Jumanne, 11 Septemba 2018

Wimbo wa Maneno ya Mungu "Mamlaka na Nguvu Anayoonyesha Mungu Anapopata Mwili"


Wimbo wa Maneno ya Mungu "Mamlaka na Nguvu Anayoonyesha Mungu Anapopata Mwili"

I

Mungu alikuja duniani hasa kutimiza ukweli wa "Neno kuwa mwili."

(tofauti na Agano la Kale, katika siku za Musa,

Mungu alizingumza moja kwa moja kutoka mbinguni).

Kisha, yote yatatimizwa katika enzi ya Ufalme wa Milenia

kuwa ukweli ambao watu wanaweza kuona,

ili watu waweze kuona utimizaji hasa kwa macho yao wenyewe.

Hii ni maana ya kina ya Mungu kuwa mwili.

Yaani, kazi ya Roho imekamilika kupitia kwa mwili na neno.

Hii ni maana ya kweli ya "Neno kuwa mwili, Neno kuonekana katika mwili."



II

Ni Mungu tu Anayeweza kuzungumza mawazo ya Roho,

na ni Mungu tu katika mwili anayeweza kuzungumza kwa niaba ya Roho.

Neno la Mungu linaonekana katika Mungu aliyepata mwili.

Mtu yeyote yule ataongozwa na hili,

hakuna anayeweza kuzidi hili na kila mtu anaishi ndani ya mipaka hii.

Kutokana na tamko hili watu watapata ufahamu;

isipokuwa kupitia haya matamshi hakuna atakayeota kuhusu kupokea

tamko kutoka mbinguni.

Haya ni mamlaka ambayo yameonyeshwa na Mungu kuwa mwili,

ili kila mtu ashawishike.

kutoka kwa Neno Laonekana katika Mwili

    Tufuate : Kanisa la Mwenyezi Mungu, Neno la Mwenyezi mungu

0 评论:

Chapisha Maoni