Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo kuja-kwa-mara-ya-pili. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo kuja-kwa-mara-ya-pili. Onyesha machapisho yote
Jumatatu, 22 Aprili 2019
Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Sura ya 14
By Chris ZhouAprili 22, 2019Kazi-ya-Mungu, kuja-kwa-mara-ya-pili, Neno-la-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, VitabuNo comments

Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Sura ya 14
Katika enzi zote, hakuna mwanadamu ameingia katika ufalme na hivyo hakuna aliyefurahia neema ya Enzi ya Ufalme, hakuna aliyeona Mfalme wa ufalme. Ingawa chini ya nuru ya Roho Wangu watu wengi wametabiri uzuri wa ufalme, wanajua tu nje ya ufalme, sio umuhimu wa ndani. Leo, ufalme ujapo kuwepo rasmi duniani,...
Jumatano, 18 Julai 2018
"Njia ya Kwenda katika Ufalme wa Mbinguni ni Yenye Hatari" (2) - Je, Kuna Msingi Katika Biblia wa Kurudi kwa Bwana Kupitia Kupata Mwili?
By Kuhusu Umeme wa MasharikiJulai 18, 2018Biblia, kuja-kwa-mara-ya-pili, kupata-mwili, Sinema-za-InjiliNo comments

"Njia ya Kwenda katika Ufalme wa Mbinguni ni Yenye Hatari" (2) - Je, Kuna Msingi Katika Biblia wa Kurudi kwa Bwana Kupitia Kupata Mwili?
Watu wengi katika kukaribisha kuja kwa mara ya pili kwa Bwana wanaweka umuhimu tu katika unabii ulio katika Maandiko kwamba Bwana atashuka kutoka mawinguni kuja tena huku wakipuuza unabii kwamba kuja kwa pili...
Jumatano, 28 Februari 2018
"Ndoto Yangu ya Ufalme wa Kibinguni" (2) - Jinsi ya Kufuatilia Ili Kuingia katika Ufalme wa Mbinguni (2)
By UnknownFebruari 28, 2018kuja-kwa-mara-ya-pili, Sehemu-za-Filamu, Tafuta-Ufalme-wa-Mungu-Kwanza, VideoNo comments


Umeme wa Mashariki | "Ndoto Yangu ya Ufalme wa Kibinguni" (2) - Jinsi ya Kufuatilia Ili Kuingia katika Ufalme wa Mbinguni (2)
Waumini wengi wa Bwana wanahisi kwamba almradi tukiyafuata maneno ya Bwana, tukitenda unyenyekevu na uvumilivu, na kufuata mfano wa Paulo kwa...
Alhamisi, 8 Februari 2018
Neno la Mungu | "Je, Kazi ya Mungu ni Rahisi Jinsi Mwanadamu Anavyodhania?" (Official Video)
By UnknownFebruari 08, 2018kuja-kwa-mara-ya-pili, kumfuata-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, ukamilifu, ushindi, VitabuNo comments


Neno la Mungu | "Je, Kazi ya Mungu ni Rahisi Jinsi Mwanadamu Anavyodhania?" (Official Video)
Mwenyezi Mungu alisema, Kama mtu anayemwamini Mungu, inakupasa kuelewa kuwa, leo, katika kupokea kazi ya Mungu nyakati za mwisho na kazi yote ya mpango wa Mungu ndani yako, umepokea...