Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Matamshi-ya-Kristo. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Matamshi-ya-Kristo. Onyesha machapisho yote
Alhamisi, 14 Machi 2019
Matamshi ya Kristo | Sisitiza Uhalisi Zaidi
By ye.fengMachi 14, 2019Kazi-ya-Mungu, kazi-ya-Roho-Mtakatifu, Matamshi-ya-Kristo, Neno-Laonekana-katika-Mwili, VitabuNo comments

Mwenyezi Mungu anasema, "Kila mtu ana uwezekano wa kukamilishwa na Mungu, kwa hiyo kila mtu anapaswa kuelewa ni huduma gani kwa Mungu inayofaa zaidi makusudi ya Mungu. Watu wengi hawajui kumwamini Mungu humaanisha nini na hawajui kwa nini wanapaswa kumwamini Mungu. Yaani, watu wengi zaidi hawana ufahamu wa kazi ya Mungu au lengo la mpango wa usimamizi...
Jumatano, 6 Machi 2019
Wale Wanaomtii Mungu kwa Moyo wa Kweli Hakika Watapatwa na Mungu
By UnknownMachi 06, 2019Kazi-ya-Mungu, kukamilishwa-na-Mungu, Matamshi-ya-Kristo, Neno-Laonekana-katika-Mwili, VitabuNo comments


Wale Wanaomtii Mungu kwa Moyo wa Kweli Hakika Watapatwa na Mungu
Kazi ya Roho Mtakatifu inabadilika kutoka siku hadi siku, ikipanda juu kwa kila hatua; ufunuo wa kesho unakuwa hata juu kuliko wa leo, hatua kwa hatua ukikwea hata juu zaidi. Hii ndiyo kazi anayotumia Mungu...
Jumamosi, 2 Machi 2019
Neno la Mungu | Wale Wanaomjua Mungu Pekee Ndio Wanaoweza Kuwa na Ushuhuda Kwa Mungu

Neno la Mungu | Wale Wanaomjua Mungu Pekee Ndio Wanaoweza Kuwa na Ushuhuda Kwa Mungu
Ni sheria ya Mbinguni na kanuni za duniani kumwamini Mungu na kumjua Mungu, na leo—wakati wa enzi ambapo Mungu mwenye mwili Anafanya kazi Yake mwenyewe—ndio wakati mwafaka...
Alhamisi, 28 Februari 2019
Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Sura ya 8

Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Sura ya 8
Mungu anenapo neno Lake kutokana na mtazamo wa Roho, sauti Yake huelekezwa kwa wanadamu wote. Mungu anenapo neno Lake kutokana na mtazamo wa mwanadamu, sauti Yake huelekezwa kwa wote wafuatao uongozi wa Roho Wake. Mungu anenapo...
Jumamosi, 23 Februari 2019
Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Maana ya Kuwa Mwanadamu Halisi

Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Maana ya Kuwa Mwanadamu Halisi
Kumsimamia mwanadamu ndio Kazi Yangu, na ushindi Wangu dhidi yake ni kitu ambacho kilikuwa hata zaidi kimeshaamuliwa kabla Nilipoiumba dunia. Watu huenda hawajui kwamba Nitashinda kabisa katika siku za mwisho...
Jumatano, 20 Februari 2019
Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Je, Wewe Ni Muumini wa Kweli wa Mungu?

Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Je, Wewe Ni Muumini wa Kweli wa Mungu?
Huenda ikawa safari yako ya imani katika Mungu imekuwa ndefu zaidi ya mwaka mmoja au miwili, na labda kwa maisha yako umestahimili ugumu mwingi miaka hii yote; au labda haujapitia ugumu na badala...
Jumatatu, 11 Februari 2019
Maneno ya Roho Mtakatifu | “Kazi ya Mungu na Utendaji wa Mwanadamu” (Sehemu ya Kwanza)
Maneno ya Roho Mtakatifu | “Kazi ya Mungu na Utendaji wa Mwanadamu” (Sehemu ya Kwanza)
Mwenyezi Mungu anasema, "Katika kila aina ya kazi ya Mungu kuna maono yanayofahamika na mwanadamu; maono yanayofuatwa na matarajio mwafaka ya Mungu kwa mwanadamu. Bila haya maono kama msingi, mwanadamu hawezi kuwa na uwezo wa utendaji...
Ijumaa, 8 Februari 2019
Matamshi ya Mungu | “Namna ya Kujua Tabia ya Mungu na Matokeo ya Kazi Yake” Sehemu ya Tatu
By UnknownFebruari 08, 2019makusudi-ya-Mungu, Matamshi-ya-Kristo, njia-sahihi, Ufalme-wa-MbinguniNo comments


Matamshi ya Mungu | “Namna ya Kujua Tabia ya Mungu na Matokeo ya Kazi Yake” Sehemu ya Tatu
Namna Ambavyo Mungu Huanzisha Matokeo Ya Binadamu na Kiwango Ambacho Hutumia Kuasisi Matokeo ya Binadamu
Kabla ya kuwa na mitazamo au hitimisho zako binafsi, unafaa kwanza...
Ijumaa, 18 Januari 2019
Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Mungu Mwenyewe, Yule wa Kipekee I Mamlaka ya Mungu (I) (Sehemu ya Tatu)

Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Mamlaka ya Mungu (I) Sehemu ya Tatu
2. Mungu Hutumia Matamshi Yake Kuanzisha Agano na Binadamu.
Mwa 9:11-13 Na nitaweka agano langu na ninyi, wala miili yote haitaondolewa tena na maji ya gharika; wala hakutakuwa na gharika tena...
Alhamisi, 10 Januari 2019
Umeme wa Mashariki | Mungu ni Chanzo cha Uhai kwa Vitu Vyote (II) Sehemu ya Pili
By UnknownJanuari 10, 2019makusudi-ya-Mungu, Matamshi-ya-Kristo, Matamshi-ya-Mwenyezi-Mungu (Njia-ya-Kumjua-Mungu), MuumbaNo comments


Umeme wa Mashariki | Mungu ni Chanzo cha Uhai kwa Vitu Vyote (II) Sehemu ya Pili
Mazingira ya Kuishi ya Msingi Ambayo Mungu Anawaumbia Wanadamu
3. Sauti
Kitu cha tatu ni nini? Ni kitu ambacho mazingira ya kuishi ya kawaida ya wanadamu yanatakiwa kuwa...
Jumapili, 8 Julai 2018
Utangulizi

Utangulizi
Sehemu hii ya maneno ya Mungu ina jumla ya vifungu vinne; vilionyeshwa na Kristo kati ya mwishoni mwa mwaka wa 1992 na 2005. Mengi ya maneno hayo yanategemezwa kwa rekodi kutoka kwa mahubiri na ushirika Wake wakati Alitembea katika makanisa. Maandiko haya...
Jumapili, 3 Desemba 2017
Umeme wa Mashariki | Je, Utatu Mtakatifu Upo?
By Suara TuhanDesemba 03, 2017Matamshi-ya-Kristo, Neno-Laonekana-katika-Mwili, Roho-Mtakatifu, Vitabu, YesuNo comments


Je, Utatu Mtakatifu Upo?
Mwenyezi Mungu alisema, Ni baada tu ya ukweli wa Yesu kuwa mwili kutokea ndipo mwanadamu alipogundua hili: Si Baba pekee aliye mbinguni, bali pia Mwana, na hata Roho Mtakatifu. Hii ndiyo dhana ya kawaida aliyonayo mwanadamu, kwamba kuna Mungu...