Jumamosi, 26 Januari 2019

Nyimbo za Dini | Umuhumi wa Maombi

Nyimbo za Dini | Umuhumi wa Maombi

I
Maombi ni njia moja ya mwanadamu kushirikiana na Mungu,
kuita Roho Wake na kuguswa na Mungu.
Kadiri unavyoomba zaidi, ndivyo utakavyoguswa zaidi,
kuangaziwa na kuwa mwenye nguvu-nia.
Watu kama hao wanaweza kufanywa kamili hivi karibuni.
Kadiri unavyoomba zaidi, ndivyo utakavyoguswa zaidi,
kuangaziwa na kuwa mwenye nguvu-nia.
Watu kama hao wanaweza kufanywa kamili hivi karibuni.
II
Hivyo wale wasioomba ni waliokufa bila roho.
Hawawezi kuguswa na Mungu,
hawawezi kufuata kazi ya Mungu.
Watu wasioomba wanapoteza maisha ya kawaida ya kiroho,
wamevunja uhusiano na Mungu; Hatawakubali.
Watu wasioomba wanapoteza maisha ya kawaida ya kiroho,
wamevunja uhusiano na Mungu; Hatawakubali.
III
Kadiri unavyoomba zaidi, ndivyo utakavyoguswa zaidi,
kuangaziwa na kuwa mwenye nguvu-nia.
Watu kama hao wanaweza kufanywa kamili hivi karibuni.
Kadiri unavyoomba zaidi, ndivyo utakavyoguswa zaidi,
kuangaziwa na kuwa mwenye nguvu-nia.
Watu kama hao wanaweza kufanywa kamili hivi karibuni.
Watu kama hao wanaweza kufanywa kamili hivi karibuni.
Watu kama hao wanaweza kufanywa kamili hivi karibuni.

kutoka katika Neno Laonekana katika Mwili

0 评论:

Chapisha Maoni