshuka duniani. Mwokozi amerejea, Yeye ni Mwenyezi Mungu. Akionyesha ukweli, Ameanzisha enzi mpya. Mwana wa Adamu ameonekana. (Siyo?) Mungu amekuja. (Eh!) Yeye huwaletea binadamu njia ya uzima wa milele@(njia ya uzima wa milele). Mbingu mpya, dunia mpya, enzi mpya, binadamu wapya, njia mpya, maisha mapya. Yerusalemu mpya umeshuka duniani. Tumerudi kwa familia ya Mungu na tunaishi maisha ya kanisa, kila siku tukila na kunywa neno la Mungu, tukikua katika upendo Wake. Wewe kuja na uimbe! (Sawa!) Nitacheza ngoma! (Ngoma!) Maisha yetu ni ya furaha kweli (furaha kweli). Tuko katika uwepo wa Mungu. (Tunaufurahia kweli.) Tuna baraka za Mungu. (Tuna furaha sana.) Ufalme wa Kristo ni nyumba kunjufu. Mwenyezi Mungu, Kristo wa siku za mwisho, mpendwa wetu apendezaye. Kila mstari Anenao ni ukweli, utunyinyiziao. Anatufundisha jinsi ya kutenda, jinsi ya kuwa waaminifu. Tukiishi kati ya baraka za Mungu, tunampenda Mungu kwa moyo wetu wote. Hukumu ya neno la Mungu inaishinda mioyo ya watu wote. Wakiwa wametakaswa, watu wa Mungu humtolea ushuhuda. Hebu tuwe wenye akili moja (tukitimiza wajibu wetu), tukilipiza upendo wa Mungu (kuwa na ushuhuda kwa Mungu), tukieneza injili ya Ufalme wa Mungu (injili ya Ufalme wa Mungu). Neno la Mungu linaenea duniani kote. Jina takatifu la Mungu linasifiwa na wote. Ufalme wa Kristo unafanyika duniani. Hebu tuwe wenye akili moja (tukitimiza wajibu wetu), tukilipiza upendo wa Mungu (kuwa na ushuhuda kwa Mungu), tukieneza injili ya Ufalme wa Mungu (injili ya Ufalme wa Mungu). Neno la Mungu linaenea duniani kote. Jina takatifu la Mungu linasifiwa na wote. Ufalme wa Kristo unafanyika duniani. Ufalme wa Kristo unafanyika duniani.
kutoka katika Mfuateni Mwanakondoo na Kuimba Nyimbo Mpya

Kujua zaidi: Umeme wa Mashariki Hutoka wapi?


Jumanne, 2 Aprili 2019

Wimbo wa Kuabudu | “Wale Wanaompenda Mungu kwa Dhati Wote ni Watu Waaminifu” | Kids Dance


 Wimbo wa Kuabudu | “Wale Wanaompenda Mungu kwa Dhati Wote ni Watu Waaminifu” | Kids Dance

Safi na mwaminifu, kama mtoto bila hatia, mchangamfu na mwenye nguvu za ujana, wao ni kama malaika wanaokuja ulimwenguni. Bila udanganyifu, na mioyo iliyo wazi tu, wao ni waadilifu. Wanatoa mioyo yao kwa Mungu na kupata imani Yake. Wao ni watu waaminifu ambao Mungu anapenda. Kuacha maneno ya Mungu yatuongoze kila siku, tumebarikiwa na Roho Mtakatifu anatuongoza. Tunakubali uchunguzi wa Mungu, tunaishi mbele Yake. Kumpenda Mungu kweli ni kuwa na furaha. Ufalme wa Kristo ni mbinguni kwa watu waaminifu. Na ni nyumbani kwao kuzuri. Wale wanaopenda ukweli wote wana mioyo ya uaminifu. Tunafurahia kutenda ukweli. Kwa kumtii Mungu mioyo yetu ina amani. Tunamcha Mungu na kuepuka uovu, kuishi kwa maneno ya Mungu. Tukiishi katika maneno ya Mungu tumewekwa huru. Kumpenda Mungu ni kuwa na furaha kamili. Kuacha maneno ya Mungu yatuongoze kila siku, tumebarikiwa na Roho Mtakatifu anatuongoza. Tunakubali uchunguzi wa Mungu, tunaishi mbele Yake. Kumpenda Mungu kweli ni kuwa na furaha. Ufalme wa Kristo ni mbinguni kwa watu waaminifu. Na ni nyumbani kwao kuzuri. Kumpenda Mungu huleta amani na furaha. Tunaishi kwa urahisi tunapotenda kwa maneno ya Mungu. Ni Mungu na ukweli pekee vilivyo moyoni mwetu. Maneno ya Mungu yamekuwa maisha yetu yote. Kuacha maneno ya Mungu yatuongoze kila siku, tumebarikiwa na Roho Mtakatifu anatuongoza. Tunakubali uchunguzi wa Mungu, tunaishi mbele Yake. Kumpenda Mungu kweli ni kuwa na furaha. Ufalme wa Kristo ni mbinguni kwa watu waaminifu. Na ni nyumbani kwao kuzuri.
kutoka katika Mfuateni Mwanakondoo na Kuimba Nyimbo Mpya


Sikiliza zaidi: Wimbo za Kusifu na Kuabudu 2019 “Watu wa Mungu wa Mataifa Yote Huonyesha Hisia Zao Kama Mtu Mmoja


Alhamisi, 11 Oktoba 2018

Swahili Christian Music Video | "Ni Watu Waaminifu Pekee Walio na Mfano wa Binadamu" | God Led Me Onto the Right Path of Life

 Swahili Christian Music Video | "Ni Watu Waaminifu Pekee Walio na Mfano wa Binadamu" | God Led Me Onto the Right Path of Life


I

Kwa ajili ya faida niliacha viwango vyote vya mwenendo,

na bila haya nikatumia udanganyifu kutafuta riziki yangu.

Sikujali chochote kuhusu dhamiri au maadili, chochote kuhusu uadilifu au heshima.

Niliishi tu kuridhisha tamaa na uroho wangu vilivyozidi kukua.

Kwa moyo usio na amani, nilitembea katika matope ya dhambi,

bila njia yoyote ya kuepuka giza hii isiyo na mipaka.

Utajiri wa maisha na raha za muda mfupi

hazingeweza kuficha utupu na maumivu ndani ya moyo wangu.

Ni rahisi kuandika neno "mwanadamu."

Lakini kuwa mwaminifu na mwenye kusadikika ni vigumu kuliko ngumu.

Ni nani anayeweza kuniokoa kutoka katika shimo hili la dhambi?

Ni nani anayeweza kuniokoa kutoka katika shimo hili la dhambi?

II

Sauti ya Mungu imeniongoza mbele Yake.

Leo ninaweza kumfuata Mungu na kumtumikia.

Moyo wangu umejaa utamu kutoka kwa kusoma maneno ya Mungu kila siku.

Kwa kuelewa ukweli, sasa nina kanuni za tabia za kibinadamu.

Kila kitu ninachofanya na kusema ni kulingana na maneno ya Mungu.

Kukubali uchunguzi wa Mungu katika mambo yote huufanya moyo wangu uwe mtulivu na wenye amani.

Hakuna udanganyifu, hakuna uongo, ninaishi katika nuru.

Kwa moyo ulio wazi, mimi ni mtu mwaminifu, na ninaishi kwa kudhihirisha mfano wa kibinadamu mwishowe.

Hukumu ya Mungu na kuadibu kumeniokoa,

na kuniwezesha kuzaliwa upya katika maneno ya Mungu.

Mimi nina shukrani milele kwa upendo wa Mungu na kwa wokovu wa Mungu!

Mimi nina shukrani milele kwa upendo wa Mungu na kwa wokovu wa Mungu!

Mimi nina shukrani milele kwa upendo wa Mungu na kwa wokovu wa Mungu!

kutoka kwa Mfuateni Mwanakondoo na Kuimba Nyimbo Mpya

     Tufuate : Kuhusu Mwenyezi Mungu

Jumatano, 18 Aprili 2018

2018 Best African Worship Song "Miaka Elfu Mbili ya Kungoja" | Karibu Kurudi kwa Bwana Yesu

2018 Best African Worship Song "Miaka Elfu Mbili ya Kungoja" | Karibu Kurudi kwa Bwana Yesu

Kwamba Mungu amekuwa mwili
hutikisa ulimwengu wa kidini,
inavuruga utaratibu wa kidini,
na inakoroga roho za wale
wanaongoja kuonekana kwa Mungu.
Nani asiyeshangazwa na haya?
Ni nani asiye na hamu ya kumwona Mungu?
Mungu ameishi kwa miaka mingi kati ya binadamu,
lakini binadamu hafahamu.
Leo, Mungu Mwenyewe ametokea
kufanya upya upendo Wake wa kitambo na mwanadamu.

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, Nyimbo
Baada ya Yeye kuondoka Uyahudi,
Mungu alipotea bila kuonekana.
Watu wana hamu ya kumwona tena,
lakini kwamwe hawajawahi kutarajia
kuungana na Yeye hapa na leo.
Hii itakosa vipi kuleta kumbukumbu za kitambo?
Miaka elfu mbili iliyopita,
Simoni mwana wa Yohana alikutana na Bwana Yesu,
na akala na Bwana katika meza moja.
Miaka ya kufuatia iliongeza upendo wake Kwake.
Alimpenda Yesu kwa dhati.
Mungu ameishi kwa miaka mingi kati ya binadamu,
lakini binadamu hafahamu.
Leo, Mungu Mwenyewe ameonekana ili
kufanya upya upendo Wake wa kitambo na mwanadamu.
kufanya upya upendo Wake wa kitambo na mwanadamu.

Utukufu wote Uwe kwa Mwenyezi Mungu!
Soma Zaidi: Kujua Kanisa la Mwenyezi MunguUmeme wa Mashariki Hutoka wapi?

Jumatano, 4 Aprili 2018

Swahili Gospel Song "Sala ya Watu wa Mungu" | Kuishi katika Upendo wa Mungu

Swahili Gospel Song "Sala ya Watu wa Mungu" | Kuishi katika Upendo wa Mungu

Watu wa Mungu wanainuliwa mbele ya kiti Chake cha Enzi,
maombi mengi mioyoni mwao.
Mungu huwabariki wote wanaorejea Kwake;
wote wanaishi katika mwanga.
Omba Roho Mtakatifu alipe nuru neno la Mungu
ili kwamba tujue kikamilifu mapenzi ya Mungu.
Tunaomba watu wote walitunze sana neno la Mungu
na waje kutafuta kumjua Mungu.
Tunaomba Mungu atupe zaidi ya neema Yake,
ili tabia zetu ziweze kubadilika.
Tunaomba Mungu atufanye wakamilifu
ili tuwe moyo na mawazo moja pamoja na Yeye.
Tunaomba Mungu atufundishe nidhamu
ili tuweze kutimiza wajibu wetu Kwake.
Tunaomba Roho Mtakatifu kila siku atuongoze
kuhubiri na kumshuhudia Mungu.
Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, neema
Tunaomba watu wote wajue tofauti ya mema na mabaya,
wauweke ukweli katika vitendo.
Tunaomba Mungu awaadhibu watenda maovu
na kanisa Lake lisisumbuliwe.
Tunaomba watu wote watoe upendo wa kweli kwa Mungu
wa kupendeza na mtamu sana.
Tunaomba Mungu aondoe pingamizi yote
ili tuweze kutoa vyetu vyote kwa Mungu.
Tunaomba Mungu aiweke mioyo yetu ikimpenda Mungu,
isimwache Mungu.
Tunaomba wale walioamuliwa kabla na Mungu
warudi katika uwepo Wake.
Tunaomba watu wote waimbe sifa zao kwa Mungu
ambaye amefikia utukufu.
Tunaomba Mungu awe na watu Wake,
atuweke tuendelee kuishi katika upendo wa Mungu.
Utukufu wote Uwe kwa Mwenyezi Mungu!
Kujua zaidi: Kuhusu Kanisa la Mwenyezi MunguUmeme wa Mashariki Hutoka wapi?

Jumanne, 3 Aprili 2018

Neno la Mungu Humwongoza Mtu Kuishi Maisha Mapya | Maisha Yetu ya Kanisa Yanapendeza Sana

Neno la Mungu Humwongoza Mtu Kuishi Maisha Mapya | Maisha Yetu ya Kanisa Yanapendeza Sana

Maisha Yetu ya Kanisa Yanapendeza Sana
I
Mwenyezi Mungu mwenye mwili, tunaimba nyimbo za sifa kubwa Kwako.
Wewe hutuleta katika maisha ya ufalme.
Sisi watu wa ufalme tu katika karamu yako ya fahari,
tukifurahia maneno Yako, tukitakaswa upotovu wetu.
Neno Lako hutuongoza na sisi kukufuata kwa karibu.
Ni neema ya Mungu kwamba tabia yetu ya kishetani imetupiliwa mbali.
Sisi hufurahia neno la Mungu na kuishi maisha mapya mbele Zake.
Kutunza moyo wa Mungu, kumpenda Yeye kwa dhati, kumshukuru na kumsifu.
La la la la la ... la la la la la ...
Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, Kanisa

II
Kumini kwamba neno la Mungu ni ukweli na linaweza kutupa maisha.
Sisi hufanya ushirika kuhusu neno la Mungu na kuuelewa ukweli, na Roho Mtakatifu Akifanya kazi juu yetu.
Twajimimina mbali sisi wenyewe, kuwa sahili na wazi, na kufanya mazoezi ya kuwa mtu mwaminifu.
Ukweli hutufanya kuwa walioachiliwa na huru, ukijaza moyo wetu na furaha.
Maisha yetu ya kanisa yanapendeza sana, na watakatifu wote wamekuwa hai.
Sisi hufanya ushirika juu ya ukweli na kusaidiana, na maisha yetu hukua kwa kasi.
Kukubali hukumu, kutenda ukweli, na kuishi katika neno la Mungu.
Ishi kwa kudhihirisha uhalisi wa ukweli kutosheleza moyo wa Mungu.
La la la la la ... la la la la la …
III
Sisi ndugu huratibu kwa mpangilio na sote tuna furaha.
Sisi huwasilishiana maneno ya Mungu na kushiriki matukio, tukitekeleza majukumu yetu kwa uratibu.
Kutii kweli, kuingia uhalisi na kumfanya Mungu aridhike.
Kuishi katika upendo wa Mungu, sisi humsifu Mungu milele.
La la la la la ... la la la la la ...

kutoka kwa Mfuateni Mwanakondoo na Kuimba Nyimbo Mpya 

Kujua zaidi: Kuhusu Kanisa la Mwenyezi MunguUmeme wa Mashariki Hutoka wapi?

Jumamosi, 17 Machi 2018

Umeme wa Mashariki | Tafuteni Maana ya Maisha - "Kwa Ajili ya Nani Mtu Aishi" (Video Rasmi ya Muziki)

Umeme wa Mashariki | Tafuteni Maana ya Maisha - "Kwa Ajili ya Nani Mtu Aishi" (Video Rasmi ya Muziki)

Kwa Ajili ya Nani Mtu Aishi
Haikuwa wazi ni kwa ajili ya nani mtu anapaswa kuishi. Sasa nina jibu kwa hilo.
Nilikuwa naishi tu kwa ajili yangu mwenyewe, kutafuta hadhi tu na umaarufu.
Maombi kwa Mungu yaliyojaa maneno mema, lakini nikishikilia njia zangu mwenyewe katika maisha halisi.Imani juu ya msingi wa kesho na majaliwa, sina ukweli au uhalisi.
Mila na sheria, zikifungia imani yangu; sikubaki na kitu ila utupu.
Kushindwa kuishi kama binadamu, sistahili upendo wa Mungu kwa ajili yangu.

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, hukumu
Moyo wangu umeamshwa sasa, ukiniambia ni lazima nilipe upendo wa Mungu.
Najichukia kwa kuwa sikuwa na dhamira, kutomtii Mungu na kuvunja moyo wake.
Kamwe sijawahi kuutunza moyo wa Mungu; kamwe sikuwahi kujishughulisha na maneno Yake.Bila dhamiri, kutokuwa na hisi, ni jinsi gani naweza kuorodheshwa kama mtu?
Hukumu ya Mungu hunifanya nione, nilikuwa nimepotoshwa na Shetani kabisa.
Maovu, dunia hii, iliyojaa mitego, Ukweli ndio muumini lazima achague.
Ee Mungu mpenzi, Unanipenda sana, kufanya kila Unaloweza kunifanya niokolewe.
Kile Ulichonifanyia, nitakiweka kwa kumbukumbu! Kamwe sitasahau milele.
Utunzaji wa moyo wa Mungu, hayo ni mapenzi yangu yote. Nina kusudio la kufuata ukweli.
Najishughulisha kugharimia rasilmali kwa ajili ya Mungu, kujitoa mwenyewe kulipa upendo wake,kujitoa mwenyewe kulipa upendo wake.
kutoka kwa Mfuateni Mwanakondoo na Kuimba Nyimbo Mpya
Utukufu wote Uwe kwa Mwenyezi Mungu!

Ijumaa, 16 Machi 2018

Mwabudu Mungu kwa Roho na Ukweli | Muziki wa Akapela "Tokeo Lililofikiwa kwa Kumjua Mungu"


Mwabudu Mungu kwa Roho na Ukweli | Muziki wa Akapela "Tokeo Lililofikiwa kwa Kumjua Mungu"

Tokeo Lililofikiwa kwa Kumjua Mungu
Mpaka siku moja,
utahisi kuwa Muumba sio fumbo tena,
kwamba Muumba hajawahi kufichwa kutoka kwako,
kwamba Muumba hajawahi kuificha sura Yake kutoka kwako,
kwamba Muumba hayuko mbali na wewe hata kidogo,
kwamba Muumba siye Yule unayemtamania katika mawazo yako
lakini kwamba huwezi kumfikia na hisia zako,
kwamba Anasimama kwa kweli kama mlinzi kulia na kushoto kwako,
Akiruzuku maisha yako, na kudhibiti majaliwa yako, kudhibiti majaliwa yako.
Hayuko katika upeo wa mbali, wala hajajificha juu mawinguni.
Yuko kando yako, akiwa na mamlaka juu ya kila kitu chako,
Yeye ni kila kitu ulicho nacho, na Yeye ni kitu pekee ulicho nacho.
Mungu kama huyo Anakukubali umpende kutoka moyoni,
umshikilie, umweke karibu, umtamani,
uhofu kumpoteza,
na kutotaka kumkataa tena, kutomtii tena,
ama kumwepuka tena ama kumweka mbali.
Kile unachotaka ni kumjali tu, kumtii,
kulipia kila kitu Anachokupa, na kujisalimisha katika himaya Yake.
Hukatai tena kuongozwa,
kupewa, kuangaliwa, na kuwekwa na Yeye,
hukatai tena Anachoamuru na kukitawaza kwako,
Anachoamuru na kukitawaza kwako.
Unachotaka tu ni kumfuata, kutembea kando Yake katika kushoto ama kulia Kwake,
ni kumfuata, kutembea kando Yake katika kushoto ama kulia Kwake,
kile utakacho ni kumkubali kama Bwana wako mmoja na wa pekee,
kile utakacho ni kumkubali kama Bwana wako mmoja na wa pekee,
Mungu wako mmoja na wa pekee.
Hukatai tena
Hukatai tena
Hukatai tena
Hukatai tena
Hukatai tena kuongozwa, kupewa, kuangaliwa, na kuwekwa na Yeye,
katai tena
katai tena
katai tena
katai tena
Anachoamuru na kukitawaza kwako, Anachoamuru na kukitawaza kwako.
Unachotaka tu ni kumfuata, kutembea kando Yake katika kushoto ama kulia Kwake,
kumfuata, kutembea kando Yake katika kushoto ama kulia Kwake,
kile utakacho ni kumkubali kama Bwana wako mmoja na wa pekee,
kile utakacho ni kumkubali kama Bwana wako mmoja na wa pekee, Mungu wako mmoja na wa pekee.
Unachotaka tu ni kumfuata, kutembea kando Yake katika kushoto ama kulia Kwake,
ni kumfuata, kutembea kando Yake katika kushoto ama kulia Kwake,
kile utakacho ni kumkubali kama Bwana wako mmoja na wa pekee,
kama Bwana wako mmoja na wa pekee, Mungu wako mmoja na wa pekee.
Mungu wako mmoja na wa pekee.

Kutoka kwa Kuendeleza kwa Neno Laonekana katika Mwili
Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, ukweli
Umeme wa Mashariki, Kanisa la Mwenyezi Mungu lilianzishwa kwa sababu ya kuonekana na kazi ya Mwenyezi Mungu, ujio wa pili wa Bwana Yesu, Kristo wa siku za mwisho. Linashirikisha wale wote ambao wanaikubali kazi ya Mwenyezi Mungu katika siku za mwisho na ambao wameshindwa na kuokolewa kwa maneno Yake. Liliasisiwa kikamilifu na Mwenyezi Mungu mwenyewe na linaongozwa naye kama Mchungaji. Kwa hakika halikuanzishwa na mtu. Kristo ni ukweli, njia, na uzima. Kondoo wa Mungu husikia sauti ya Mungu. Mradi unasoma maneno ya Mwenyezi Mungu, utaona kuwa Mungu ameonekana.

Alhamisi, 15 Machi 2018

Maisha Mapya Katika Ufalme - “Papa hapa, Hivi Sasa, Tuungane Pamoja” (Video Rasmi ya Muziki)


Umeme wa Mashariki | Maisha Mapya Katika Ufalme - “Papa hapa, Hivi Sasa, Tuungane Pamoja” (Video Rasmi ya Muziki)

Papa hapa, Hivi Sasa, Tuungane Pamoja

Kwa kupendana, sisi ni familia. Ah … ah …
Papa hapa, hivi sasa, tunaungana; kusanyiko la watu wampendao Mungu.
Bila upendeleo, tukishikizwa kwa karibu, furaha na utamu vikijaza nyoyo zetu.
Jana tuliacha majuto na hatia; leo tunaelewana, tunaishi katika upendo wa Mungu.
Pamoja, tuna furaha zaidi, huru kutoka kwa mwili. Ndugu zangu, pendaneni; sisi ni familia moja.
Bila upendeleo, tukishikizwa kwa karibu, Ah … ah …

Papa hapa, hivi sasa, tunaungana; kusanyiko la watu kote ulimwenguni.
Mwanzo tukiwa tumepotoshwa lakini tumeokolewa na Mungu. Tuna lugha moja na moyo mmoja, nia moja.
Tukishiriki hisia za tulipokuwa tumetengana; na uzoefu na maarifa tuliyonayo.
Sasa tumeshika mwendo adhimu wa maisha, mbele yetu, maisha anisi ya baadaye yaliyojaa tumaini na mng'aro.
Wakati anisi ujao, uliojaa mng'aro. Ah … ah …
Papa hapa, hivi sasa, tunaungana; lakini hivi punde tutakuwa tumetengana.
Hali tumetwishwa mizigo ya kazi na mapenzi ya Mungu, tutatengana kwa ajili ya kazi ya Mungu.
Tunapokusanyika, sisi hucheka na kuongea kwa furaha; tunapoondoka, tunatumainishana.
Upendo wa Mungu, chanzo chetu cha kuwa watiifu hadi mwisho.
Kwa maisha mazuri ya baadaye, tutafanya lolote tutakaloweza.
Kwa maisha mazuri ya baadaye, tutafanya lolote tutakaloweza.
kutoka kwa Mfuateni Mwanakondoo na Kuimba Nyimbo Mpya
Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, neema

Umeme wa Mashariki, Kanisa la Mwenyezi Mungu lilianzishwa kwa sababu ya kuonekana na kazi ya Mwenyezi Mungu, ujio wa pili wa Bwana Yesu, Kristo wa siku za mwisho. Linashirikisha wale wote ambao wanaikubali kazi ya Mwenyezi Mungu katika siku za mwisho na ambao wameshindwa na kuokolewa kwa maneno Yake. Liliasisiwa kikamilifu na Mwenyezi Mungu mwenyewe na linaongozwa naye kama Mchungaji. Kwa hakika halikuanzishwa na mtu. Kristo ni ukweli, njia, na uzima. Kondoo wa Mungu husikia sauti ya Mungu. Mradi unasoma maneno ya Mwenyezi Mungu, utaona kuwa Mungu ameonekana.


Jumatano, 7 Machi 2018

Swahili Christian Song "Ni Furaha Kuu kuwa Mtu Mwaminifu" | Mbinguni ni mahali pa mtu mwaminifu


Swahili Christian Song "Ni Furaha Kuu kuwa Mtu Mwaminifu" | Mbinguni ni mahali pa mtu mwaminifu


Kuelewa ukweli huiachilia huru roho ya mtu
na kumfanya mtu kuwa mwenye furaha.
Nimejazwa na imani katika neno la Mungu na sina shaka.
Mimi niko bila uhasi wowote,
sirudi nyuma, na kamwe sikati tamaa.
Ninauunga mkono wajibu wangu
kwa moyo wangu wote na mawazo, na siujali moyo.
Ingawa ubora wa tabia yangu ni wa chini,
nina moyo wa uaminifu.
Nimejitolea kikamilifu katika kila kitu
ili kuyaridhisha mapenzi ya Mungu.
Ninatenda ukweli, namtii Mungu,
na kujaribu kuwa mtu mwaminifu.
Mimi ni wazi na mnyoofu,
bila uongo, nikiishi kwenye mwanga.
Watu waaminifu, kuja haraka, hebu tuongee kwa dhati.
Watu wote wampendao Mungu,
njooni mkusanyike na kuungana kama marafiki wazuri.
Watu wote wenye kupenda ukweli ni ndugu.
Ee watu wenye furaha,
njooni muimbe na kucheza katika sifa kwa Mungu.

Kuelewa ukweli huiachilia huru roho ya mtu
na kumfanya mtu kuwa mwenye furaha.
Nimejazwa na imani katika neno la Mungu na sina shaka.
Mimi niko bila uhasi wowote,
sirudi nyuma, na kamwe sikati tamaa.
Ninauunga mkono wajibu wangu
kwa moyo wangu wote na mawazo, na siujali moyo.
Ingawa ubora wa tabia yangu ni wa chini,
nina moyo wa uaminifu.
Nimejitolea kikamilifu katika kila kitu
ili kuyaridhisha mapenzi ya Mungu.
Ninatenda ukweli, namtii Mungu,
na kujaribu kuwa mtu mwaminifu.
Mimi ni wazi na mnyoofu,
bila uongo, nikiishi kwenye mwanga.
Watu waaminifu, kuja haraka, hebu tuongee kwa dhati.
Watu wote wampendao Mungu,
njooni mkusanyike na kuungana kama marafiki wazuri.
Watu wote wenye kupenda ukweli ni ndugu.
Ee watu wenye furaha,
njooni muimbe na kucheza katika sifa kwa Mungu.
Watu waaminifu, kuja haraka, hebu tuongee kwa dhati.
Watu wote wampendao Mungu,
njooni mkusanyike na kuungana kama marafiki wazuri.
Watu wote wenye kupenda ukweli ni ndugu.
Ee watu wenye furaha,
njooni muimbe na kucheza katika sifa kwa Mungu.

Watu waaminifu, kuja haraka, hebu tuongee kwa dhati.
Watu wote wampendao Mungu,
njooni mkusanyike na kuungana kama marafiki wazuri.
Watu wote wenye kupenda ukweli ni ndugu.
Ee watu wenye furaha,
njooni muimbe na kucheza katika sifa kwa Mungu.
Watu waaminifu, kuja haraka, hebu tuongee kwa dhati.
Watu wote wampendao Mungu,
njooni mkusanyike na kuungana kama marafiki wazuri.
Watu wote wenye kupenda ukweli ni ndugu.
Ee watu wenye furaha,
njooni muimbe na kucheza katika sifa kwa Mungu.
Watu waaminifu, kuja haraka, hebu tuongee kwa dhati.
Watu wote wampendao Mungu,
njooni mkusanyike na kuungana kama marafiki wazuri.
Watu wote wenye kupenda ukweli ni ndugu.
Ee watu wenye furaha,
njooni muimbe na kucheza katika sifa kwa Mungu.

Kutoka kwa Fuata Mwanakondoo na Imba Nyimbo Mpya
Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, upendo wa Mungu

kwa manenokwa maneno Yake. Liliasisiwa kikamilifu na Mwenyezi Mungu mwenyewe na linaongozwa naye kama MchungajUmeme wa Mashariki, Kanisa la Mwenyezi Mungu lilianzishwa kwa sababu ya kuonekana na kazi ya Mwenyezi Mungu, ujio wa pili wa Bwana Yesu, Kristo wa siku za mwisho. Linashirikisha wale wote ambao wanaikubali kazi ya Mwenyezi Mungu katika siku za mwisho na ambao wameshindwa na kuokolewa i. Kwa hakika halikuanzishwa na mtu. Kristo ni ukweli, njia, na uzima. Kondoo wa Mungu husikia sauti ya Mungu. Mradi unasoma maneno ya Mwenyezi Mungu, utaona kuwa Mungu ameonekana.