Jaweni na Upendo kwa Ajili ya Mungu | Muziki wa Akapela "Yasifu Maisha Mapya"

Kristo wa siku za mwisho ameonekana, akifanya kazi na kuzungumza miongini mwa wanadamu. Neno lake hutuhukumu, kutuadibu na kututakasa, likituongoza kwenye njia sahihi ya maisha ya binadamu.

Muziki wa Akapela "Tokeo Lililofikiwa kwa Kumjua Mungu" (Video Rasmi ya Muziki)

Hayuko katika upeo wa mbali, wala hajajificha juu mawinguni. Yuko kando yako, akiwa na mamlaka juu ya kila kitu chako, Yeye ni kila kitu ulicho nacho, na Yeye ni kitu pekee ulicho nacho.

Mwabudu Mungu kwa Roho na Ukweli | “Sauti ya Moyo ya Kiumbe Aliyeumbwa” (Video za Kikristo)

Mungu wa vitendo na wa kweli, upendo ndani ya moyo wangu. Mimi ni vumbi lakini ninaweza kuona uso Wako. Ninawezaje kukosa kukuabudu?

Mungu ndiye Mwanzo na tena Mwisho | Kwaya ya Injili

Mungu ndiye Mwanzo (Mungu ndiye Mwanzo) na Mwisho (na Mwisho); ni Yeye Mwenyewe Anayetekeleza kazi Yake na hivyo lazima iwe Yeye Mwenyewe Anayemaliza enzi ya kale. Huo ndio ushahidi kuwa Yeye humshinda Shetani (humshinda Shetani) na huishinda dunia, ushahidi kuwa Yeye huishinda dunia.

Nampenda Mungu kwa Moyo Wangu Wote | "Nitampenda Mungu Milele" Video Rasmi ya Muziki

Nitakupa Wewe upendo wa kweli, na sitakuacha Usubiri. Mimi nitakupa Wewe upendo safi, na tafadhali furahia upendo wangu. Nitakupa Wewe upendo wangu wote, na kukuacha upate upendo wangu. Nitakupenda Wewe kwa wakati wote; kukuridhisha Wewe ni matamanio yangu.

Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo mawazo-ya-Roho. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo mawazo-ya-Roho. Onyesha machapisho yote

Jumanne, 11 Septemba 2018

Wimbo wa Maneno ya Mungu "Mamlaka na Nguvu Anayoonyesha Mungu Anapopata Mwili"


Wimbo wa Maneno ya Mungu "Mamlaka na Nguvu Anayoonyesha Mungu Anapopata Mwili"

I

Mungu alikuja duniani hasa kutimiza ukweli wa "Neno kuwa mwili."

(tofauti na Agano la Kale, katika siku za Musa,

Mungu alizingumza moja kwa moja kutoka mbinguni).

Kisha, yote yatatimizwa katika enzi ya Ufalme wa Milenia

kuwa ukweli ambao watu wanaweza kuona,

ili watu waweze kuona utimizaji hasa kwa macho yao wenyewe.

Hii ni maana ya kina ya Mungu kuwa mwili.

Yaani, kazi ya Roho imekamilika kupitia kwa mwili na neno.

Hii ni maana ya kweli ya "Neno kuwa mwili, Neno kuonekana katika mwili."



II

Ni Mungu tu Anayeweza kuzungumza mawazo ya Roho,

na ni Mungu tu katika mwili anayeweza kuzungumza kwa niaba ya Roho.

Neno la Mungu linaonekana katika Mungu aliyepata mwili.

Mtu yeyote yule ataongozwa na hili,

hakuna anayeweza kuzidi hili na kila mtu anaishi ndani ya mipaka hii.

Kutokana na tamko hili watu watapata ufahamu;

isipokuwa kupitia haya matamshi hakuna atakayeota kuhusu kupokea

tamko kutoka mbinguni.

Haya ni mamlaka ambayo yameonyeshwa na Mungu kuwa mwili,

ili kila mtu ashawishike.

kutoka kwa Neno Laonekana katika Mwili

    Tufuate : Kanisa la Mwenyezi Mungu, Neno la Mwenyezi mungu