Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Muumba. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Muumba. Onyesha machapisho yote
Jumapili, 31 Machi 2019
Matamshi ya Mungu | “Mungu Mwenyewe, Yule wa Kipekee I Mamlaka ya Mungu I” Sehemu ya Tano
By Chris ZhouMachi 31, 2019Kazi-ya-Mungu, Kiumbe-Aliyeumbwa, Muumba, Neno-la-Mungu, Usomaji-wa-Maneno-ya-Mwenyezi-Mungu, VideoNo comments

Matamshi ya Mungu | “Mungu Mwenyewe, Yule wa Kipekee I Mamlaka ya Mungu I” Sehemu ya Tano
Mwenyezi Mungu alisema, "Unatazama vipi haswa mamlaka ya Mungu sasa? Kwa vile sasa maneno haya yamezungumziwa kwenye ushirika, unafaa kuwa na maarifa mapya kuhusu mamlaka ya Mungu. Na kwa hivyo Nakuuliza: Mamlaka ya Mungu yanaashiria nini? Je, yanaashiria...
Jumapili, 13 Januari 2019
Maonyesho ya Mungu | "Mungu Ndiye Chanzo cha Uhai wa Mwanadamu"
Maonyesho ya Mungu | "Mungu Ndiye Chanzo cha Uhai wa Mwanadamu"
Mwenyezi Mungu anasema, "chanzo cha uhai hutoka kwa Mungu, kwa viumbe vyote, haijalishi tofauti katika maumbile au muundo. Hata uwe kiumbe hai cha aina gani, huwezi kwenda kinyume na njia ya maisha ambayo Mungu ameweka. Katika hali yoyote, kile Napenda ni kuwa mwanadamu aelewe kwamba...
Ijumaa, 11 Januari 2019
Matamshi ya Mungu | "Mungu Mwenyewe, Yule wa Kipekee III Mamlaka ya Mungu II Sehemu ya Kwanza"
By UnknownJanuari 11, 2019Kumjua-Mungu, maneno-ya-Mungu, Muumba, Utongoaji-wa-Matamshi-ya-Kristo-wa-Siku-za-Mwisho, VideoNo comments

Matamshi ya Mungu | "Mungu Mwenyewe, Yule wa Kipekee III Mamlaka ya Mungu II Sehemu ya Kwanza"
Maneno ya Mungu katika video hii ni kutoka kitabu “Neno Laonekana katika Mwili”.
Maudhui ya video hii:
Kuelewa Mamlaka ya Mungu Kutoka kwa Mitazamo Mikubwa na Midogo
Hatima ya Binadamu na Hatima ya Ulimwengu Haviwezi Kutenganishwa na Ukuu wa Muumba Umeme...
Alhamisi, 10 Januari 2019
Umeme wa Mashariki | Mungu ni Chanzo cha Uhai kwa Vitu Vyote (II) Sehemu ya Pili
By UnknownJanuari 10, 2019makusudi-ya-Mungu, Matamshi-ya-Kristo, Matamshi-ya-Mwenyezi-Mungu (Njia-ya-Kumjua-Mungu), MuumbaNo comments


Umeme wa Mashariki | Mungu ni Chanzo cha Uhai kwa Vitu Vyote (II) Sehemu ya Pili
Mazingira ya Kuishi ya Msingi Ambayo Mungu Anawaumbia Wanadamu
3. Sauti
Kitu cha tatu ni nini? Ni kitu ambacho mazingira ya kuishi ya kawaida ya wanadamu yanatakiwa kuwa...
Alhamisi, 28 Juni 2018
New Swahili Gospel Choir Full Album Documentary 2018 | "Yule Anayeshikilia Ukuu Juu ya Kila Kitu"
By Kuhusu Umeme wa MasharikiJuni 28, 2018Kanisa-la-Mwenyezi-Mungu, Kazi-ya-Mungu, Muumba, NyendoNo comments


New Swahili Gospel Choir Full Album Documentary 2018 | "Yule Anayeshikilia Ukuu Juu ya Kila Kitu"
Throughout the vast universe, all celestial bodies move precisely within their own orbits. Under the heavens, mountains, rivers, and lakes all have their boundaries,...
Ijumaa, 13 Aprili 2018
Umeme wa Mashariki | "Kwa nini tunaishi? Na kwa nini inatulazimu kufa?"

Mungu asema: "Wanaokufa huenda na hadithi za walio hai, na walio hai hurudia historia hii yenye huzuni ya wale waliokufa. Na kwa hivyo wanadamu hawawezi kujizuia ila kujiuliza wenyewe; Kwa nini tunaishi? Na kwa nini inatulazimu kufa? Nani anayeitawala dunia hii? Na ni nani...
Ijumaa, 30 Machi 2018
Kazi ya Mungu, Tabia ya Mungu, na Mungu Mwenyewe I
By UnknownMachi 30, 2018Muumba, Mwendelezo-wa-Neno-Laonekana-katika-Mwili, tabia-ya-Mungu, Upendo-wa-Mungu, VitabuNo comments


Kazi ya Mungu, Tabia ya Mungu, na Mungu Mwenyewe I
3) Mungu Atumia Upinde wa Mvua Kama Ishara ya Agano Lake na mwanadamu.
Mwa 9:11-13 Na nitaweka agano langu na ninyi, wala miili yote haitaondolewa tena na maji ya gharika; wala hakutakuwa na gharika tena kuiharibu...
Ijumaa, 16 Machi 2018
Mwabudu Mungu kwa Roho na Ukweli | Muziki wa Akapela "Tokeo Lililofikiwa kwa Kumjua Mungu"
By UnknownMachi 16, 2018Kiumbe-Aliyeumbwa, Msururu-wa-MV-za-Ufalme, Muumba, nyimbo-za-sifa, VideoNo comments


Mwabudu Mungu kwa Roho na Ukweli | Muziki wa Akapela "Tokeo Lililofikiwa kwa Kumjua Mungu"
Tokeo Lililofikiwa kwa Kumjua Mungu
Mpaka siku moja,
utahisi kuwa Muumba sio fumbo tena,
kwamba Muumba hajawahi kufichwa kutoka kwako,
kwamba Muumba hajawahi kuificha sura...
Jumatatu, 19 Februari 2018
Mungu na Mwanadamu Wataingia Rahani Pamoja
By UnknownFebruari 19, 2018Kiumbe-Aliyeumbwa, Muumba, Neno-Laonekana-katika-Mwili, Vitabu, WokovuNo comments


Mungu na Mwanadamu Wataingia Rahani Pamoja
Mwenyezi Mungu alisema, Mwanzoni, Mungu alikuwa anapumzika. Hakukuwa na binadamu ama kitu chochote kingine duniani wakati huo, na Mungu hakuwa amefanya kazi yoyote ile. Mungu alianza tu kazi Yake ya usimamizi baada ya binadamu...