Alhamisi, 26 Julai 2018

Wimbo wa Injili | Mungu Hutumaini Mtu Anaweza Kumjua na Kumwelewa | Mahitaji ya Mungu kwa Wanadamu


Wimbo wa Injili | Mungu Hutumaini Mtu Anaweza Kumjua na Kumwelewa | Mahitaji ya Mungu kwa Wanadamu

I

Tangu uhusiano wa kwanza wa Mungu na mwanadamu,

Amekuwa akifichua kwao

Kiini Chake na vile Alivyo na Alicho nacho, bila kukoma, kila wakati.

Kama watu katika enzi wanaweza kuona au kuelewa,

Mungu huzungumza na kufanya kazi ili kuonyesha tabia Yake na kiini.

Havijawahi kufunikwa wala kufichwa kamwe, vimeachiliwa bila kusita,

Kiini na tabia ya Mungu, nafsi Yake na miliki yake,

vinafichuliwa Anapofanya kazi na kushirikiana na mwanadamu.


II

Mungu anatumaini mwanadamu aweza kumwelewa, ajue kiini Chake, na tabia,

ambavyo Hataki vichukuliwe kama siri za milele.

Wala Hataki mwanadamu amwone Yeye kama kitendawili ambacho hakiwezi kutatuliwa.

Havijawahi kufunikwa wala kufichwa kamwe, vimeachiliwa bila kusita,

Kiini na tabia ya Mungu, nafsi Yake na miliki yake,

vinafichuliwa Anapofanya kazi na kushirikiana na mwanadamu.


III

Ni wakati tu binadamu amemjua Mungu

ndipo anaweza kujua njia ya kwendelea, kustahili kuongozwa na Mungu.

Ataishi chini ya mamlaka Yake na kuishi katika mwanga na baraka Zake.

Havijawahi kufunikwa wala kufichwa kamwe, vimeachiliwa bila kusita,

Kiini na tabia ya Mungu, nafsi Yake na miliki yake.

Havijawahi kufunikwa wala kufichwa kamwe, vimeachiliwa bila kusita,

Kiini na tabia ya Mungu, nafsi Yake na miliki yake,

vinafichuliwa Anapofanya kazi na kushirikiana na mwanadamu.


kutoka kwa Neno Laonekana katika Mwili

     Soma Zaidi: Asili ya Kanisa la Mwenyezi Mungu

0 评论:

Chapisha Maoni