
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Mungu-Mwenyewe. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Mungu-Mwenyewe. Onyesha machapisho yote
Jumatano, 28 Machi 2018
Mungu Mwenyewe, Yule wa Kipekee I
By UnknownMachi 28, 2018Mamlaka-ya-Mungu, Mungu-Mwenyewe, Mwendelezo-wa-Neno-Laonekana-katika-Mwili, Vitabu, Yule-wa-KipekeeNo comments


Mungu Mwenyewe, Yule wa Kipekee I
Mamlaka ya Mungu (I)
Vikao vyangu mbalimbali vya ushirika vilivyopita vilikuwa vinahusu kazi ya Mungu, tabia ya Mungu, na Mungu Mwenyewe. Baada ya kuvisikiliza vikao hivi vya ushirika, je, unahisi kuwa umefaidi na kupata ufahamu na maarifa...
Jumatano, 21 Machi 2018
Mungu Mwenyewe, Yule wa Kipekee VII
By UnknownMachi 21, 2018Mamlaka-ya-Mungu, Mungu-Mwenyewe, Mwendelezo-wa-Neno-Laonekana-katika-Mwili, VitabuNo comments

Mungu Mwenyewe, Yule wa Kipekee VII
Hadithi ya 2. Mlima Mkubwa, Kijito Kidogo, Upepo Mkali, na Wimbi Kubwa
Mwenyezi Mungu alisema, Kulikuwa na kijito kidogo kilichotiririka kwa kuzungukazunguka, hatimaye kikawasili chini ya mlima mkubwa. Mlima ulikuwa unazuia njia ya kijito hiki, hivyo kijito kikauomba mlima kwa sauti yake dhaifu...
Jumanne, 20 Machi 2018
Mungu Mwenyewe, Yule wa Kipekee X
By UnknownMachi 20, 2018Mungu-Mwenyewe, Mwendelezo-wa-Neno-Laonekana-katika-Mwili, ulimwengu-wa-kiroho, Vitabu, Yule-wa-KipekeeNo comments

Mungu Mwenyewe, Yule wa Kipekee X
Jinsi Mungu Anavyotawala na Kuongoza Ulimwengu wa Kiroho
Mwenyezi Mungu alisema, Kwa ulimwengu yakinifu, watu wakikosa kuelewa vitu au jambo fulani, wanaweza kutafuta taarifa mwafaka, vinginevyo wanaweza kutumia njia mbalimbali kubaini asili ya habari kuvihusu. Lakini inapokuja kwa ulimwengu huu mwingine...
Alhamisi, 22 Februari 2018
Kazi ya Mungu, Tabia ya Mungu, na Mungu Mwenyewe III
By UnknownFebruari 22, 2018Kazi-ya-Mungu, Mungu-Mwenyewe, Neno-Laonekana-katika-Mwili, tabia-ya-Mungu, VitabuNo comments

Kazi ya Mungu, Tabia ya Mungu, na Mungu Mwenyewe III
Mwenyezi Mungu alisema, Vikao hivi kadhaa vya ushirika vimekuwa na athari kubwa kwa kila mmoja wa watu. Kwa sasa, watu wanaweza hatimaye kuhisi uwepo wa kweli wa Mungu na kwamba Mungu kwa hakika yuko karibu sana na wao. Ingawa watu wamemwani Mungu kwa miaka mingi, hawajawahi...