Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Mungu-Kupata-Mwili. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Mungu-Kupata-Mwili. Onyesha machapisho yote
Jumanne, 12 Februari 2019
Gospel Movie Clip “Siri ya Utauwa” (4) - Mungu Mwenye Mwili pekee Ndiye Anaweza Kufanya Kazi ya Hukumu Katika Siku za Mwisho
By UnknownFebruari 12, 2019Filamu-za-Injili, Hukumu-ya-Siku-za-Mwisho, Mungu-Kupata-MwiliNo comments

Umeme wa Mashariki unashuhudia kwamba Mungu amepata mwili katika siku za mwisho kufanya kazi ya hukumu Mwenyewe. Lakini kazi ya Mungu katika Enzi ya Sheria ilifanywa kwa kumtumia Musa. Kwa hiyo kazi ya Mungu ya hukumu katika siku za mwisho haiwezi kufanywa kwa namna hiyo hiyo, kwa kuwatumia watu? Kwa nini Mungu anahitaji kupata mwili na kuifanya...
Jumatano, 16 Januari 2019
6. Kwa nini husemwa kuwa wanadamu wapotovu wanahitaji zaidi wokovu wa Mungu aliyepata mwili?
By UnknownJanuari 16, 2019Injili-ya-Ufalme-wa-Mbinguni, kupata-mwili, Mungu-Kupata-Mwili, siku-za-mwisho, vita-vya-kiroho, WokovuNo comments


6. Kwa nini husemwa kuwa wanadamu wapotovu wanahitaji zaidi wokovu wa Mungu aliyepata mwili?
(Fungu Lililochaguliwa la Neno la Mungu)
Mwanadamu Aliyeanguka Anahitaji Zaidi Wokovu wa Mungu Mwenye Mwili
Mungu alifanyika...
Jumanne, 15 Januari 2019
Matamshi ya Mwenyezi Mungu | 5. Ni zipi tofauti muhimu kati ya Mungu mwenye mwili na hao watu ambao hutumiwa na Mungu?
By UnknownJanuari 15, 2019dutu-ya-Mungu, Injili-ya-Ufalme-wa-Mbinguni, Kiumbe-Aliyeumbwa, kupata-mwili, masomo-ya-Biblia, Mungu-Kupata-Mwili, Roho-MtakatifuNo comments


Matamshi ya Mwenyezi Mungu | 5. Ni zipi tofauti muhimu kati ya Mungu mwenye mwili na hao watu ambao hutumiwa na Mungu?
Aya za Biblia za Kurejelea:
“Mimi nawabatiza na maji ili mtubu. Lakini yule ajaye baada ya mimi ni mwenye nguvu zaidi kuliko mimi, ambaye sistahili...
Jumatatu, 14 Januari 2019
4. Kwa nini Mungu hamtumii mwanadamu kufanya kazi Yake ya hukumu katika siku za mwisho lakini badala yake Yeye ni lazima apate mwili na kuifanya Mwenyewe?
By UnknownJanuari 14, 2019Injili-ya-Ufalme-wa-Mbinguni, masomo-ya-Biblia, Mungu-Kupata-Mwili, Siku-ya-Hukumu, UnabiiNo comments


Aya za Biblia za Kurejelea:
“Kwa kuwa Baba hamhukumu mwanadamu yeyote, ila amekabidhi hukumu yote kwa Mwana” (YN. 5:22).
“Na yeye amempa mamlaka ya kuhukumu pia, kwa kuwa yeye ni Mwana wa Adamu” (YN. 5:27).
Maneno Husika ya Mungu:
Kazi mzima ya mpangilio wa usimamizi...