Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Hukumu-na-Kuadibu. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Hukumu-na-Kuadibu. Onyesha machapisho yote
Ijumaa, 26 Aprili 2019
Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Sura ya 97
By Chris ZhouAprili 26, 2019Hukumu-na-Kuadibu, Kazi-ya-Mungu, Neno-la-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, Tafuta-Ufalme-wa-Mungu-Kwanza, VitabuNo comments

Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Sura ya 97
Nitafanya kila mtu aone matendo Yangu ya ajabu na kusikia maneno Yangu ya hekima. Ni lazima iwe kila mtu na ni lazima iwe juu ya kila suala. Hii ni amri Yangu ya utawala na ni ghadhabu Yangu. Nitahusisha kila mtu na kila jambo ili watu wote kutoka mwisho mmoja wa ulimwengu hadi mwingine wataona kwa macho yao...
Jumapili, 21 Aprili 2019
Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Sura ya 35
By Chris ZhouAprili 21, 2019Hukumu-na-Kuadibu, Kazi-ya-Mungu, Neno-la-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, siku-za-mwisho, VitabuNo comments

Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Sura ya 35
Nimeanza kutenda kazi Yangu kati ya wanadamu, kuwakubalia kuishi mkondo mmoja Nami. Nitakamilisha kazi Yangu nikiwa kati yao, maana wao ni vyombo Ninavyosimamia katika mpango Wangu wote wa usimamizi—na ni mapenzi Langu ili waweze kuwa watawala wa vitu vyote. Hivyo basi Naendelea kutembea kati ya wanadamu....
Jumatatu, 25 Februari 2019
Neno la Mungu | Ni Lazima Wale Wanaofaa Kukamilishwa Wapitie Usafishaji
Kama unamwamini Mungu, ni lazima umtii Mungu, uweke ukweli katika vitendo na utimize wajibu wako wote. Zaidi ya hayo, ni lazima uelewe mambo unayopaswa kupitia. Ikiwa unapitia tu kushughulikiwa, kufundishwa nidhamu na hukumu, kama wewe unaweza tu kumfurahia Mungu, lakini huwezi kuhisi wakati Mungu anakufundisha nidhamu au kukushughulikia, hili halikubaliki....
Alhamisi, 7 Februari 2019
Imani za Kimsingi za Kanisa la Mwenyezi Mungu
By UnknownFebruari 07, 2019Hukumu-na-Kuadibu, Kazi-ya-Mungu, Kristo-wa-siku-za-mwisho, UkweliNo comments

Imani za Kimsingi za Kanisa la Mwenyezi Mungu
(1) Mafundisho ya Kanisa la Mwenyezi Mungu
Mafundisho ya Ukristo yanatoka kwa Biblia, na mafundisho ya Kanisa la Mwenyezi Mungu yanatoka kwa ukweli wote ulioonyeshwa na Mungu tangu wakati wa uumbaji wakati wa kazi ya Enzi ya Sheria, Enzi ya Neema, na Enzi ya Ufalme. Hiyo ni kusema, Agano la Kale,...
Jumapili, 3 Februari 2019
Ushuhuda wa Maisha | 6. Huduma ya Aina Hii Kwa Hakika Ni Ya Kudharauliwa
By UnknownFebruari 03, 2019Hukumu-Mbele-ya-Kiti-cha-Kristo, Hukumu-na-Kuadibu, Kazi-ya-Mungu, Vitabu, wokovu-wa-MunguNo comments


Ushuhuda wa Maisha | 6. Huduma ya Aina Hii Kwa Hakika Ni Ya Kudharauliwa
Ding Ning Mji wa Heze, Mkoa wa Shandong
Katika siku chache zilizopita, kanisa limepanga mabadiliko katika kazi yangu. Nilipopokea wajibu huu mpya, niliwaza, "Ninahitaji kuchukua...
Jumanne, 29 Januari 2019
Filamu za Injili | "Wimbo wa Ushindi" (5) - Kwa nini Bwana Anarudi Kufanya Kazi ya Hukumu katika Siku za Mwisho
Filamu za lnjili | "Wimbo wa Ushindi" (5) - Kwa nini Bwana Anarudi Kufanya Kazi ya Hukumu katika Siku za Mwisho
Watu wengi wanaamini kwamba tayari dhambi zetu zimesamehewa na kupata wokovu kwa sababu tulitangaza imani yetu kwa Bwana, basi kwa nini Bwana anakuja kutuchukua moja kwa moja hadi kwenye ufalme wa mbinguni?...
Jumapili, 20 Januari 2019
2. Kuona Uhalisi Wangu Kwa Dhahiri
By UnknownJanuari 20, 2019Hukumu-na-Kuadibu, maneno-ya-Mungu, Ukweli, Ushuhuda-wa-Kuipitia-Hukumu-ya-Kristo, Vitabu, wokovu-wa-MunguNo comments


2. Kuona Uhalisi Wangu Kwa Dhahiri
Xiaoxiao Jijini Xuzhou, Mkoani Jiangsu
Kwa sababu ya mahitaji ya kazi ya kanisa, nilihamishwa mpaka mahali pengine ili kutimiza wajibu wangu. Wakati huo, kazi ya injili mahali pale ilikuwa katika hali duni, na hali ya akina...
Jumatatu, 21 Mei 2018
Maigizo Yaliyosimuliwa ya Hadithi za Kweli "Upendo wa Kweli wa Mungu" (Swahili Subtitles)
By UnknownMei 21, 2018Hukumu-na-Kuadibu, Maisha-ya-Kanisa—Mfululizo-wa-Maonyesho-Mbalimbali, makusudi-ya-Mungu, Upendo-wa-Mungu, VideoNo comments


Maigizo Yaliyosimuliwa ya Hadithi za Kweli "Upendo wa Kweli wa Mungu" (Swahili Subtitles)
Ili kujitengenezea nafasi yake mwenyewe duniani, mhusika mkuu alilazimika kufuata mwenendo wa duniani humu, akihangaika na kufanya kazi kwa bidii kwa ajili ya umaarufu na hadhi. Maisha...
Ijumaa, 18 Mei 2018
Umeme wa Mashariki | Ambua Barakoa, na Uanze Maisha Upya
By UnknownMei 18, 2018Hukumu-na-Kuadibu, Roho-Mtakatifu, Upendo-wa-Mungu, Ushuhuda-wa-Kuipitia-Hukumu-ya-Kristo, VitabuNo comments


Umeme wa Mashariki | Ambua Barakoa, na Uanze Maisha Upya
Chen Dan Mkoa wa Hunan
Mwishoni mwa mwaka jana, kwa sababu sikuweza kuzindua kazi ya injili katika eneo langu, familia ya Mungu ilimhamisha ndugu mmoja wa kiume kutoka eneo jingine ili kuchukua kazi...
Alhamisi, 10 Mei 2018
Umeme wa Mashariki | Niko Tayari Kukubali Usimamizi wa Wote
By UnknownMei 10, 2018Hukumu-na-Kuadibu, makusudi-ya-Mungu, ndugu-na-dada, Ushuhuda-wa-Kuipitia-Hukumu-ya-Kristo, VitabuNo comments


Umeme wa Mashariki | Niko Tayari Kukubali Usimamizi wa Wote
Xianshang Mji wa Jinzhong, Mkoa wa Shanxi
Muda mfupi uliopita, kila wakati niliposikia kwamba wahubiri wa wilaya walikuwa wakija kwa kanisa letu, ningehisi kutaharaki kiasi. Sikufichua...
Jumatatu, 30 Aprili 2018
Uchaguzi Kutoka katika Mafungu Manne ya Neno la Mungu Juu ya “Ukweli wa Ndani wa Kazi ya Ushindi”
By UnknownAprili 30, 2018Hukumu-na-Kuadibu, Matamshi-ya-Kristo-wa-Siku-za-Mwisho-(Chaguzi), ukamilifu, ushindi, VitabuNo comments

Uchaguzi Kutoka katika Mafungu Manne ya Neno la Mungu Juu ya “Ukweli wa Ndani wa Kazi ya Ushindi”
1. Mwenyezi Mungu alisema, Wanadamu kwa kupotoshwa sana na Shetani, hawajui kuwa kuna Mungu na wameacha kumwabudu Mungu. Adamu na Hawa walipoumbwa mwanzoni, utukufu wa Yehova na Ushuhuda wa Yehova daima vilikuwepo. Lakini baada ya kupotoshwa,...
Jumamosi, 28 Aprili 2018
Umeme wa Mashariki | Kuona Uhalisi Wangu Kwa Dhahiri
By UnknownAprili 28, 2018Hukumu-na-Kuadibu, Upendo-wa-Mungu, Ushuhuda-wa-Kuipitia-Hukumu-ya-Kristo, VitabuNo comments


Umeme wa Mashariki | Kuona Uhalisi Wangu Kwa Dhahiri
Xiaoxiao Jijini Xuzhou, Mkoani Jiangsu
Kwa sababu ya mahitaji ya kazi ya kanisa, nilihamishwa mpaka mahali pengine ili kutimiza wajibu wangu. Wakati huo, kazi ya injili mahali pale ilikuwa katika hali duni,...
Ijumaa, 27 Aprili 2018
Umeme wa Mashariki | Kupotea Njia na Kupata Njia
By UnknownAprili 27, 2018Hukumu-na-Kuadibu, kumfuata-Mungu, tabia-ya-Mungu, Ushuhuda-wa-Kuipitia-Hukumu-ya-Kristo, VitabuNo comments


Umeme wa Mashariki | Kupotea Njia na Kupata Njia
Xiaobing Jijini Xuanzhou, Mkoani Anhui
“Kile ambacho unafurahia leo ndicho kilekile ambacho kinaharibu mustakabali wako, huku yale maumivu unayopitia leo ndiyo yaleyale ambayo yanakulinda. Lazima ufahamu waziwazi kuhusu...
Jumatano, 7 Machi 2018
Anzeni Maisha Mapya - "Nimeuona uzuri wa Mungu" (Video Rasmi ya Muziki)
By UnknownMachi 07, 2018Hukumu-na-Kuadibu, Msururu-wa-MV-za-Ufalme, Upendo-wa-Mungu, Video, WokovuNo comments


Anzeni Maisha Mapya - "Nimeuona uzuri wa Mungu" (Video Rasmi ya Muziki)
Nimeuona uzuri wa Mungu
I
Nasikia sauti ijulikanayo ikiniita mara kwa mara.
Nikaamka na kuangalia kuona, ni nani aliye pale akizungumza.
Sauti yake ni nyororo lakini kali, picha Yake nzuri!
Nateseka...
Jumatatu, 5 Machi 2018
Umeme wa Mashariki | "Wakati Wa Mabadiliko"(2) - Njia ya Pekee ya Kuinuliwa Kwenda Katika Ufalme wa Mbinguni
By UnknownMachi 05, 2018Hukumu-na-Kuadibu, kumfuata-Mungu, Sehemu-za-Filamu, ushindi, VideoNo comments


Umeme wa Mashariki | "Wakati Wa Mabadiliko"(2) - Njia ya Pekee ya Kuinuliwa Kwenda Katika Ufalme wa Mbinguni
Watu wengine huamini, kwa kuwa Mungu aliweza kuumba mbingu na dunia na vitu vyote kwa neno moja, kuweza kuwafufua wafu kwa neno moja, Mungu pia Ataweza kubadili...
Jumatano, 28 Februari 2018
"Ndoto Yangu ya Ufalme wa Kibinguni" (5) - Ushuhuda wa Kupitia Hukumu Mbele ya Kiti cha Kristo na Kupokea Uzima
By UnknownFebruari 28, 2018Hukumu-na-Kuadibu, Kumjua-Mungu, Sehemu-za-Filamu, ushuhuda, VideoNo comments


"Ndoto Yangu ya Ufalme wa Kibinguni" (5) - Ushuhuda wa Kupitia Hukumu Mbele ya Kiti cha Kristo na Kupokea Uzima
Mwenyezi Mungu ameanzisha kazi ya hukumu akianza na nyumba ya Mungu kwa kuonyesha ukweli. Utangulizi wa hukumu kabla ya ufalme mkuu mweupe kuanza. Tunapitia...
Ijumaa, 23 Februari 2018
Umeme wa Mashariki | 3. Baada ya Kupoteza Hadhi Yangu …
By UnknownFebruari 23, 2018hadhi, Hukumu-na-Kuadibu, Kumjua-Mungu, Ushuhuda-wa-Kuipitia-Hukumu-ya-Kristo, VitabuNo comments


Umeme wa Mashariki | 3. Baada ya Kupoteza Hadhi Yangu …
Huimin Mji wa Jiaozuo, Mkoa wa Henan
Kila wakati nilipoona au kusikia kuhusu mtu aliyekuwa amebadilishwa naye kujisikia mwenye huzuni, dhaifu au mnunaji, na kutotaka kufuata tena, basi niliwaangalia kwa dharau....
Jumatatu, 19 Februari 2018
Umeme wa Mashariki | Kurejesha Maisha ya Kawaida ya Mwanadamu na Kumpeleka Kwenye Hatima ya Ajabu
By UnknownFebruari 19, 2018Hukumu-na-Kuadibu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, ukamilifu, ushindi, VitabuNo comments


Umeme wa Mashariki | Kurejesha Maisha ya Kawaida ya Mwanadamu na Kumpeleka Kwenye Hatima ya Ajabu
Mwenyezi Mungu alisema, Mwanadamu anaelewa sehemu ndogo ya kazi ya leo na kazi ya baadaye, lakini hafahamu hatima ambapo mwanadamu ataingia. Kama kiumbe, mwanadamu anapaswa...
Alhamisi, 15 Februari 2018
Namna Petro Alivyopata Kumjua Yesu
By UnknownFebruari 15, 2018Hukumu-na-Kuadibu, Kumjua-Mungu, Maombi, Neno-Laonekana-katika-Mwili, VitabuNo comments


Namna Petro Alivyopata Kumjua Yesu
Mwenyezi Mungu alisema, Katika kipindi kile ambacho Petro alikuwa na Yesu, aliona sifa nyingi za kupendeza ndani ya Yesu, hali nyingi zenye za kustahili kuigwa, na nyingi ambazo zilimkimu. Ingawa Petro aliona nafsi ya Mungu ndani ya...
Jumatatu, 12 Februari 2018
Matukio Aliyopitia Petro: Ufahamu Wake wa Adabu na Hukumu
By UnknownFebruari 12, 2018Hukumu-na-Kuadibu, kukamilishwa-na-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, Ukweli, VitabuNo comments


Matukio Aliyopitia Petro: Ufahamu Wake wa Adabu na Hukumu
Mwenyezi Mungu alisema, Alipokuwa akiadibiwa na Mungu, Petro aliomba, “Ee Mungu! Mwili wangu ni mkaidi, na unaniadibu na kunihukumu mimi. Nafurahi katika adabu Yako na hukumu, na hata kama Hunitaki mimi,...