Jaweni na Upendo kwa Ajili ya Mungu | Muziki wa Akapela "Yasifu Maisha Mapya"

Kristo wa siku za mwisho ameonekana, akifanya kazi na kuzungumza miongini mwa wanadamu. Neno lake hutuhukumu, kutuadibu na kututakasa, likituongoza kwenye njia sahihi ya maisha ya binadamu.

Muziki wa Akapela "Tokeo Lililofikiwa kwa Kumjua Mungu" (Video Rasmi ya Muziki)

Hayuko katika upeo wa mbali, wala hajajificha juu mawinguni. Yuko kando yako, akiwa na mamlaka juu ya kila kitu chako, Yeye ni kila kitu ulicho nacho, na Yeye ni kitu pekee ulicho nacho.

Mwabudu Mungu kwa Roho na Ukweli | “Sauti ya Moyo ya Kiumbe Aliyeumbwa” (Video za Kikristo)

Mungu wa vitendo na wa kweli, upendo ndani ya moyo wangu. Mimi ni vumbi lakini ninaweza kuona uso Wako. Ninawezaje kukosa kukuabudu?

Mungu ndiye Mwanzo na tena Mwisho | Kwaya ya Injili

Mungu ndiye Mwanzo (Mungu ndiye Mwanzo) na Mwisho (na Mwisho); ni Yeye Mwenyewe Anayetekeleza kazi Yake na hivyo lazima iwe Yeye Mwenyewe Anayemaliza enzi ya kale. Huo ndio ushahidi kuwa Yeye humshinda Shetani (humshinda Shetani) na huishinda dunia, ushahidi kuwa Yeye huishinda dunia.

Nampenda Mungu kwa Moyo Wangu Wote | "Nitampenda Mungu Milele" Video Rasmi ya Muziki

Nitakupa Wewe upendo wa kweli, na sitakuacha Usubiri. Mimi nitakupa Wewe upendo safi, na tafadhali furahia upendo wangu. Nitakupa Wewe upendo wangu wote, na kukuacha upate upendo wangu. Nitakupenda Wewe kwa wakati wote; kukuridhisha Wewe ni matamanio yangu.

Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Tafuta-Ufalme-wa-Mungu-Kwanza. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Tafuta-Ufalme-wa-Mungu-Kwanza. Onyesha machapisho yote

Ijumaa, 26 Aprili 2019

Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Sura ya 97

Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Sura ya 97

Nitafanya kila mtu aone matendo Yangu ya ajabu na kusikia maneno Yangu ya hekima. Ni lazima iwe kila mtu na ni lazima iwe juu ya kila suala. Hii ni amri Yangu ya utawala na ni ghadhabu Yangu. Nitahusisha kila mtu na kila jambo ili watu wote kutoka mwisho mmoja wa ulimwengu hadi mwingine wataona kwa macho yao wenyewe, la sivyo Sitaacha kamwe. Ghadhabu Yangu imemwagwa kikamilifu na hakuna hata chembe imezuiwa. Inaelekezwa kwa kila mtu mmoja ambaye anakubali jina hili (hivi karibuni itageuzwa juu ya mataifa yote ya dunia). Na ghadhabu Yangu ni nini? Ni kali kiasi gani?

Jumamosi, 19 Januari 2019

Matamshi ya Mungu kwa Ulimwengu Mzima - Tamko la Ishirini na Tano

 Matamshi ya Mungu kwa Ulimwengu Mzima - Tamko la Ishirini na Tano

Muda unapita, na kufumba na kufumbua leo imefika. Chini ya uongozi wa Roho Wangu, watu wote wanaishi katikati ya mwanga Wangu, na hakuna anayefikiria yaliyopita ama kuiwekea jana maanani. Nani hajawahi kuishi katika wakati wa sasa? Ni nani ambaye hajapitia katika siku na miezi ya ajabu katika ufalme?

Ijumaa, 13 Aprili 2018

New Swahili Gospel Movie "Mji Utaangushwa" | Hukumu katika Siku za Mwisho

New Swahili Gospel Movie "Mji Utaangushwa" | Hukumu katika Siku za Mwisho

Cheng Huize ni mfanyakazi mwenzi katika kanisa la nyumba huko China. Ameamini katika Bwana kwa miaka mingi, na amefanya kazi kwa ajili ya Bwana kwa shauku thabiti. Yeye hujitwisha majukumu mengi kwa ajili ya kanisa, na ana huruma kwa ndugu zake. Kanisa lake lilipokua na ukiwa zaidi na zaidi kila siku, uovu katika kanisa lake ulionekana mara kwa mara zaidi na zaidi. Mchungaji alipendekeza kwa juhudi kwamba kanisa lilipaswa kuanzisha kiwanda, na akawaongoza wafuasi kwenye njia ya utajiri, na pia kuwashawishi wao kujiunga na Kanisa la Nafsi Tatu ili kwamba wangeweza kutegemea msaada toka kwa serikali ya kikomunisti ya China. Hii ilisababisha mjadala mkali kujitokeza. Mchungaji alitenda kwa ukaidi kwa manufaa yake mwenyewe binafsi na hakusita kuligawa kanisa, akiwaongoza waumini kwenye njia isiyo sahihi.


Kanisa la Mwenyezi Mungu, Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki
Cheng Huize na wengine wachache walishikilia imara njia ya Bwana, na wakapinga vikali kanisa kuwa kiwanda na pia kujiunga na Kanisa la Nafsi Tatu. Ingawa wazee wa kanisa katika kanisa walionyesha kupingana na hili, walifanya hivyo tu ili kulinda hadhi na riziki yao. Hata ingawa mchungaji na wazee wa kanisa wote walikuwa wakihodhi siri mioyoni mwao, wakiwa wamefungwa katika ugomvi wa mara kwa mara kwa ajili ya umaarufu na faida yao wenyewe, wakipigana kwa ajili ya wivu, walipoona kwamba wengi wa kondoo wazuri na viongozi wa kondoo katika kanisa walikuwa wamechunguza Umeme wa Mashariki na kumgeukia Mwenyezi Mungu mmoja mmoja, walijiunga pamoja na serikali ya kikomunisti ya China na wakapambana ili kukomesha Umeme wa Mashariki, wakiwazuia waumini kuja kuchunguza Umeme wa Mashariki, wakiwasihi wafuasi kuwaripoti kwa polisi. Walionyesha mfano kwa kuwaripoti na kuwakamata ndugu waliohubiri injili ya ufalme. Cheng Huize na wengine waliona kwamba mchungaji na wazee wa kanisa walikuwa wamepotoka toka kwa njia ya Bwana muda mrefu uliopita, na kanisa lilikuwa tayari limepoteza kazi ya Roho Mtakatifu na lilikuwa limepotoka na kuwa mahali pa dini kama Babeli Mkuu, uliolaaniwa na kutukanwa na Bwana. Kwa sababu hii, waliamua kuchunguza Umeme wa Mashariki ili kutafuta dhihirisho na kazi ya Mungu. Baada ya mijadala mikali na wahubiri kutoka kwa Kanisa la Mwenyezi Mungu, Cheng Huize na wengine hatimaye walianza kuona wazi kwamba viongozi wa ulimwengu wa dini walimpinga Mungu katika kiini, na sababu ya ulimwengu wa dini kukataa, kila siku ukikaribia uharibifu wake: Wachungaji na wazee wa ulimwengu wa dini, ingawa waliweza kueleza Biblia na kuchukulia Biblia kwa heshima kubwa, wao hufanya hivyo tu kwa ajili ya hadhi na riziki. Wanawakanganya na kuwatega watu. Wao hawamchukulii Mungu kwa heshima kubwa au kushuhudia Kwake, hawamwelewi Mungu kamwe. Katika siku za mwisho, Mwenyezi Mungu mwenye mwili anapoonekana na kufanya kazi Yake, wanampinga bila aibu hata kidogo, wao hulaani kazi ya Mungu, hata kufikia mahali ambapo wanaungana na serikali ya kikomunisti ya Kichina kuwakamata waumini. Hii inatosha kuthibitisha kwamba wana asili ya kishetani inayochukia ukweli na kumchukia Mungu. Wao ni Mafarisayo wa kisasa, wanaojifanya watu waadilifu, wapinga Kristo wanaokana kwamba Mungu anakuwa mwili. Ulimwengu wa dini tayari umekuwa ngome ya wapinga Kristo kabisa ambao ni maadui wa Mungu. Bila shaka watakutana na laana na adhabu za Mungu. Cheng Huize na wengine hatimaye waliweza kutofautisha kiini cha asili cha mpinga Kristo cha viongozi wa ulimwengu wa dini, na kuwaongoza waumini kujitenga na mkanganyiko na udhibiti wa Mafarisayo, ili kuitoroka Babeli bila kusita, mji ambao utaangushwa ...

Jumatano, 28 Februari 2018

"Ndoto Yangu ya Ufalme wa Kibinguni" (2) - Jinsi ya Kufuatilia Ili Kuingia katika Ufalme wa Mbinguni (2)

Umeme wa Mashariki | "Ndoto Yangu ya Ufalme wa Kibinguni" (2) - Jinsi ya Kufuatilia Ili Kuingia katika Ufalme wa Mbinguni (2)

Waumini wengi wa Bwana wanahisi kwamba almradi tukiyafuata maneno ya Bwana, tukitenda unyenyekevu na uvumilivu, na kufuata mfano wa Paulo kwa kujitolea, kutumia rasilmali na kufanya kazi kwa ajili ya Bwana, tutayaridhisha mapenzi ya Mungu. Na tutaletwa katika ufalme wa mbinguni Bwana atakaporudi. Hata hivyo, je, tumewahi kufikiria iwapo jitihada kama hizi kweli zitastahili sifa za Bwana na ruhusa ya kuingia katika ufalme wa mbinguni? Kama sivyo, tunapaswa kufuatilia kupata sifa ya Bwana na kuletwa katika ufalme wa mbinguni vipi?

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki
Umeme wa Mashariki, Kanisa la Mwenyezi Mungu lilianzishwa kwa sababu ya kuonekana na kazi ya Mwenyezi Mungu, ujio wa pili wa Bwana Yesu, Kristo wa siku za mwisho. Linashirikisha wale wote ambao wanaikubali kazi ya Mwenyezi Mungu katika siku za mwisho na ambao wameshindwa na kuokolewa kwa maneno Yake. Liliasisiwa kikamilifu na Mwenyezi Mungu mwenyewe na linaongozwa naye kama Mchungaji. Kwa hakika halikuanzishwa na mtu. Kristo ni ukweli, njia, na uzima. Kondoo wa Mungu husikia sauti ya Mungu. Mradi unasoma maneno ya Mwenyezi Mungu, utaona kuwa Mungu ameonekana.


Jumatatu, 26 Februari 2018

Umeme wa Mashariki | "Ndoto Yangu ya Ufalme wa Kibinguni" (1) - Jinsi ya Kufuatilia Ili Kuingia katika Ufalme wa Mbinguni (1)

Umeme wa Mashariki | "Ndoto Yangu ya Ufalme wa Kibinguni" (1) - Jinsi ya Kufuatilia Ili Kuingia katika Ufalme wa Mbinguni (1)

Waumini wengi wa Bwana wanahisi kwamba almradi tukiyafuata maneno ya Bwana, tukitenda unyenyekevu na uvumilivu, na kufuata mfano wa Paulo kwa kujitolea, kutumia rasilmali na kufanya kazi kwa ajili ya Bwana, tutayaridhisha mapenzi ya Mungu. Na tutaletwa katika ufalme wa mbinguni Bwana atakaporudi. Hata hivyo, je, tumewahi kufikiria iwapo jitihada kama hizi kweli zitastahili sifa za Bwana na ruhusa ya kuingia katika ufalme wa mbinguni? Kama sivyo, tunapaswa kufuatilia kupata sifa ya Bwana na kuletwa katika ufalme wa mbinguni vipi?
Kanisa la Mwenyezi Mungu, Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki
Umeme wa Mashariki, Kanisa la Mwenyezi Mungu lilianzishwa kwa sababu ya kuonekana na kazi ya Mwenyezi Mungu, ujio wa pili wa Bwana Yesu, Kristo wa siku za mwisho. Linashirikisha wale wote ambao wanaikubali kazi ya Mwenyezi Mungu katika siku za mwisho na ambao wameshindwa na kuokolewa kwa maneno Yake. Liliasisiwa kikamilifu na Mwenyezi Mungu mwenyewe na linaongozwa naye kama Mchungaji. Kwa hakika halikuanzishwa na mtu. Kristo ni ukweli, njia, na uzima. Kondoo wa Mungu husikia sauti ya Mungu. Mradi unasoma maneno ya Mwenyezi Mungu, utaona kuwa Mungu ameonekana.


Jumanne, 13 Februari 2018

Umeme wa Mashariki | Swahili Gospel Movie "Ndoto Yangu ya Ufalme wa Kibinguni"


Umeme wa Mashariki | Swahili Gospel Movie "Ndoto Yangu ya Ufalme wa Kibinguni"

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, Injili

Song Ruiming ni mchungaji wa kanisa huko Korea Kusini. Kama mfuasi wa dhati wa Bwana kwa miaka mingi, amekuwa akifuatilia imani yake kwa bidii sana na kumfanyia kazi Bwana huku akisubiri kuinuliwa hadi katika ufalme wa mbinguni Bwana atakaporudi. Katika miaka ya hivi karibuni, amekuwa akihisi kuchanganyikiwa sana na mwenye udhaifu anapokuwa akiona kwamba Kanisa halina kazi ya Roho Mtakatifu na linazidi kuwa na ukiwa. Hapo ndipo aliposikia kuhusu dhehebu kwa jina la Umeme wa Mashariki linaloibuka nchini China ambalo linashuhudia kurudi kwa Bwana YesuMwenyezi Mungu, ambaye Anafanya kazi ya hukumu katika siku za mwisho kwa kuonyesha ukweli. Hivyo Song Ruiming na mhubiri Cui Cheng'en walisafiri kwenda China kujifunza Umeme wa Mashariki, ambapo hatimaye waliyasoma maneno ya Mwenyezi Mungu, na kugundua kwamba maneno yote ya Mwenyezi Mungu ni ukweli, sauti ya Mungu! Mwenyezi Mungu huenda ndiye Bwana Yesu aliyerejea! Hata hivyo, walipokuwa wakichunguza kazi ya Mwenyezi Mungu katika siku za mwisho, walisalitiwa na wazee wa kidini ambao waliwatahadharisha polisi kuwahusu. Wawili hao walikamatwa na kufukuzwa nchini na polisi wa kikomunisti wa China. Huko Korea Kusini, Song Ruiming alihisi hasa huzuni makali na kujisahau. Aliendelea kufikiria njia za kuwasiliana na Kanisa la Mwenyezi Mungu. Ghafla siku moja, aligundua tovuti ya Kikorea ya Kanisa la Mwenyezi Mungu kwenye mtandao, akijua kwamba Umeme wa Mashariki lilikuwa limeenea hadi Korea Kusini na kulitaifisha Kanisa la Mwenyezi Mungu! Huku akiwa na shangwe na msisimko, Song Ruiming aliongoza ndugu wa Kanisa lake kujifunza njia ya kweli katika Kanisa la Mwenyezi Mungu. Waliamini tisti kwamba Mwenyezi Mungu ni Bwana Yesu aliyerejea. Walikubali kwa furaha kazi ya Mwenyezi Mungu katika siku za mwisho na wakang’amua njia ya ufalme wa mbinguni. Hatimaye ana nafasi ya kutimiza ndoto yake ya ufalme wa mbinguni.