
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo imani-katika-Mungu. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo imani-katika-Mungu. Onyesha machapisho yote
Jumatatu, 8 Aprili 2019
Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Kazi na Kuingia (10)
By Chris ZhouAprili 08, 2019imani-katika-Mungu, Kazi-ya-Mungu, kutenda-ukweli, Neno-la-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, VitabuNo comments


Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Kazi na Kuingia (10)
Kwa wanadamu kuendelea mbele kiasi hiki ni hali isiyo na kigezo. Kazi ya Mungu na kuingia kwa mwanadamu vinaendelea bega kwa bega, na hivyo kazi ya Mungu, pia, ni tukio kubwa lisilo na kifani. Kuingia kwa mwanadamu...
Jumapili, 7 Aprili 2019
Matamshi ya Mungu | “Mungu Mwenyewe, Yule wa Kipekee X Mungu ni Chanzo cha Uhai kwa Vitu Vyote (IV)”
By Chris ZhouAprili 07, 2019imani-katika-Mungu, kumfuata-Mungu, maneno-ya-Mungu, Usomaji-wa-Maneno-ya-Mwenyezi-Mungu, VideoNo comments

Matamshi ya Mungu | “Mungu Mwenyewe, Yule wa Kipekee X Mungu ni Chanzo cha Uhai kwa Vitu Vyote (IV)”
Mwenyezi Mungu alisema, "Kwa kweli, Mungu hana mahitaji sana kwa wanadamu—au angalau, hana mahitaji kama watu wanavyodhani. Bila matamshi ya Mungu, au udhihirishaji wowote wa tabia Yake, matendo, au maneno, basi kumjua Mungu kungekuwa kugumu...
Jumatano, 20 Februari 2019
Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Je, Wewe Ni Muumini wa Kweli wa Mungu?

Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Je, Wewe Ni Muumini wa Kweli wa Mungu?
Huenda ikawa safari yako ya imani katika Mungu imekuwa ndefu zaidi ya mwaka mmoja au miwili, na labda kwa maisha yako umestahimili ugumu mwingi miaka hii yote; au labda haujapitia ugumu na badala...
Alhamisi, 31 Januari 2019
Kanisa la Mwenyezi Mung|7. Roho Ya Majivuno Kabla ya Kuanguka

Kanisa la Mwenyezi Mung | 7. Roho Ya Majivuno Kabla ya Kuanguka
Baixue Mji wa Shenyang
Kwa sababu ya mahitaji ya kazi, nilihamishiwa hadi sehemu nyingine ya kazi. Wakati huo, nilikuwa na shukurani sana kwa Mungu. Nilihisi kwamba nilikuwa ninapungukiwa sana, lakini...
Jumapili, 6 Januari 2019
5. Imani Katika Mungu Haipasi Kuwa kwa ajili ya Kutafuta Amani na Baraka Pekee.
By UnknownJanuari 06, 2019imani-katika-Mungu, Kondoo-wa-Mungu-Huisikia-Sauti-ya-Mungu, Maombi, Neema, Vitabu, WokovuNo comments

Sura ya 7 Vipengele Kadhaa Vingine vya Ukweli Ambao ni wa Kiwango cha Chini Ambao Unafaa Kueleweka na Waumini Wapya
5. Imani Katika Mungu Haipasi Kuwa kwa ajili ya Kutafuta Amani na Baraka Pekee.
Maneno Husika ya Mungu:
Leo, lazima uwe katika njia sahihi kwani unaamini katika Mungu wa vitendo. Kwa kuwa una imani katika Mungu, hupaswi tu...
Jumatano, 28 Novemba 2018
95. Kuinuka Kupitia Ukandamizaji wa Giza
By UnknownNovemba 28, 2018imani-katika-Mungu, Injili, Maombi, Mateso, Ushuhuda-wa-Kuipitia-Hukumu-ya-Kristo, Vitabu, YesuNo comments


Umeme wa Mashariki | 95. Kuinuka Kupitia Ukandamizaji wa Giza
Mo Zhijian Mkoa wa Guangdong
Nilizaliwa katika eneo maskini, la mbali lenye milima ambako tumefukiza na kumwabudu Budha kwa vizazi vingi. Kuna hekalu za Budha sehemu hiyo kote ambako familia zote...
Jumamosi, 19 Mei 2018
Umeme wa Mashariki | Vitabu vya Shetani Vinaweza Kutulisha Sumu
By UnknownMei 19, 2018Elimu, imani-katika-Mungu, Ukweli, Ushuhuda-wa-Kuipitia-Hukumu-ya-Kristo, VitabuNo comments


Umeme wa Mashariki | Vitabu vya Shetani Vinaweza Kutulisha Sumu
Peihe Jiji la Xianning, Mkoa wa Hubei
Daima niliamini kwamba mimi na mume wangu tulipitia maisha yetu "na nyuso zetu kwa mchanga na migongo yetu kwa jua" kwa sababu hatukusoma vya kutosha...
Jumatano, 16 Mei 2018
"Imani katika Mungu" (6) - Imani ya Kweli katika Mungu Inamaanisha Nini?

"Imani katika Mungu" (6) - Imani ya Kweli katika Mungu Inamaanisha Nini?
Utambulisho
Watu wengi wanaamini kwamba imani katika Mungu ni imani katika Biblia, na kwamba kumfanyia Bwana kazi kwa bidii ni uhalisi wa kuamini katika Mungu. Hakuna mtu katika ulimwengu wa dini...
Jumanne, 15 Mei 2018
"Imani katika Mungu" (5) - Je, Kufanya Kazi kwa Bidii kwa ajili ya Bwana ni Uhalisi wa Imani katika Bwana?

"Imani katika Mungu" (5) - Je, Kufanya Kazi kwa Bidii kwa ajili ya Bwana ni Uhalisi wa Imani katika Bwana?
Utambulisho
Waumini wengi huamini kwamba mradi tunalilinda jina la Bwana, kuomba mara kwa mara, kusoma Biblia na kuwa na mikutano, na mradi sisi huyaacha vitu,...
Jumatano, 9 Mei 2018
"Imani katika Mungu" (2) - Je, Njia Inayoshutumiwa na CCP na Miongoni mwa Watu wa Dini Siyo Njia ya kweli?

"Imani katika Mungu" (2) - Je, Njia Inayoshutumiwa na CCP na Miongoni mwa Watu wa Dini Siyo Njia ya kweli?
Utambulisho
Watu wengi hutafuta na kuchunguza njia ya kweli pasipo kutegemeza vitendo hivi katika maneno na kazi ya Mungu. Badala yake, wao hufuata mitindo ya ulimwengu...
Jumanne, 8 Mei 2018
"Imani katika Mungu" (1) - Je, Utiifu kwa Wale Walio Madarakani Kweli ni Sawa na Utiifu kwa Mungu?

"Imani katika Mungu" (1) - Je, Utiifu kwa Wale Walio Madarakani Kweli ni Sawa na Utiifu kwa Mungu?
Utambulisho
Katika Biblia, Paulo alisema, "Acha kila nafsi itii mamlaka ya juu zaidi. Kwani hakuna mamlaka isipokuwa ya Mungu: mamlaka yaliyoko yameamriwa na Mungu. Yeyote...
Jumatano, 18 Aprili 2018
Umeme wa Mashariki | Vigezo vya Mtu Mwema Kwa Dhati
By UnknownAprili 18, 2018imani-katika-Mungu, mtu-mzuri, Ukweli, Ushuhuda-wa-Kuipitia-Hukumu-ya-Kristo-Juzuu-ya-1, VitabuNo comments


Umeme wa Mashariki | Vigezo vya Mtu Mwema Kwa Dhati
Moran Mji wa Linyi, Mkoa wa Shandong
Tangu nilipokuwa mtoto, siku zote nilishikiza umuhimu mkubwa kwa jinsi watu wengine walivyoniona na ukadiriaji wao kwangu. Ili niweze kupata sifa kutoka kwa wengine kwa kila...
Jumatano, 11 Aprili 2018
Umeme wa Mashariki | Kupenya Ukungu ili Kuona Mwanga
By UnknownAprili 11, 2018hukumu, imani-katika-Mungu, Kanisa-la-Mwenyezi-Mungu, Ushuhuda-wa-Kurudi-kwa-Mungu, VitabuNo comments


Umeme wa Mashariki | Kupenya Ukungu ili Kuona Mwanga
Faith China
Mimi ni mfanyakazi wa kawaida. Mwishoni mwa Novemba, 2013, mfanyakazi mwenza aliona kwamba mke wangu na mimi tungefanya kelele nyingi sana juu ya vitu vidogo, kwamba kila siku tulikuwa na wasiwasi na...
Ijumaa, 6 Aprili 2018
Kuhusu Biblia (4)
By UnknownAprili 06, 2018Biblia, imani-katika-Mungu, Neema, Neno-Laonekana-katika-Mwili, VitabuNo comments


Kuhusu Biblia (4)
Mwenyezi Mungu alisema, Watu wengi wanaamini kwamba kuelewa na kuwa na uwezo wa kufasiri Biblia ni sawa na kutafuta njia ya kweli—lakini, kimsingi, je, vitu ni rahisi sana? Hakuna anayejua uhalisia wa Biblia: kwamba si kitu chochote zaidi ya rekodi...
Jumanne, 3 Aprili 2018
Umeme wa Mashariki | Dibaji
By UnknownAprili 03, 2018imani-katika-Mungu, Kumjua-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, VitabuNo comments


Umeme wa Mashariki | Dibaji
Mwenyezi Mungu alisema, Ingawa watu wengi wanaamini katika Mungu, ni wachache wanaoelewa ni nini maana ya imani katika Mungu, na ni nini wanachopaswa kufanya ili waupendeze moyo wa Mungu. Hii ni kwa sababu, hata ingawa watu wengi wanalifahamu...
Jumatatu, 2 Aprili 2018
Umeme wa Mashariki | Maonyo Matatu
By UnknownAprili 02, 2018imani-katika-Mungu, makusudi-ya-Mungu, mapenzi-ya-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, Ukweli, VitabuNo comments


Umeme wa Mashariki | Maonyo Matatu
Mwenyezi Mungu alisema, Kama muumini wa Mungu, hufai kuwa watiifu kwa yeyote mwingine isipokuwa Yeye katika mambo yote na mjilinganishe na moyo Wake katika mambo yote. Hata hivyo, ingawa wote huelewa mafundisho haya, ukweli huu wa kimsingi...
Jumatatu, 19 Machi 2018
Sura ya 88. Kulipa Gharama ili Kupata Ukweli ni Muhimu Sana
By UnknownMachi 19, 2018imani-katika-Mungu, Kumbukumbu-za-Maongezi-ya-Kristo, Kupata-Ukweli, VitabuNo comments


Sura ya 88. Kulipa Gharama ili Kupata Ukweli ni Muhimu Sana
Mwenyezi Mungu alisema, rahisi kwa vijana kuendeleza kazi; wengi wao hawadumishi mwendo. Ni lazima moyo wako uwe mtulivu, lazima uweze kudumisha mwendo na uwe tayari kutumia muda kwake. Wengine hujiburudisha...
Jumatano, 20 Desemba 2017
Katika Imani Yako kwa Mungu Unapaswa Kumtii Mungu
By Suara TuhanDesemba 20, 2017imani-katika-Mungu, Kumtii-Mungu, Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, VitabuNo comments


Katika Imani Yako kwa Mungu Unapaswa Kumtii Mungu
Mwenyezi Mungu alisema, Kwa nini unamwamini Mungu? Watu wengi wanafadhaishwa na swali hili. Siku zote wana mitazamo tofauti kuhusu Mungu wa vitendo na Mungu wa mbinguni, jambo linaloonyesha kwamba wanamwamini Mungu...