Jaweni na Upendo kwa Ajili ya Mungu | Muziki wa Akapela "Yasifu Maisha Mapya"

Kristo wa siku za mwisho ameonekana, akifanya kazi na kuzungumza miongini mwa wanadamu. Neno lake hutuhukumu, kutuadibu na kututakasa, likituongoza kwenye njia sahihi ya maisha ya binadamu.

Muziki wa Akapela "Tokeo Lililofikiwa kwa Kumjua Mungu" (Video Rasmi ya Muziki)

Hayuko katika upeo wa mbali, wala hajajificha juu mawinguni. Yuko kando yako, akiwa na mamlaka juu ya kila kitu chako, Yeye ni kila kitu ulicho nacho, na Yeye ni kitu pekee ulicho nacho.

Mwabudu Mungu kwa Roho na Ukweli | “Sauti ya Moyo ya Kiumbe Aliyeumbwa” (Video za Kikristo)

Mungu wa vitendo na wa kweli, upendo ndani ya moyo wangu. Mimi ni vumbi lakini ninaweza kuona uso Wako. Ninawezaje kukosa kukuabudu?

Mungu ndiye Mwanzo na tena Mwisho | Kwaya ya Injili

Mungu ndiye Mwanzo (Mungu ndiye Mwanzo) na Mwisho (na Mwisho); ni Yeye Mwenyewe Anayetekeleza kazi Yake na hivyo lazima iwe Yeye Mwenyewe Anayemaliza enzi ya kale. Huo ndio ushahidi kuwa Yeye humshinda Shetani (humshinda Shetani) na huishinda dunia, ushahidi kuwa Yeye huishinda dunia.

Nampenda Mungu kwa Moyo Wangu Wote | "Nitampenda Mungu Milele" Video Rasmi ya Muziki

Nitakupa Wewe upendo wa kweli, na sitakuacha Usubiri. Mimi nitakupa Wewe upendo safi, na tafadhali furahia upendo wangu. Nitakupa Wewe upendo wangu wote, na kukuacha upate upendo wangu. Nitakupenda Wewe kwa wakati wote; kukuridhisha Wewe ni matamanio yangu.

Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo nyimbo-za-kusifu-na-kuabudu. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo nyimbo-za-kusifu-na-kuabudu. Onyesha machapisho yote

Jumanne, 3 Aprili 2018

Neno la Mungu Humwongoza Mtu Kuishi Maisha Mapya | Maisha Yetu ya Kanisa Yanapendeza Sana

Neno la Mungu Humwongoza Mtu Kuishi Maisha Mapya | Maisha Yetu ya Kanisa Yanapendeza Sana

Maisha Yetu ya Kanisa Yanapendeza Sana
I
Mwenyezi Mungu mwenye mwili, tunaimba nyimbo za sifa kubwa Kwako.
Wewe hutuleta katika maisha ya ufalme.
Sisi watu wa ufalme tu katika karamu yako ya fahari,
tukifurahia maneno Yako, tukitakaswa upotovu wetu.
Neno Lako hutuongoza na sisi kukufuata kwa karibu.
Ni neema ya Mungu kwamba tabia yetu ya kishetani imetupiliwa mbali.
Sisi hufurahia neno la Mungu na kuishi maisha mapya mbele Zake.
Kutunza moyo wa Mungu, kumpenda Yeye kwa dhati, kumshukuru na kumsifu.
La la la la la ... la la la la la ...
Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, Kanisa

II
Kumini kwamba neno la Mungu ni ukweli na linaweza kutupa maisha.
Sisi hufanya ushirika kuhusu neno la Mungu na kuuelewa ukweli, na Roho Mtakatifu Akifanya kazi juu yetu.
Twajimimina mbali sisi wenyewe, kuwa sahili na wazi, na kufanya mazoezi ya kuwa mtu mwaminifu.
Ukweli hutufanya kuwa walioachiliwa na huru, ukijaza moyo wetu na furaha.
Maisha yetu ya kanisa yanapendeza sana, na watakatifu wote wamekuwa hai.
Sisi hufanya ushirika juu ya ukweli na kusaidiana, na maisha yetu hukua kwa kasi.
Kukubali hukumu, kutenda ukweli, na kuishi katika neno la Mungu.
Ishi kwa kudhihirisha uhalisi wa ukweli kutosheleza moyo wa Mungu.
La la la la la ... la la la la la …
III
Sisi ndugu huratibu kwa mpangilio na sote tuna furaha.
Sisi huwasilishiana maneno ya Mungu na kushiriki matukio, tukitekeleza majukumu yetu kwa uratibu.
Kutii kweli, kuingia uhalisi na kumfanya Mungu aridhike.
Kuishi katika upendo wa Mungu, sisi humsifu Mungu milele.
La la la la la ... la la la la la ...

kutoka kwa Mfuateni Mwanakondoo na Kuimba Nyimbo Mpya 

Kujua zaidi: Kuhusu Kanisa la Mwenyezi MunguUmeme wa Mashariki Hutoka wapi?