Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo dutu-ya-Mungu. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo dutu-ya-Mungu. Onyesha machapisho yote
Jumatano, 10 Aprili 2019
Matamshi ya Mungu | “Mungu Mwenyewe, Yule wa Kipekee V Utakatifu wa Mungu II” Sehemu ya Nne
By Chris ZhouAprili 10, 2019dutu-ya-Mungu, Kazi-ya-Mungu, Kumjua-Mungu, Neno-la-Mungu, Usomaji-wa-Maneno-ya-Mwenyezi-Mungu, VideoNo comments

Matamshi ya Mungu | “Mungu Mwenyewe, Yule wa Kipekee V Utakatifu wa Mungu (II)” Sehemu ya Nne
Mwenyezi Mungu anasema, “Kuelewa kiini cha Mungu na kujua kiini cha Mungu kinapeana msaada usioweza kupimika kwa kuingia kwa watu katika maisha. Natumai kwamba hamtapuuza haya ama kuyaona kama mchezo; kwa sababu kumjua Mungu ni msingi muhimu na msingi...
Jumanne, 15 Januari 2019
Matamshi ya Mwenyezi Mungu | 5. Ni zipi tofauti muhimu kati ya Mungu mwenye mwili na hao watu ambao hutumiwa na Mungu?
By UnknownJanuari 15, 2019dutu-ya-Mungu, Injili-ya-Ufalme-wa-Mbinguni, Kiumbe-Aliyeumbwa, kupata-mwili, masomo-ya-Biblia, Mungu-Kupata-Mwili, Roho-MtakatifuNo comments


Matamshi ya Mwenyezi Mungu | 5. Ni zipi tofauti muhimu kati ya Mungu mwenye mwili na hao watu ambao hutumiwa na Mungu?
Aya za Biblia za Kurejelea:
“Mimi nawabatiza na maji ili mtubu. Lakini yule ajaye baada ya mimi ni mwenye nguvu zaidi kuliko mimi, ambaye sistahili...
Jumamosi, 12 Januari 2019
nyimbo za injili | Unapaswa Kupokeaje Kurudi kwa Kristo wa Siku za Mwisho?
By UnknownJanuari 12, 2019dutu-ya-Mungu, Kristo-ndiye-ukweli, Kristo-ndiye-ukweli-njia-na-uzima, kupata-mwili, njia, Nyimbo-za-Neno-la-MunguNo comments

Nyimbo za Injili | Unapaswa Kupokeaje Kurudi kwa Kristo wa Siku za Mwisho?
I
Mwili wa Mungu utajumlisha
kiini cha Mungu na maonyesho Yake.
Atakapofanywa mwili,
Ataleta
matunda ya kazi Aliyopewa
ajidhihirishe na Alete Ukweli kwa wote,
awape uhai na awaonyeshe njia.
Mwili wowote usiokuwa na dutu
Yake sio Mwili wa Mung...
Jumatano, 5 Desemba 2018
3. Jina la Mungu linaweza kubadilika, lakini asili Yake haitabadilika kamwe.
By UnknownDesemba 05, 2018Bwana-Yesu, dutu-ya-Mungu, Jina-la-Mungu, Kazi-ya-Mungu, Mashahidi-wa-Kristo-wa-Siku-za-Mwisho, VitabuNo comments


IV. Ni Lazima Mtu Ashuhudie Kipengele cha Ukweli Kuhusu Hatua Tatu za Kazi ya Mungu na Majina Yake
3. Jina la Mungu linaweza kubadilika, lakini asili Yake haitabadilika kamwe.
Maneno Husika ya Mungu:
Kuna wale ambao wanasema kuwa Mungu habadiliki. Hiyo ni sahihi,...
Jumatatu, 7 Mei 2018
Mungu Mwenyewe, Yule wa Kipekee IV
By UnknownMei 07, 2018Biblia, dutu-ya-Mungu, Mungu, Mwendelezo-wa-Neno-Laonekana-katika-Mwili, tabia-ya-Mungu, VitabuNo comments


Mungu Mwenyewe, Yule wa Kipekee IV
Utakatifu wa Mungu (I)
Mwenyezi Mungu alisema, Tumekuwa na ushirika wa ziada wa mamlaka ya Mungu leo, na hatutazungumza kuhusu haki ya Mungu sasa hivi. Leo tutazungumza kuhusu mada nzima mpya—utakatifu wa Mungu. Utakatifu wa Mungu pia...