Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Mwenyezi-Mungu. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Mwenyezi-Mungu. Onyesha machapisho yote
Jumatano, 19 Juni 2019
Sauti ya Mungu | Sura ya 39
By wangbaoxinJuni 19, 2019Mwenyezi-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, sauti-ya-Mungu, Ukweli, VitabuNo comments

Sauti ya Mungu | Sura ya 39
Fungua macho yako na uangalie na unaweza kuona nguvu Zangu kuu kila mahali! Unaweza kuwa na uhakika na Mimi kila mahali. Ulimwengu na anga unaeneza nguvu Zangu kuu. Maneno ambayo Nimenena yametimia katika ongezeko la joto la hali ya hewa, mabadiliko ya hali ya hewa, vioja vya watu, ulemavu wa elimumwendo...
Alhamisi, 22 Novemba 2018
" Gospel Movie Clip ""Kusubiri"" (7) - Mwenyezi Mungu Afichua Siri za Mpango Wake wa Usimamizi wa Miaka 6,000"
By UnknownNovemba 22, 2018Bwana-Yesu, Kazi-ya-Mungu, Mwenyezi-Mungu, Sinema-za-Injili, Siri-za-Mpango, VideoNo comments

"Gospel Movie Clip ""Kusubiri"" (7) - Mwenyezi Mungu Afichua Siri za Mpango Wake wa Usimamizi wa Miaka 6,000"
Bwana Yesu alifichua siri za ufalme wa mbinguni, na Mwenyezi Mungu alikuja kufunua siri zote za usimamizi wa wanadamu wa miaka 6,000! Je...
Jumamosi, 20 Oktoba 2018
Gospel Video Clip "Wayahudi Wakienda Uhamishoni Ughaibuni na Injili ya Ufalme wa Mbinguni Ikienezwa"
By Kuhusu Umeme wa MasharikiOktoba 20, 2018Filamu-za-Injili, Kanisa-la-Mwenyezi-Mungu, Mwenyezi-Mungu, Uhamishoni-Injili, Video, WayahudiNo comments

Gospel Video Clip "Wayahudi Wakienda Uhamishoni Ughaibuni na Injili ya Ufalme wa Mbinguni Ikienezwa"
Baada ya kufufuka kwa Bwana Yesu, Wayahudi walitupwa uhamishoni duniani kote, na kusababisha injili ya ufalme wa mbinguni kuenea kwa kila kona ya dunia. Hivyo tunaona kwamba hekima ya Mungu ni ya juu zaidi kuliko mbinguni, na kwamba...
Jumapili, 14 Oktoba 2018
Kusudi la Kuwasimamia Binadamu
By Kuhusu Umeme wa MasharikiOktoba 14, 2018Kanisa-la-Mwenyezi-Mungu, Mwenyezi-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, Umeme-wa-Mashariki, VitabuNo comments


Kusudi la Kuwasimamia Binadamu
Ikiwa watu wanaweza kweli kuielewa kikamilifu njia sahihi ya maisha ya binadamu na vilevile kusudi la usimamizi wa Mungu wa binadamu, wasingeshikilia mategemeo yao ya baadaye na majaliwa yao binafsi kama hazina mioyoni mwao. Wasingetamani...
Ijumaa, 12 Oktoba 2018
Uhusiano Wako Na Mungu Ukoje
By Kuhusu Umeme wa MasharikiOktoba 12, 2018Kanisa-la-Mwenyezi-Mungu, kula-na-kunywa-maneno-ya-Mungu, Mwenyezi-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, VitabuNo comments


Uhusiano Wako Na Mungu Ukoje
Katika kuwa na imani kwa Mungu, ni lazima angalau utatue swala la kuwa na uhusiano wa kawaida na Mungu. Bila uhusiano wa kawaida na Mungu, basi umuhimu wa kumwamini Mungu unapotea. Kuunda uhusiano wa kawaida na Mungu kunapatikana kikamilifu...
Jumatano, 3 Oktoba 2018
Filamu za Kikristo | "Vita" | God Saved Me From the Hands of False Shepherds (Swahili Subtitles)
By Kuhusu Umeme wa MasharikiOktoba 03, 2018kusoma-maneno-ya-Mwenyezi-Mungu, kweli, Mwenyezi-Mungu, Video, Video-za-InjiliNo comments

Filamu za Kikristo | "Vita" | God Saved Me From the Hands of False Shepherds (Swahili Subtitles)
Zhang Hui alikuwa mzee katika kanisa la nyumbani la Kichina. Kila wakati alikuwa mtafutaji mwenye bidii, na alikuwa anangojea kuja kwa Bwana. Katika miaka ya hivi majuzi, alishuhudia kanisa likikumbwa na huzuni pole pole...
Jumapili, 23 Septemba 2018
Utajiri wa Maisha
By Kuhusu Umeme wa MasharikiSeptemba 23, 2018Mateso-ya-Kidini, Mwenyezi-Mungu, siku-za-mwisho, Ushuhuda-wa-Kuipitia-Hukumu-ya-Kristo, Utajiri-wa-Maisha, VitabuNo comments


Utajiri wa Maisha
Wang Jun Mkoa wa Shandong
Kwa miaka mingi tangu kukubali kazi ya Mwenyezi Mungu katika siku za mwisho, mke wangu na mimi tumepitia hili pamoja chini ya ukandamizaji wa joka kubwa jekundu. Katika wakati huu, ingawa nimekuwa na udhaifu, maumivu, na...
Jumamosi, 15 Septemba 2018
Ni Upendo wa Mungu Tu Ulio Halisi
By Kuhusu Umeme wa MasharikiSeptemba 15, 2018Biblia-na-Mungu, Bwana-Yesu, kanisa, Mwenyezi-Mungu, Upendo-wa-Mungu, ushuhuda, Ushuhuda-wa-Kuipitia-Hukumu-ya-Kristo, VitabuNo comments


Ni Upendo wa Mungu Tu Ulio Halisi
Xiaodong Mkoa wa Sichuan
Mungu alisema, “Taifa la China ambalo limepotoshwa kwa miaka elfu nyingi limeendelea mpaka leo. Kila aina ya virusi vinaendelea kutanuka na vinasambaa kila mahali kama taun...
Jumanne, 11 Septemba 2018
Wimbo wa Maneno ya Mungu "Mamlaka na Nguvu Anayoonyesha Mungu Anapopata Mwili"
By Kuhusu Umeme wa MasharikiSeptemba 11, 2018mawazo-ya-Roho, Mwenyezi-Mungu, Neno-kuwa-mwili, Wimbo-wa-Maneno-ya-MunguNo comments

Wimbo wa Maneno ya Mungu "Mamlaka na Nguvu Anayoonyesha Mungu Anapopata Mwili"
I
Mungu alikuja duniani hasa kutimiza ukweli wa "Neno kuwa mwili."
(tofauti na Agano la Kale, katika siku za Musa,
Mungu alizingumza moja kwa moja kutoka mbinguni).
Kisha, yote yatatimizwa katika enzi ya Ufalme wa Milenia
kuwa ukweli ambao watu wanaweza...
Jumatatu, 3 Septemba 2018
Swahili Gospel Song Video "Shukrani na Sifa kwa Mwenyezi Mungu" | God Guided Me to a New Life
By Kuhusu Umeme wa MasharikiSeptemba 03, 2018Mwenyezi-Mungu, Roho-Mtakatifu, Shukrani-na-sifa, tunaelewa-ukweliNo comments

Swahili Gospel Song Video "Shukrani na Sifa kwa Mwenyezi Mungu" | God Guided Me to a New Life
I
Tumeletwa mbele ya Mungu. Maneno Yake tunakula na kunywa.
Roho Mtakatifu anatupa nuru, tunaelewa ukweli anaonena Mungu.
Mila za dini, tumezitupa, minyororo yote. Isiyozuiliwa na sheria, mioyo yetu inawekwa hur...
Alhamisi, 30 Agosti 2018
Swahili Gospel Movie Clip "Kutoka kwa Enzi Hububujika Maji ya Uzima" (2) - Mbona Kuna Ukiwa Ulioenea Pote katika Ulimwengu wa Dini?
By Kuhusu Umeme wa MasharikiAgosti 30, 2018imani-ya-kidini, Mwenyezi-Mungu, Roho-Mtakatifu, siku-za-mwishoNo comments

Swahili Gospel Movie Clip "Kutoka kwa Enzi Hububujika Maji ya Uzima" (2) - Mbona Kuna Ukiwa Ulioenea Pote katika Ulimwengu wa Dini?
Dunia nzima ya dini kwa sasa inapitia njaa kubwa, hawapo tena pamoja na kazi ya Roho Mtakatifu au uwepo wa Bwana, wanafanya mambo maovu zaidi na zaidi na imani na huruma ya waumini inadhoofika na kuwa baridi. Aidha,...
Ijumaa, 15 Juni 2018
Kanisa la Mwenyezi Mungu | Sura ya 91. Kupitia Aina Tofauti Za Mazingira Kuna Manufaa Kwa ukuaji Wa Maisha Ya Binadamu
By Kuhusu Umeme wa MasharikiJuni 15, 2018Kumbukumbu-za-Maongezi-ya-Kristo, Kwa-ukuaji-Wa-Maisha-Ya-Binadamu, Mwenyezi-Mungu, Umeme-wa-Mashariki, VitabuNo comments


Kanisa la Mwenyezi Mungu | Sura ya 91. Kupitia Aina Tofauti Za Mazingira Kuna Manufaa Kwa ukuaji Wa Maisha Ya Binadamu
Ni vyema kupitia mazingira ya aina tofauti. Mungu hakupangii mazingira haya bila sababu. Yeye hakuongozi popote pale bila makusudi, bali Yeye huandaa...
Jumatano, 13 Juni 2018
Tofauti Muhimu Kati ya Mungu Aliyepata Mwili na Wanadamu Wanaotumiwa na Mungu
By Kuhusu Umeme wa MasharikiJuni 13, 2018Mwenyezi-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, Vitabu, Wanadamu-Wanaotumiwa-na -MunguNo comments


Tofauti Muhimu Kati ya Mungu Aliyepata Mwili na Wanadamu Wanaotumiwa na Mungu
Kwa miaka mingi Roho wa Mungu
Amekuwa akitafuta bila kikomo Akifanya kazi duniani. Kwa enzi nyingi
Mungu Ametumia wanadamu wengi kufanya kazi Yake. Hata hivyo Roho wa
Mungu bado hana...
Jumapili, 10 Juni 2018
Mwenyezi Mungu | Watu! Furahini!
By Kuhusu Umeme wa MasharikiJuni 10, 2018Kanisa-la-Mwenyezi-Mungu, Mwenyezi-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, Vitabu, WatuNo comments


Mwenyezi Mungu | Watu! Furahini!
Katika nuru Yangu, watu wanaona nuru tena. Katika neno Langu, watu wanapata vitu vya raha. Nimekuja kutoka Mashariki nami Natoka huko. Wakati ambapo utukufu Wangu unang'aa, mataifa yote yanaangaziwa, vitu vyote vinaletwa...
Jumapili, 27 Mei 2018
Ni Muhimu Sana Kuanzisha Uhusiano wa Kufaa na Mungu
By Kuhusu Umeme wa MasharikiMei 27, 2018Kristo, Mwenyezi-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, Vitabu, YesuNo comments


Ni Muhimu Sana Kuanzisha Uhusiano wa Kufaa na Mung
Watu wanaamini katika Mungu, wanampenda Mungu, na kumkidhi Mungu kwa kugusa Roho wa Mungu kwa moyo wao, hivyo kupata ridhaa ya Mungu; na wakati wanajihusisha na maneno ya Mungu kwa moyo wao, kwa hivyo wanasisimuliwa...
Ijumaa, 11 Mei 2018
"Imani katika Mungu" (3) - Je, Kazi ya Mungu na Kuonekana kwa Mungu Kunaleta Nini katika Jamii ya Dini?

"Imani katika Mungu" (3) - Je, Kazi ya Mungu na Kuonekana kwa Mungu Kunaleta Nini katika Jamii ya Dini?
Utambulisho
Kila wakati ambapo Mungu anakuwa mwili na kuonekana ili kufanya kazi Yake, nguvu za uovu za Shetani hupinga na kulaani njia ya kweli kwa ghadhabu. Kwa...
Jumamosi, 5 Mei 2018
Latest Swahili Gospel Movie "Kusubiri" | Bwana Yesu Kristo Ameonekana Kufanya Kazi Yake
By wrbMei 05, 2018Bwana-Yesu, Filamu-za-Injili, Kristo, Mwenyezi-Mungu, Umeme-wa-Mashariki, VideoNo comments


Latest Swahili Gospel Movie "Kusubiri" | Bwana Yesu Kristo Ameonekana Kufanya Kazi Yake
Yang Hou'en ni mchungaji katika kanisa la nyumbani Uchina. Pamoja na babake Yang Shoudao, wamemngoja Bwana Yesu ashuke kutoka mawinguni na kuwachukua juu hadi katika ufalme wa mbinguni....
Jumanne, 1 Mei 2018
New Swahili Gospel Movie "Siri ya Utauwa" | Bwana Yesu Kristo Atarudi Vipi?

New Swahili Gospel Movie "Siri ya Utauwa" | Bwana Yesu Kristo Atarudi Vipi?
Lin Bo'en alikuwa mzee wa kanisa katika kanisa la nyumbani Uchina. Wakati wa miaka yake yote kama muumini, alihisi kwamba ameheshimiwa kuteseka kwa ajili ya Bwana, na alithamini kumfahamu na...
Jumatatu, 23 Aprili 2018
"Mji Utaangushwa" (3) - Ni Nini Kiini cha Upinzani wa Mafarisayo kwa Mungu?
By UnknownAprili 23, 2018Mwenyezi-Mungu, Sehemu-za-Filamu, siku-za-mwisho, Upinzani-wa-Mafarisayo, VideoNo comments


"Mji Utaangushwa" (3) - Ni Nini Kiini cha Upinzani wa Mafarisayo kwa Mungu?
Kwa miaka elfu mbili, ingawa waumini wote wamejua ukweli kwamba Mafarisayo walimwasi Bwana Yesu, hakuna mtu katika ulimwengu mzima wa dini anayejua hasa mzizi wa chanzo na kiini cha uasi wa Mafarisayo...
Jumamosi, 7 Aprili 2018
Umeme wa Mashariki | Kubagua dhidi ya Watu wa Nje ni Uovu Sana!
By UnknownAprili 07, 2018kanisa, Mwenyezi-Mungu, Ukweli, ushuhuda, Ushuhuda-wa-Kuipitia-Hukumu-ya-Kristo, VitabuNo comments


Umeme wa Mashariki | Kubagua dhidi ya Watu wa Nje ni Uovu Sana!
Xiaojin Kaunti ya Pan’an , Mkoa wa Zhejiang
Katika mwezi wa Februari mwaka wa 2007, kanisa lilipokea mpango wa kazi uitwao "Nyunyizia na Uwape Waumini Wapya ili Kuwasaidia Kukita Mizizi Haraka Iwezekanavyo."...