
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Ushuhuda-wa-Kuipitia-Hukumu-ya-Kristo. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Ushuhuda-wa-Kuipitia-Hukumu-ya-Kristo. Onyesha machapisho yote
Jumanne, 22 Januari 2019
uzoefu wa maisha | 8. Kutambua Kuwa Nimekuwa Nikiitembea Njia ya Mafarisayo
By UnknownJanuari 22, 2019Maombi, Neno-la-Mungu, Ushuhuda-wa-Kuipitia-Hukumu-ya-Kristo, VitabuNo comments


uzoefu wa maisha | 8. Kutambua Kuwa Nimekuwa Nikiitembea Njia ya Mafarisayo
Wuxin Mji wa Taiyuan, Mkoa wa Shanxi
Kitu ambacho tumezungumzia mara kwa mara katika ushirikiano wa awali ni njia ambazo zilitembewa na Petro na Paulo. Inasemekana kwamba Petro alizingatia...
Jumapili, 20 Januari 2019
2. Kuona Uhalisi Wangu Kwa Dhahiri
By UnknownJanuari 20, 2019Hukumu-na-Kuadibu, maneno-ya-Mungu, Ukweli, Ushuhuda-wa-Kuipitia-Hukumu-ya-Kristo, Vitabu, wokovu-wa-MunguNo comments


2. Kuona Uhalisi Wangu Kwa Dhahiri
Xiaoxiao Jijini Xuzhou, Mkoani Jiangsu
Kwa sababu ya mahitaji ya kazi ya kanisa, nilihamishwa mpaka mahali pengine ili kutimiza wajibu wangu. Wakati huo, kazi ya injili mahali pale ilikuwa katika hali duni, na hali ya akina...
Jumatano, 26 Desemba 2018
9. Ninaona njia ya kumjua Mungu
By UnknownDesemba 26, 2018imani, maneno-ya-Mungu, Upendo-wa-Mungu, Ushuhuda-wa-Kuipitia-Hukumu-ya-Kristo, Vitabu, YesuNo comments


9. Ninaona njia ya kumjua Mungu
Xiaocao Mji wa Changzhi, Mkoa wa Shanxi
Siku moja, niliona kifungu hiki kifuatacho cha neno la Mungu kwa maandishi “Namna Petro Alivyopata Kumjua Yesu”: “Kwenye kipindi kile alichomfuata Yesu, Petro alitazama na kutia moyoni kila kitu...
Ijumaa, 21 Desemba 2018
43. Watu Wasio na Hila Sio Lazima Wawe Waaminifu
By UnknownDesemba 21, 2018kanisa, Kristo, Mungu, Ushuhuda-wa-Kuipitia-Hukumu-ya-Kristo, Vitabu, WokovuNo comments


Umeme wa Mashariki | 43. Watu Wasio na Hila Sio Lazima Wawe Waaminifu
Cheng Mingjie Jiji la Xi'an, Mkoa wa Shaanxi
Mimi hujiona kuwa mtu wa aina ya kuwa wazi na mchangamfu. Mimi huzungumza na watu kwa njia ya waziwazi; chochote ninachotaka kusema, mimi husema—mimi...
Jumatano, 19 Desemba 2018
25. Umuhimu wa Uratibu Katika Huduma
By UnknownDesemba 19, 2018kanisa, Kristo, Ukweli, Umeme-wa-Mashariki, Ushuhuda-wa-Kuipitia-Hukumu-ya-Kristo, VitabuNo comments


Umeme wa Mashariki | 25. Umuhimu wa Uratibu Katika Huduma
Mei Jie Jijini Jinan, Mkoani Shandong
Baada ya kubadilisha uongozi wa kanisa kurudi kwa ule wa asili, ubia uliwekwa kwa kila ngazi ya kiongozi katika nyumba ya Mungu. Wakati huo, nilifikiri kwamba...
Jumanne, 4 Desemba 2018
62. Sababu ya Kweli ya Kazi Isiyofaa
By UnknownDesemba 04, 2018Injili, kanisa, Upendo-wa-Mungu, Ushuhuda-wa-Kuipitia-Hukumu-ya-Kristo, Vitabu, WokovuNo comments


62. Sababu ya Kweli ya Kazi Isiyofaa
Xinyi Mji wa Xi’an, Mkoa wa Shaanxi
Katika ziara zangu za karibuni kwa makanisa, mara nyingi niliwasikia viongozi na wafanyakazi wakisema kwamba watu wengine, baada ya kuhudhuria ushirika na mimi, waligeuka hasi, wanyonge na...
Ijumaa, 30 Novemba 2018
60. Chochote Mungu Asemacho Ndiyo Hukumu Hasa ya Mwanadamu
By UnknownNovemba 30, 2018hukumu, maneno-ya-Mungu, Maombi, Nyimbo, Ushuhuda-wa-Kuipitia-Hukumu-ya-Kristo, VitabuNo comments


60. Chochote Mungu Asemacho Ndiyo Hukumu Hasa ya Mwanadamu
Xunqiu Mji wa Nanyang, Mkoa wa Henan
Nilikuwa nikidhani kwamba Mungu alimhukumu na kumuadibu mwanadamu wakati tu Alipoufichua upotovu wa asili wa mwanadamu au alipoeleza maneno mkali ambayo yaliuhukumu...
Jumatano, 28 Novemba 2018
95. Kuinuka Kupitia Ukandamizaji wa Giza
By UnknownNovemba 28, 2018imani-katika-Mungu, Injili, Maombi, Mateso, Ushuhuda-wa-Kuipitia-Hukumu-ya-Kristo, Vitabu, YesuNo comments


Umeme wa Mashariki | 95. Kuinuka Kupitia Ukandamizaji wa Giza
Mo Zhijian Mkoa wa Guangdong
Nilizaliwa katika eneo maskini, la mbali lenye milima ambako tumefukiza na kumwabudu Budha kwa vizazi vingi. Kuna hekalu za Budha sehemu hiyo kote ambako familia zote...
Jumanne, 27 Novemba 2018
94. Majonzi Yalivutia Upendo Wangu kwa Mungu
By UnknownNovemba 27, 2018Injili, kanisa, Mateso, Upendo-wa-Mungu, Ushuhuda-wa-Kuipitia-Hukumu-ya-Kristo, utukufu-kwa-Mungu, VitabuNo comments


94. Majonzi Yalivutia Upendo Wangu kwa Mungu
Meng Yong Mkoa wa Shanxi
Mimi kwa asili ni mtu mwaminifu, ikiwa ndiyo maana nimekuwa nikidhulumiwa daima na watu wengine. Kwa sababu hiyo, nimeonja dharau ya ulimwengu wa mwanadamu na nilihisi maisha yangu yakiwa matupu...
Alhamisi, 27 Septemba 2018
Kuuonja Upendo wa Mungu Katikati ya Dhiki
By Kuhusu Umeme wa MasharikiSeptemba 27, 2018Kristo, Umeme-wa-Mashariki, Upendo-wa-Mungu, Ushuhuda-wa-Kuipitia-Hukumu-ya-Kristo, VitabuNo comments


Kuuonja Upendo wa Mungu Katikati ya Dhiki
Chen Lu Wilaya ya Tonglu, Mkoa wa Zhejiang
Nilizaliwa miaka ya 1980 katika kijiji—tulikuwa tumekuwa familia ya wakulima kwa vizazi vingi. Nilijiingiza katika masomo yangu ili niweze kuhitimu kuingia katika chuo...
Jumapili, 23 Septemba 2018
Utajiri wa Maisha
By Kuhusu Umeme wa MasharikiSeptemba 23, 2018Mateso-ya-Kidini, Mwenyezi-Mungu, siku-za-mwisho, Ushuhuda-wa-Kuipitia-Hukumu-ya-Kristo, Utajiri-wa-Maisha, VitabuNo comments


Utajiri wa Maisha
Wang Jun Mkoa wa Shandong
Kwa miaka mingi tangu kukubali kazi ya Mwenyezi Mungu katika siku za mwisho, mke wangu na mimi tumepitia hili pamoja chini ya ukandamizaji wa joka kubwa jekundu. Katika wakati huu, ingawa nimekuwa na udhaifu, maumivu, na...
Jumatano, 19 Septemba 2018
Mapambano ya Kufa na Kupona
By Kuhusu Umeme wa MasharikiSeptemba 19, 2018maneno-ya-Mungu, Mapambano-ya-Kufa-na-Kupona, Mungu, Ukweli, Ushuhuda-wa-Kuipitia-Hukumu-ya-Kristo, VitabuNo comments


Mapambano ya Kufa na Kupona
Chang Moyang Mjini Zhengzhou, Mkoani Henan
"Unapoutelekeza mwili, bila shaka kutakuwa na mapambano ndani. Shetani anataka ufuate dhana za mwili, kulinda maslahi ya mwili. Hata hivyo, neno la Mungu bado linakupa nuru na kukuangaza ndani,...
Jumatatu, 17 Septemba 2018
Kujijua kwa Hakika kwa Kuuelewa Ukweli Tu
By Kuhusu Umeme wa MasharikiSeptemba 17, 2018hukumu, kuokolewa-na-Mungu, Kuuelewa-Ukweli, maneno-ya-Mungu, Ushuhuda-wa-Kuipitia-Hukumu-ya-Kristo, VitabuNo comments


Kujijua kwa Hakika kwa Kuuelewa Ukweli Tu
Wenwen Mji wa Changchun, Mkoa wa Jilin
Kwa maoni yangu, daima nililidhani kwamba mradi matendo ya nje yalionekana ya kufaa ambapo watu hawangeweza kuona upotovu wowote, basi lilichukuliwa kuwa mabadiliko. Kwa hiyo, nilizingatia...
Jumamosi, 15 Septemba 2018
Ni Upendo wa Mungu Tu Ulio Halisi
By Kuhusu Umeme wa MasharikiSeptemba 15, 2018Biblia-na-Mungu, Bwana-Yesu, kanisa, Mwenyezi-Mungu, Upendo-wa-Mungu, ushuhuda, Ushuhuda-wa-Kuipitia-Hukumu-ya-Kristo, VitabuNo comments


Ni Upendo wa Mungu Tu Ulio Halisi
Xiaodong Mkoa wa Sichuan
Mungu alisema, “Taifa la China ambalo limepotoshwa kwa miaka elfu nyingi limeendelea mpaka leo. Kila aina ya virusi vinaendelea kutanuka na vinasambaa kila mahali kama taun...
Jumapili, 9 Septemba 2018
Mabadiliko ya Kweli Humaanisha Nini?
By Kuhusu Umeme wa MasharikiSeptemba 09, 2018Kanisa-la-Mwenyezi-Mungu, Ukweli, ushuhuda, Ushuhuda-wa-Kuipitia-Hukumu-ya-Kristo, VitabuNo comments


Mabadiliko ya Kweli Humaanisha Nini?
Jinru Mji wa Nanyang, Mkoa wa Henan
Wakati ndugu wa kiume au wa kike alipoonyesha dosari zangu au hakusikiza kauli yangu ama sikuhisi kushawishika au nilibishana nao. Nilijutia vitendo vyangu baadaye, lakini nilipokabiliwa...
Ijumaa, 7 Septemba 2018
Maneno ya Mungu Huniongoza Kujifunza Jinsi ya Kufundisha Watoto Wangu (II)
By Kuhusu Umeme wa MasharikiSeptemba 07, 2018Huniongoza, Kujifunza, Kuwafundisha-Wanangu, maneno-ya-Mungu, Ushuhuda-wa-Kuipitia-Hukumu-ya-Kristo, VitabuNo comments


Xiaoxue, Malesia
Siku moja baada ya mlo mkuu wa siku, nilimfundisha mwanangu mvulana mkubwa jinsi ya kusoma Kichina—maneno rahisi tu, “Mbinguni, dunia, watu, na, dunia, baba, mama….” Nilimfundisha mara chache hasa, lakini bado hakuweza kuandika. Angeandika...
Jumanne, 4 Septemba 2018
Kwaheri kwa Zile Siku za Kushindana na Majaliwa
By Kuhusu Umeme wa MasharikiSeptemba 04, 2018Kanisa-la-Mwenyezi-Mungu, Kupata-Furaha, Kurudi-kwa-Mwana-Mpotevu, Ukweli, Ushuhuda-wa-Kuipitia-Hukumu-ya-Kristo, VitabuNo comments


Kwaheri kwa Zile Siku za Kushindana na Majaliwa
Yixin
Kijiji cha kishamba kilichojikokota kimaendeleo, wazazi wangu waliochoka kwa sababu ya kazi zao, maisha ya shida za kifedha … kumbukumbu hizi za huzuni zilitia alama kwa mawazo yangu machanga, zilikuwa ni hisia...
Ijumaa, 31 Agosti 2018
Maneno ya Mungu Huniongoza Kujifunza Jinsi ya Kuwafundisha Wanangu (I)
By Kuhusu Umeme wa MasharikiAgosti 31, 2018Huniongoza, Kujifunza, Kuwafundisha-Wanangu, maneno-ya-Mungu, Ushuhuda-wa-Kuipitia-Hukumu-ya-Kristo, VitabuNo comments


Maneno ya Mungu Huniongoza Kujifunza Jinsi ya Kuwafundisha Wanangu (I)
Xiaoxue, Malesia
Nina wana wawili wa kiume na wameachana na mwaka mmoja. Ili kuwalea kuwa watu waliostaarabika, wenye tabia nzuri, watu wema ambao wataweza watajijengea jina katika jamii na...
Jumatatu, 27 Agosti 2018
Asili ya Binadamu Haiwezi Kupimwa kwa Sura
By Kuhusu Umeme wa MasharikiAgosti 27, 2018Asili-ya-mtu, kanisa, Ukweli, Umeme-wa-Mashariki, Ushuhuda-wa-Kuipitia-Hukumu-ya-Kristo, VitabuNo comments


Asili ya Binadamu Haiwezi Kupimwa kwa Sura
Yang Rui Mji wa Yuci , Mkoa wa Shanxi
Siku moja, nilisikia kwa ghafla kuwa baba yangu alifukuzwa kutoka kwa kanisa. Nilishangaa kabisa wakati huo na sikuweza kuelewa. Katika moyo wangu, baba yangu alikuwa ndiye mtu mkuu mno...
Ijumaa, 24 Agosti 2018
Maneno ya Mungu Yameniamsha
By Kuhusu Umeme wa MasharikiAgosti 24, 2018hukumu, kikuu-cheupe-cha-enzi, maneno-ya-Mungu, siku-za-mwisho, Ushuhuda-wa-Kuipitia-Hukumu-ya-Kristo, Vitabu, wazi-ukweliNo comments


Maneno ya Mungu Yameniamsha
Miao Xiao Mji wa Jinan, Mkoa wa Shandong
Katika siku zilizopita, nilikuwa daima nikifikiri kuwa Mungu aliposema “ni kibaraka na msaliti anayekikimbia kiti kikuu cheupe cha enzi” Alikuwa anaashiria wale wanaoikubali hatua hii ya kazi lakini...