Jaweni na Upendo kwa Ajili ya Mungu | Muziki wa Akapela "Yasifu Maisha Mapya"

Kristo wa siku za mwisho ameonekana, akifanya kazi na kuzungumza miongini mwa wanadamu. Neno lake hutuhukumu, kutuadibu na kututakasa, likituongoza kwenye njia sahihi ya maisha ya binadamu.

Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Kondoo-wa-Mungu-Huisikia-Sauti-ya-Mungu. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Kondoo-wa-Mungu-Huisikia-Sauti-ya-Mungu. Onyesha machapisho yote

Jumapili, 6 Januari 2019

5. Imani Katika Mungu Haipasi Kuwa kwa ajili ya Kutafuta Amani na Baraka Pekee.

Sura ya 7 Vipengele Kadhaa Vingine vya Ukweli Ambao ni wa Kiwango cha Chini Ambao Unafaa Kueleweka na Waumini Wapya 5. Imani Katika Mungu Haipasi Kuwa kwa ajili ya Kutafuta Amani na Baraka Pekee. Maneno Husika ya Mungu: Leo, lazima uwe katika njia sahihi kwani unaamini katika Mungu wa vitendo. Kwa kuwa una imani katika Mungu, hupaswi tu...

Jumamosi, 5 Januari 2019

3. Unawezaje Kutambua Tofauti Kati ya Kristo wa Kweli na Makristo wa Uongo?

Sura ya 6 Aina Mbalimbali za Utofautishaji Ambazo Unafaa Kumiliki katika Kusadiki Kwako kwa Mungu 3. Unawezaje Kutambua Tofauti Kati ya Kristo wa Kweli na Makristo wa Uongo? Maneno Husika ya Mwenyezi Mungu: Mungu aliyepata mwili Anaitwa Kristo, na hivyo Kristo...

Jumatano, 2 Januari 2019

4. Umuhimu wa Kazi ya Mungu ya Majaribio na Utakasaji.

Sura ya 4 Lazima Mjue Ukweli wa Kazi ya Mungu ya Siku za Mwisho 4. Umuhimu wa Kazi ya Mungu ya Majaribio na Utakasaji. Maneno Husika ya Mungu: Majaribu haya yanailenga hali gani ya ndani ya watu? Yanalenga tabia ya uasi ndani ya watu ambayo haiwezi kumridhisha...

Ijumaa, 28 Desemba 2018

5 Unahitaji Kusadiki Vipi Mungu Ili Kuweza Kuokolewa na Kufanywa Kuwa Mtimilifu?

Sura ya 4 Ukweli wa Kazi ya Mungu ya Siku za Mwisho 5. Unahitaji Kusadiki Vipi Mungu Ili Kuweza Kuokolewa na Kufanywa Kuwa Mtimilifu? Maneno Husika ya Mungu: Kufanya muhtasari wa kuishika njia ya Petro katika kumwamini Mungu, ni kuishika njia ya kufuatilia ukweli, ambayo pia ni njia ya kujijua na kubadilisha tabia ya mtu. Ni kwa kuishika tu njia...