Jaweni na Upendo kwa Ajili ya Mungu | Muziki wa Akapela "Yasifu Maisha Mapya"

Kristo wa siku za mwisho ameonekana, akifanya kazi na kuzungumza miongini mwa wanadamu. Neno lake hutuhukumu, kutuadibu na kututakasa, likituongoza kwenye njia sahihi ya maisha ya binadamu.

Muziki wa Akapela "Tokeo Lililofikiwa kwa Kumjua Mungu" (Video Rasmi ya Muziki)

Hayuko katika upeo wa mbali, wala hajajificha juu mawinguni. Yuko kando yako, akiwa na mamlaka juu ya kila kitu chako, Yeye ni kila kitu ulicho nacho, na Yeye ni kitu pekee ulicho nacho.

Mwabudu Mungu kwa Roho na Ukweli | “Sauti ya Moyo ya Kiumbe Aliyeumbwa” (Video za Kikristo)

Mungu wa vitendo na wa kweli, upendo ndani ya moyo wangu. Mimi ni vumbi lakini ninaweza kuona uso Wako. Ninawezaje kukosa kukuabudu?

Mungu ndiye Mwanzo na tena Mwisho | Kwaya ya Injili

Mungu ndiye Mwanzo (Mungu ndiye Mwanzo) na Mwisho (na Mwisho); ni Yeye Mwenyewe Anayetekeleza kazi Yake na hivyo lazima iwe Yeye Mwenyewe Anayemaliza enzi ya kale. Huo ndio ushahidi kuwa Yeye humshinda Shetani (humshinda Shetani) na huishinda dunia, ushahidi kuwa Yeye huishinda dunia.

Nampenda Mungu kwa Moyo Wangu Wote | "Nitampenda Mungu Milele" Video Rasmi ya Muziki

Nitakupa Wewe upendo wa kweli, na sitakuacha Usubiri. Mimi nitakupa Wewe upendo safi, na tafadhali furahia upendo wangu. Nitakupa Wewe upendo wangu wote, na kukuacha upate upendo wangu. Nitakupenda Wewe kwa wakati wote; kukuridhisha Wewe ni matamanio yangu.

Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo niokolewe. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo niokolewe. Onyesha machapisho yote

Jumamosi, 17 Machi 2018

Umeme wa Mashariki | Tafuteni Maana ya Maisha - "Kwa Ajili ya Nani Mtu Aishi" (Video Rasmi ya Muziki)

Umeme wa Mashariki | Tafuteni Maana ya Maisha - "Kwa Ajili ya Nani Mtu Aishi" (Video Rasmi ya Muziki)

Kwa Ajili ya Nani Mtu Aishi
Haikuwa wazi ni kwa ajili ya nani mtu anapaswa kuishi. Sasa nina jibu kwa hilo.
Nilikuwa naishi tu kwa ajili yangu mwenyewe, kutafuta hadhi tu na umaarufu.
Maombi kwa Mungu yaliyojaa maneno mema, lakini nikishikilia njia zangu mwenyewe katika maisha halisi.Imani juu ya msingi wa kesho na majaliwa, sina ukweli au uhalisi.
Mila na sheria, zikifungia imani yangu; sikubaki na kitu ila utupu.
Kushindwa kuishi kama binadamu, sistahili upendo wa Mungu kwa ajili yangu.

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, hukumu
Moyo wangu umeamshwa sasa, ukiniambia ni lazima nilipe upendo wa Mungu.
Najichukia kwa kuwa sikuwa na dhamira, kutomtii Mungu na kuvunja moyo wake.
Kamwe sijawahi kuutunza moyo wa Mungu; kamwe sikuwahi kujishughulisha na maneno Yake.Bila dhamiri, kutokuwa na hisi, ni jinsi gani naweza kuorodheshwa kama mtu?
Hukumu ya Mungu hunifanya nione, nilikuwa nimepotoshwa na Shetani kabisa.
Maovu, dunia hii, iliyojaa mitego, Ukweli ndio muumini lazima achague.
Ee Mungu mpenzi, Unanipenda sana, kufanya kila Unaloweza kunifanya niokolewe.
Kile Ulichonifanyia, nitakiweka kwa kumbukumbu! Kamwe sitasahau milele.
Utunzaji wa moyo wa Mungu, hayo ni mapenzi yangu yote. Nina kusudio la kufuata ukweli.
Najishughulisha kugharimia rasilmali kwa ajili ya Mungu, kujitoa mwenyewe kulipa upendo wake,kujitoa mwenyewe kulipa upendo wake.
kutoka kwa Mfuateni Mwanakondoo na Kuimba Nyimbo Mpya
Utukufu wote Uwe kwa Mwenyezi Mungu!