Jumamosi, 14 Julai 2018

Kwa Kuwa Mungu Anamwokoa Mwanadamu, Atamwokoa Kabisa | Mwenyezi Mungu

Smiley face


Kwa Kuwa Mungu Anamwokoa Mwanadamu, Atamwokoa KabisaMwenyezi Mungu

I
Kwa kuwa Mungu alimuumba mwanadamu, Atamwongoza;
kwa kuwa Anamwokoa mwanadamu,
Atamwokoa na kumpata kabisa;
kwa kuwa anamwongoza mwanadamu,
Atamfikisha katika hatima sahihi.
Kwa kuwa Alimuumba mwanadamu na Anamsimamia,
ni lazima awajibikie matarajio na jalaa ya mwanadamu.
Ni hii ndiyo kazi inayofanywa na Muumba.
Ingawa kazi ya ushindi inafanikishwa ikiondoa
matarajio ya jamii ya wanadamu,
mwishowe, mwanadamu bado ataletwa katika
hatima sahihi ambayo Mungu amemwandalia.
II
Kwa sababu ni Mungu anayemfanyia mwanadamu kazi,
mwanadamu ana hatima
na hatima yake hivyo inahakikishwa,
hatima yake inahakikishwa.
Yale ambayo mwanadamu hufuatilia na kutamani
ni matarajio aliyo nayo
anapofuata tamaa badhirifu za kimwili,
badala ya hatima,
hatima inayotazamiwa na mwanadamu.
Yale ambayo Mungu amemwandalia mwanadamu,
kwa upande mwingine,
ni baraka na ahadi zinazomngoja mwanadamu atakapotakaswa,
ambayo Mungu alimwandalia baada ya kuiumba dunia.
Hizo baraka na ahadi hazichafuliwi na fikira

ya mwanadamu na mawazo,
au chaguo lake au mwili.
Hii hatima haijaandaliwa kwa mtu mahsusi,
mtu mahsusi,
lakini ni mahali pa mapumziko kwa kila mwanadamu.
Hii ndiyo hatima inayofaa,
hatima inayofaa kwa mwanadamu.
III
Ni lazima awajibikie matarajio na jalaa ya mwanadamu.
Ni hii ndiyo kazi inayofanywa na Muumba.
Ingawa kazi ya ushindi inafanikishwa ikiondoa
matarajio ya jamii ya wanadamu,
mwishowe, mwanadamu bado ataletwa katika
hatima sahihi ambayo Mungu amemwandalia.
Ni lazima awajibikie matarajio na jalaa ya mwanadamu.
Ni hii ndiyo kazi inayofanywa na Muumba.
Ingawa kazi ya ushindi inafanikishwa ikiondoa
matarajio ya jamii ya wanadamu,
mwishowe, mwanadamu bado ataletwa katika
hatima sahihi ambayo Mungu amemwandalia.

kutoka kwa Neno Laonekana katika Mwili

0 评论:

Chapisha Maoni