
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Yehova. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Yehova. Onyesha machapisho yote
Alhamisi, 5 Aprili 2018
Tofauti Kati ya Huduma ya Mungu katika Mwili na Wajibu wa Mwanadamu
By UnknownAprili 05, 2018Kiumbe-Aliyeumbwa, kupata-mwili-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, Vitabu, Yehova, YesuNo comments


Tofauti Kati ya Huduma ya Mungu katika Mwili na Wajibu wa Mwanadamu
Mwenyezi Mungu alisema, Ni lazima myafahamu maono ya kazi ya Mungu na mpate mwelekeo wa kazi Yake. Huku ni kuingia kwa njia nzuri. Punde unapong’amua ukweli wa maono kwa usahihi, kuingia kwako...
Jumatatu, 12 Machi 2018
Umeme wa Mashariki | Kuhusu Biblia (2)
By UnknownMachi 12, 2018Kuhusu-Biblia, Neno-Laonekana-katika-Mwili, Vitabu, wateuliwa-wa-Mungu, YehovaNo comments


Umeme wa Mashariki | Kuhusu Biblia (2)
Mwenyezi Mungu alisema, Biblia pia huitwa Agano la Kale na Agano Jipya. Je, mnajua “agano” linarejelea nini? “Agano” katika Agano la Kale linatokana na makubaliano ya Yehova na watu wa Israeli Alipowaua Wamisri na kuwaokoa Waisraeli...
Ijumaa, 1 Desemba 2017
Kuhusu Biblia (1)
By Suara TuhanDesemba 01, 2017Biblia, Neno-Laonekana-katika-Mwili, Unabii, Vitabu, YehovaNo comments


Kuhusu Biblia (1)
Mwenyezi Mungu alisema, Biblia inapaswa kuangaliwaje kuhusiana na imani kwa Mungu? Hili ni swali muhimu sana. Kwa nini tunawasiliana swali hili? Kwa sababu wakati ujao utaeneza injili na kupanua kazi ya Enzi ya Ufalme, na haitoshi tu kuweza kuzungumza...