
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Mwendelezo-wa-Neno-Laonekana-katika-Mwili. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Mwendelezo-wa-Neno-Laonekana-katika-Mwili. Onyesha machapisho yote
Jumatatu, 7 Mei 2018
Mungu Mwenyewe, Yule wa Kipekee IV
By UnknownMei 07, 2018Biblia, dutu-ya-Mungu, Mungu, Mwendelezo-wa-Neno-Laonekana-katika-Mwili, tabia-ya-Mungu, VitabuNo comments


Mungu Mwenyewe, Yule wa Kipekee IV
Utakatifu wa Mungu (I)
Mwenyezi Mungu alisema, Tumekuwa na ushirika wa ziada wa mamlaka ya Mungu leo, na hatutazungumza kuhusu haki ya Mungu sasa hivi. Leo tutazungumza kuhusu mada nzima mpya—utakatifu wa Mungu. Utakatifu wa Mungu pia...
Ijumaa, 6 Aprili 2018
Kazi ya Mungu, Tabia ya Mungu, na Mungu Mwenyewe I
By UnknownAprili 06, 2018Kazi-ya-Mungu, Mwendelezo-wa-Neno-Laonekana-katika-Mwili, na-Mungu-Mwenyewe, tabia-ya-Mungu, VitabuNo comments


Kazi ya Mungu, Tabia ya Mungu, na Mungu Mwenyewe I
Mwenyezi Mungu alisema, Kwa wakati huu, tunafaa kuunganisha mazungumzo yetu na sasa. Kama Mungu angeweza kufanya mambo haya madogo mbalimbali kwa binadamu Aliowaumba hapo mwanzo...
Jumapili, 1 Aprili 2018
Kazi ya Mungu, Tabia ya Mungu, na Mungu Mwenyewe III
By UnknownAprili 01, 2018Bwana-Yesu, msalaba, Mwendelezo-wa-Neno-Laonekana-katika-Mwili, Vitabu, WokovuNo comments


12. Maneno ya Yesu kwa Wanafunzi Wake Baada ya Kufufuka Kwake
(Yohana 20:26-29) Na baada ya siku nane wanafunzi wake walikuwa ndani tena, na Tomaso pamoja nao: Kisha akaja Yesu, na milango imefungwa, na akasimama katikati, kisha akasema, Amani iwe kwenu. Kisha akamwambia...
Ijumaa, 30 Machi 2018
Kazi ya Mungu, Tabia ya Mungu, na Mungu Mwenyewe I
By UnknownMachi 30, 2018Muumba, Mwendelezo-wa-Neno-Laonekana-katika-Mwili, tabia-ya-Mungu, Upendo-wa-Mungu, VitabuNo comments


Kazi ya Mungu, Tabia ya Mungu, na Mungu Mwenyewe I
3) Mungu Atumia Upinde wa Mvua Kama Ishara ya Agano Lake na mwanadamu.
Mwa 9:11-13 Na nitaweka agano langu na ninyi, wala miili yote haitaondolewa tena na maji ya gharika; wala hakutakuwa na gharika tena kuiharibu...
Jumatano, 28 Machi 2018
Mungu Mwenyewe, Yule wa Kipekee I
By UnknownMachi 28, 2018Mamlaka-ya-Mungu, Mungu-Mwenyewe, Mwendelezo-wa-Neno-Laonekana-katika-Mwili, Vitabu, Yule-wa-KipekeeNo comments


Mungu Mwenyewe, Yule wa Kipekee I
Mamlaka ya Mungu (I)
Vikao vyangu mbalimbali vya ushirika vilivyopita vilikuwa vinahusu kazi ya Mungu, tabia ya Mungu, na Mungu Mwenyewe. Baada ya kuvisikiliza vikao hivi vya ushirika, je, unahisi kuwa umefaidi na kupata ufahamu na maarifa...
Jumatano, 21 Machi 2018
Mungu Mwenyewe, Yule wa Kipekee VII
By UnknownMachi 21, 2018Mamlaka-ya-Mungu, Mungu-Mwenyewe, Mwendelezo-wa-Neno-Laonekana-katika-Mwili, VitabuNo comments

Mungu Mwenyewe, Yule wa Kipekee VII
Hadithi ya 2. Mlima Mkubwa, Kijito Kidogo, Upepo Mkali, na Wimbi Kubwa
Mwenyezi Mungu alisema, Kulikuwa na kijito kidogo kilichotiririka kwa kuzungukazunguka, hatimaye kikawasili chini ya mlima mkubwa. Mlima ulikuwa unazuia njia ya kijito hiki, hivyo kijito kikauomba mlima kwa sauti yake dhaifu...
Mungu Mwenyewe, Yule wa Kipekee VII
By UnknownMachi 21, 2018Mungu-ni-Chanzo-cha-Uhai-kwa-Vitu-Vyote, Mwendelezo-wa-Neno-Laonekana-katika-Mwili, VitabuNo comments

Mungu Mwenyewe, Yule wa Kipekee VII
Mungu ni Chanzo cha Uhai kwa Vitu Vyote (I)
Mwenyezi Mungu alisema, Leo Nitashiriki nawe mada mpya. Mada itakuwa ni nini? Kichwa cha mada kitakuwa “Mungu ni Chanzo cha Uhai kwa Vitu Vyote.” Je, hii siyo mada kubwa kidogo kuweza kuijadili? Je, inaonekana kama kitu ambacho kidogo hakiwezi kufikika? Mungu kuwa...
Jumanne, 20 Machi 2018
Mungu Mwenyewe, Yule wa Kipekee X
By UnknownMachi 20, 2018Mungu-Mwenyewe, Mwendelezo-wa-Neno-Laonekana-katika-Mwili, ulimwengu-wa-kiroho, Vitabu, Yule-wa-KipekeeNo comments

Mungu Mwenyewe, Yule wa Kipekee X
Jinsi Mungu Anavyotawala na Kuongoza Ulimwengu wa Kiroho
Mwenyezi Mungu alisema, Kwa ulimwengu yakinifu, watu wakikosa kuelewa vitu au jambo fulani, wanaweza kutafuta taarifa mwafaka, vinginevyo wanaweza kutumia njia mbalimbali kubaini asili ya habari kuvihusu. Lakini inapokuja kwa ulimwengu huu mwingine...
Jumamosi, 17 Machi 2018
Kazi ya Mungu, Tabia ya Mungu, na Mungu Mwenyewe II
By UnknownMachi 17, 2018Kazi-ya-Mungu, Mwendelezo-wa-Neno-Laonekana-katika-Mwili, na-Mungu-Mwenyewe, tabia-ya-Mungu, VitabuNo comments


Kazi ya Mungu, Tabia ya Mungu, na Mungu Mwenyewe II
Mwenyezi Mungu alisema, Kwenye mkutano mwisho tuliweza kuzungumzia mada muhimu sana. Je, wakumbuka mada hiyo ilikuwa kuhusu nini? Hebu Niirudie. Mada ya ushirika wetu wa mwisho ilikuwa: Kazi ya Mungu,...