
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo msalaba. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo msalaba. Onyesha machapisho yote
Alhamisi, 2 Mei 2019
Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Asili na Utambulisho wa Mwanadamu
By ye.fengMei 02, 2019maneno-ya-Mungu, msalaba, Neno-Laonekana-katika-Mwili, Ukombozi, Vitabu, wokovu-wa-MunguNo comments


Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Asili na Utambulisho wa Mwanadamu
Kwa kweli, hawajasikitika, na wamekuwa wakitazama kile ambacho kimefanywa kwa miaka elfu sita iliyopita mpaka leo, kwa kuwa Sikuwaacha. Badala yake, kwa sababu mababu zao walikula tunda kutoka kwa mti...
Jumamosi, 16 Machi 2019
Unapaswa Kutafuta Njia ya Uwiano na Kristo
By ye.fengMachi 16, 2019Kazi-ya-Mungu, maneno-ya-Mungu, mapenzi-ya-Mungu, msalaba, Neno-Laonekana-katika-Mwili, VitabuNo comments

Mwenyezi Mungu anasema, Nimefanya kazi kubwa miongoni mwa binadamu, na maneno ambayo Nimeeleza wakati huu yamekuwa mengi. Maneno haya ni kwa ajili ya wokovu wa mwanadamu, na yalikuwa yanaeleza ili binadamu aweze kulingana na Mimi. Ilhali Nimewapokea watu wachache tu duniani ambao wanalingana na Mimi, na hivyo Nimesema kwamba binadamu hathamini...
Jumatatu, 20 Agosti 2018
"Kutoka kwa Enzi Hububujika Maji ya Uzima" (5) - Ni Nani Anayempa Mwanadamu Njia ya Uzima wa Milele?
By Kuhusu Umeme wa MasharikiAgosti 20, 2018Bwana-Yesu, Maji-ya-Uzima, msalaba, Njia-ya-Uzima-wa-Milele, siku-za-mwishoNo comments

"Kutoka kwa Enzi Hububujika Maji ya Uzima" (5) - Ni Nani Anayempa Mwanadamu Njia ya Uzima wa Milele?
Bwana Yesu alisema, "Lakini yeyote atakayekunywa maji yale nitakayompa hatahisi kiu milele; bali yale maji nitakayompa yatakuwa ndani yake chemchemi ya maji yakibubujika katika uzima wa milele" (Yohana 4:14). Bwana Yesu ndiye chanzo cha maji...
Jumapili, 5 Agosti 2018
Filamu za Kikristo "Ni Nani Anayemsulubisha Mungu Tena"
By Kuhusu Umeme wa MasharikiAgosti 05, 2018Filamu-za-Kikristo, Kanisa-la-Mwenyezi-Mungu, msalaba, Umeme-wa-MasharikiNo comments

Filamu za Kikristo "Ni Nani Anayemsulubisha Mungu Tena"
Go Shoucheng ni mchungaji katika kanisa la nyumbani huko China. Amemwamini Bwana kwa miaka mingi, na amekuwa akishughulikia kwa mahubiri yake kwa uthabiti, na amekuwa kila mahali akihuburu injili. Amekamatwa na kutiwa jelani kwa sababu ya kuhubiri injili, na kukaa miaka kumi na miwili...
Ijumaa, 3 Agosti 2018
Sinema za Injili "Kutoka kwa Enzi Hububujika Maji ya Uzima" | Roho wa Ukweli Amekuja!
By Kuhusu Umeme wa MasharikiAgosti 03, 2018Kanisa-la-Mwenyezi-Mungu, msalaba, Roho-Mtakatifu, Sinema-za-Injili, UkweliNo comments

Sinema za Injili "Kutoka kwa Enzi Hububujika Maji ya Uzima" | Roho wa Ukweli Amekuja!
Tao Wei alikuwa mhubiri kutoka kanisa la nyumba. Kanisa lake lilipokuwa na ukiwa zaidi na zaidi siku baada ya siku, wafuasi wake wote wakawa walegevu na wenye roho dhaifu, na roho yake mwenyewe ilikuwa na giza. Yeye hakuweza tena kuhisi uwepo wa Bwana,...
Jumapili, 1 Aprili 2018
Kazi ya Mungu, Tabia ya Mungu, na Mungu Mwenyewe III
By UnknownAprili 01, 2018Bwana-Yesu, msalaba, Mwendelezo-wa-Neno-Laonekana-katika-Mwili, Vitabu, WokovuNo comments


12. Maneno ya Yesu kwa Wanafunzi Wake Baada ya Kufufuka Kwake
(Yohana 20:26-29) Na baada ya siku nane wanafunzi wake walikuwa ndani tena, na Tomaso pamoja nao: Kisha akaja Yesu, na milango imefungwa, na akasimama katikati, kisha akasema, Amani iwe kwenu. Kisha akamwambia...
Jumatatu, 5 Februari 2018
Ni Jinsi Gani Mwanadamu Aliyemfafanua Mungu katika Dhana Zake Anaweza Kupokea Ufunuo wa Mungu?
By UnknownFebruari 05, 2018kupata-mwili, msalaba, Neno-Laonekana-katika-Mwili, Roho-Mtakatifu, VitabuNo comments


Ni Jinsi Gani Mwanadamu Aliyemfafanua Mungu katika Dhana Zake Anaweza Kupokea Ufunuo wa Mungu?
Mwenyezi Mungu alisema, Kazi ya Mungu inaendelea kusonga mbele, na ingawa madhumuni ya kazi Yake bado hayajabadilika, njia anazozitumia kufanya kazi zinabadilika mara kwa mara,...
Jumamosi, 27 Januari 2018
Kuhusu Maisha ya Petro | Umeme wa Mashariki
By UnknownJanuari 27, 2018kumpenda-Mungu, msalaba, Neno-Laonekana-katika-Mwili, Roho-Mtakatifu, VitabuNo comments


Kuhusu Maisha ya Petro
Mwenyezi Mungu alisema, Petro ni mfano ambao Mungu aliutambulisha kwa wanadamu, na yeye ni mtu mashuhuri anayejulikana vizuri. Kwa nini mtu mnyonge kama huyo aliwekwa mahala kama mfano na Mungu na amesifiwa na vizazi vya baadaye? Bila shaka, ni...