Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo kazi-ya-Roho-Mtakatifu. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo kazi-ya-Roho-Mtakatifu. Onyesha machapisho yote
Alhamisi, 13 Juni 2019
Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Sura ya 33
By Mwenyezi Mungu ni Mchungaji WanguJuni 13, 2019kazi-ya-Roho-Mtakatifu, Kristo, Matamshi-ya-Mwenyezi-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, VitabuNo comments

Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Sura ya 33
Ufalme Wangu unawahitaji wale ambao ni waaminifu, wasio wanafiki, na wasio wadanganyifu. Je, si watu wenye moyo safi na waaminifu duniani hawapendwi na watu? Mimi ni kinyume kabisa cha jinsi ilivyo. Inakubalika kwa watu waaminifu kuja Kwangu; Nafurahia mtu wa aina hii, pia Ninamhitaji mtu wa aina hii....
Jumatano, 12 Juni 2019
Sauti ya Mungu | Sura ya 32
By Mwenyezi Mungu ni Mchungaji WanguJuni 12, 2019kazi-ya-Roho-Mtakatifu, maneno-ya-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, sauti-ya-Mungu, VitabuNo comments

Sauti ya Mungu | Sura ya 32
Mwanga ni nini? Katika siku za nyuma kwa kweli mliuona mbadiliko wa kazi ya Roho Mtakatifu kama mwanga. Kuna mwanga wa kweli wakati wote, unaojumuisha ninyi kupata kile Mungu alicho kupitia kwa kunikaribia na kushirikiana na Mimi; kuwa na utambuzi katika maneno ya Mungu na kufahamu mapenzi ya Mungu katika maneno Yake—yaani,...
Jumamosi, 8 Juni 2019
Maneno ya Mungu | Sura ya 28
By Mwenyezi Mungu ni Mchungaji WanguJuni 08, 2019kazi-ya-Roho-Mtakatifu, maneno-ya-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, siku-za-mwisho, VitabuNo comments

Maneno ya Mungu | Sura ya 28
Unaona kwamba muda ni mfupi sana na kazi ya Roho Mtakatifu inavurumisha mbele, ikikusababisha kupata baraka kubwa hivi, kumpokea Mfalme wa ulimwengu, Mwenyezi Mungu, ambaye ni Jua ling’aalo, Mfalme wa ufalme—hii yote ni neema na huruma Yangu. Kuna nini kinachoweza kuwepo kinachoweza kukutoa kwa upendo Wangu? Tafakari...
Alhamisi, 6 Juni 2019
Maneno ya Mungu | Sura ya 26
By Mwenyezi Mungu ni Mchungaji WanguJuni 06, 2019hukumu, kazi-ya-Roho-Mtakatifu, maneno-ya-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, VitabuNo comments

Maneno ya Mungu | Sura ya 26
Wanangu, yatilieni maanani maneno Yangu, sikiliza kwa utulivu sauti Yangu na Nitafichua kwako. Uwe na utulivu ndani yangu, kwa maana Mimi ni Mungu wako, Mkombozi wenu wa pekee. Mnatakiwa kutuliza mioyo yenu nyakati zote, mkae ndani yangu; Mimi ni mwamba wako, msaidizi wenu. Msiwe na nia nyingine, lakini mnitegemee...
Jumamosi, 1 Juni 2019
Sauti ya Mungu | Sura ya 22
By Mwenyezi Mungu ni Mchungaji WanguJuni 01, 2019kazi-ya-Roho-Mtakatifu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, sauti-ya-Mungu, siku-za-mwisho, VitabuNo comments


Sauti ya Mungu | Sura ya 22
Kumwamini Mungu si jambo rahisi kufanya. Ninyi mnajiboronga, mkiteketeza kila kitu mbele yenu mkifikiri kuwa haya yote ni ya kuvutia sana, matamu mno! Kuna baadhi ambao bado wanashangilia—wao tu hawana utambuzi katika roho zao. Ni vyema kuchukua...
Ijumaa, 31 Mei 2019
Maneno ya Mungu | Sura ya 21
By Mwenyezi Mungu ni Mchungaji WanguMei 31, 2019kazi-ya-Roho-Mtakatifu, maneno-ya-Mungu, Maombi, Neno-Laonekana-katika-Mwili, VitabuNo comments


Maneno ya Mungu | Sura ya 21
Kazi ya Roho Mtakatifu sasa imewaleta katika mbingu mpya na dunia mpya. Kila kitu kinaendelea kufanywa upya, kila kitu ki mikononi Mwangu, kinarudi ulingoni! Kwa dhana zao, watu wanashindwa kulifikiria kwa makini, na kwao haina maana,...
Jumatano, 29 Mei 2019
Maneno ya Mungu | Sura ya 20
By Mwenyezi Mungu ni Mchungaji WanguMei 29, 2019kanisa, kazi-ya-Roho-Mtakatifu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, Ukweli, VitabuNo comments


Maneno ya Mungu | Sura ya 20
Kazi ya Roho Mtakatifu hushina mbele, ikiwaleta nyinyi ndani ya eneo mpya kabisa, ambayo ni kwamba hali halisi ya maisha ya ufalme imejitokeza mbele yako. Maneno ambayo yamesemwa na Roho Mtakatifu moja kwa moja yamefichua ukina ulio ndani...
Jumanne, 28 Mei 2019
Matamshi ya Kristo | Sura ya 19
By Mwenyezi Mungu ni Mchungaji WanguMei 28, 2019hukumu, kanisa, kazi-ya-Roho-Mtakatifu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, VitabuNo comments


Matamshi ya Kristo | Sura ya 19
Kazi ya Roho Mtakatifu inapoendelea mbele, Mungu kwa mara nyingine tena ametuingiza katika mbinu mpya ya kazi ya Roho Mtakatifu. Matokeo yake, haiepukiki kwamba baadhi ya watu wamenielewa Mimi vibaya na kufanya malalamiko Kwangu. Wengine...
Jumatatu, 27 Mei 2019
Sauti ya Mungu | Sura ya 18
By Mwenyezi Mungu ni Mchungaji WanguMei 27, 2019kanisa, kazi-ya-Roho-Mtakatifu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, sauti-ya-Mungu, VitabuNo comments


Sauti ya Mungu | Sura ya 18
Kujenga kanisa si kitu rahisi cha kufanya! Niliweka moyo Wangu wote katika kulijenga na Shetani angefanya kila kitu ingeweza kuibomoa. Kama unataka kujengwa lazima uwe na maono; lazima uishi maisha kwa Mimi, kuwa shahidi wa Kristo, shikilia...
Jumapili, 26 Mei 2019
Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Sura ya 17
By Mwenyezi Mungu ni Mchungaji WanguMei 26, 2019kanisa, kazi-ya-Roho-Mtakatifu, maneno-ya-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, VitabuNo comments


Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Sura ya 17
Kanisa linajengwa na Shetani anajaribu kwa uwezo wake kulibomoa. Anataka kubomoa ujenzi Wangu kwa njia yoyote iwezekanayo, kwa hivyo, lazima kanisa litakaswe kwa haraka. Lazima kusiwe na makapi au mabaki yoyote maovu; lazima litakaswe...
Jumatano, 22 Mei 2019
Matamshi ya Kristo | Sura ya 14
By Mwenyezi Mungu ni Mchungaji WanguMei 22, 2019kazi-ya-Roho-Mtakatifu, maneno-ya-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, Ukweli, VitabuNo comments


Matamshi ya Kristo | Sura ya 14
Hapana muda wa kupoteza sasa. Roho Mtakatifu hutumia njia nyingi tofauti za kutuongoza katika maneno ya Mungu na kututayarisha na ukweli wote, kutakaswa, kuwa na undani wa kweli na ushirikiano na Mimi; huruhusiwi nafasi yoyote ya kuchagua....
Jumanne, 21 Mei 2019
Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Sura ya 13
By Mwenyezi Mungu ni Mchungaji WanguMei 21, 2019kazi-ya-Roho-Mtakatifu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, Ukweli, ushuhuda, VitabuNo comments


Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Sura ya 13
Katika hali yenu ya sasa nyinyi hushika dhana ya "kibinafsi"zaidi kupindukia, na madakizo ya dini ni mazito kiasi. Mmeshindwa kutenda katika roho, hamuwezi kufahamu kazi ya Roho Mtakatifu, na mmekataa mwanga mpya. Huoni jua wakati...
Jumatatu, 20 Mei 2019
Maneno ya Mungu | Sura ya 12
By Mwenyezi Mungu ni Mchungaji WanguMei 20, 2019hukumu, kazi-ya-Roho-Mtakatifu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, Upendo-wa-Mungu, VitabuNo comments


Maneno ya Mungu | Sura ya 12
Ikiwa una tabia ambayo si thabiti, nyepesi kuhamaki kama upepo au mvua, kama huwezi kuendelea kusonga mbele, basi fimbo Yangu haitakuwa mbali na wewe. Unaposhughulikiwa, kadiri hali ilivyo mbaya zaidi, na kadiri unavyoteswa zaidi, ndivyo...
Jumatatu, 6 Mei 2019
Ufafanuzi wa Mafumbo ya Maneno ya Mungu kwa Ulimwengu Mzima | Kuhusu Maisha ya Petro
By ye.fengMei 06, 2019Enzi-ya-Neema, kazi-ya-Roho-Mtakatifu, maneno-ya-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, Vitabu, YesuNo comments

Ufafanuzi wa Mafumbo ya Maneno ya Mungu kwa Ulimwengu Mzima | Kuhusu Maisha ya Petro
Petro ni mfano ambao Mungu aliutambulisha kwa wanadamu, na yeye ni mtu mashuhuri anayejulikana vizuri. Kwa nini mtu mnyonge kama huyo aliwekwa mahala kama mfano na Mungu na amesifiwa na vizazi vya baadaye? Bila shaka, ni wazi kwamba hili halitenganishwi na maonyesho...
Alhamisi, 21 Machi 2019
Utakapouona Mwili wa Kiroho wa Yesu Ndio Utakuwa Wakati Ambao Mungu Ametengeneza Upya Mbingu na Dunia
By ye.fengMachi 21, 2019kazi-ya-Roho-Mtakatifu, maneno-ya-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, ujio-wa-pili-wa-Yesu, Vitabu, wokovu-wa-MunguNo comments


Mwenyezi Mungu anasema, "Je, ungependa kumwona Yesu? Je, ungependa kuishi na Yesu? Je, ungependa kuyasikia maneno yaliyonenwa na Yesu? Iwapo ni hivyo, basi utakaribishaje kurudi kwa Yesu? Je, uko tayari kabisa? Utakaribisha kurudi kwa Yesu kwa namna gani?...
Alhamisi, 14 Machi 2019
Matamshi ya Kristo | Sisitiza Uhalisi Zaidi
By ye.fengMachi 14, 2019Kazi-ya-Mungu, kazi-ya-Roho-Mtakatifu, Matamshi-ya-Kristo, Neno-Laonekana-katika-Mwili, VitabuNo comments

Mwenyezi Mungu anasema, "Kila mtu ana uwezekano wa kukamilishwa na Mungu, kwa hiyo kila mtu anapaswa kuelewa ni huduma gani kwa Mungu inayofaa zaidi makusudi ya Mungu. Watu wengi hawajui kumwamini Mungu humaanisha nini na hawajui kwa nini wanapaswa kumwamini Mungu. Yaani, watu wengi zaidi hawana ufahamu wa kazi ya Mungu au lengo la mpango wa usimamizi...
Jumanne, 5 Machi 2019
Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Kazi ya Mungu na Kazi ya Mwanadamu
By UnknownMachi 05, 2019Kazi-ya-Mungu, kazi-ya-Roho-Mtakatifu, Kristo-wa-siku-za-mwisho, VitabuNo comments


Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Kazi ya Mungu na Kazi ya Mwanadamu
Kiasi gani cha kazi ya mwanadamu ni kazi ya Roho Mtakatifu na uzoefu wa mwanadamu ni kiasi gani? Hata sasa, tunaweza kusema kuwa watu bado hawayaelewi maswali haya, ambayo yote ni kwa sababu watu hawaelewi...