Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Hukumu-ya-Siku-za-Mwisho. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Hukumu-ya-Siku-za-Mwisho. Onyesha machapisho yote
Jumamosi, 27 Aprili 2019
Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Sura ya 65
By Chris ZhouAprili 27, 2019Hukumu-ya-Siku-za-Mwisho, makusudi-ya-Mungu, Neno-la-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, VitabuNo comments

Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Sura ya 65
Maneno Yangu daima yanaendeleza barabara, yaani yanaonyesha udhaifu wenu wa jaala, vinginevyo bado mgekuwa mnakokota visigino vyenyu, bila wazo la muda gani ulioko sasa. Fahamu hili! Mimi Hutumia njia ya upendo ili kuwaokoa. Bila kujali jinsi nyinyi mlivyo, bila shaka Nitakamilisha mambo ambayo Nimekubali...
Alhamisi, 25 Aprili 2019
Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Sura ya 100
By Chris ZhouAprili 25, 2019Hukumu-ya-Siku-za-Mwisho, Neno-la-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, siku-za-mwisho, tabia-ya-Mungu, VitabuNo comments

Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Sura ya 100
Ninawachukia wale wote ambao hawajajaaliwa na kuchaguliwa na Mimi. Kwa hiyo ni lazima Niwafukuze watu hawa kutoka katika nyumba Yangu mmoja baada ya mwingine, hivyo hekalu Langu litakuwa takatifu na bila doa, nyumba Yangu itakuwa mpya daima na haitakuwa nzee kamwe, jina Langu takatifu litaenezwa milele na...
Jumatatu, 15 Aprili 2019
Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Tabia Yako Ni Duni Sana!
By Chris ZhouAprili 15, 2019Hukumu-ya-Siku-za-Mwisho, Kiumbe-Aliyeumbwa, Kumcha-Mungu, Neno-la-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, VitabuNo comments


Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Tabia Yako Ni Duni Sana!
Ninyi nyote mmeketi katika viti vya kifahari, mkiwafundisha wale wa vizazi vijana ambao ni wa aina yenu, ukiwafanya waketi nawe. Je, mngekosaje kujua kwamba wale “watoto” wenu walikuwa tayari hawana pumzi,...
Jumamosi, 16 Februari 2019
Neno la Mungu | Wale Waliokamilishwa Pekee Ndio Wanaoweza Kuishi Maisha Yenye Maana
Neno la Mungu | Wale Waliokamilishwa Pekee Ndio Wanaoweza Kuishi Maisha Yenye Maana
Mwenyezi Mungu anasema, "Wale waliofanywa kuwa wakamilifu hawawezi tu kuwa watiifu baada ya kushindwa, lakini wanaweza pia kuwa na maarifa wa kazi ya hukumu, kubadilisha tabia yao na kumjua Mungu. Wanapitia njia ya kumpenda Mungu na wamejazwa...
Jumanne, 12 Februari 2019
Gospel Movie Clip “Siri ya Utauwa” (4) - Mungu Mwenye Mwili pekee Ndiye Anaweza Kufanya Kazi ya Hukumu Katika Siku za Mwisho
By UnknownFebruari 12, 2019Filamu-za-Injili, Hukumu-ya-Siku-za-Mwisho, Mungu-Kupata-MwiliNo comments

Umeme wa Mashariki unashuhudia kwamba Mungu amepata mwili katika siku za mwisho kufanya kazi ya hukumu Mwenyewe. Lakini kazi ya Mungu katika Enzi ya Sheria ilifanywa kwa kumtumia Musa. Kwa hiyo kazi ya Mungu ya hukumu katika siku za mwisho haiwezi kufanywa kwa namna hiyo hiyo, kwa kuwatumia watu? Kwa nini Mungu anahitaji kupata mwili na kuifanya...