Jaweni na Upendo kwa Ajili ya Mungu | Muziki wa Akapela "Yasifu Maisha Mapya"

Kristo wa siku za mwisho ameonekana, akifanya kazi na kuzungumza miongini mwa wanadamu. Neno lake hutuhukumu, kutuadibu na kututakasa, likituongoza kwenye njia sahihi ya maisha ya binadamu.

Muziki wa Akapela "Tokeo Lililofikiwa kwa Kumjua Mungu" (Video Rasmi ya Muziki)

Hayuko katika upeo wa mbali, wala hajajificha juu mawinguni. Yuko kando yako, akiwa na mamlaka juu ya kila kitu chako, Yeye ni kila kitu ulicho nacho, na Yeye ni kitu pekee ulicho nacho.

Mwabudu Mungu kwa Roho na Ukweli | “Sauti ya Moyo ya Kiumbe Aliyeumbwa” (Video za Kikristo)

Mungu wa vitendo na wa kweli, upendo ndani ya moyo wangu. Mimi ni vumbi lakini ninaweza kuona uso Wako. Ninawezaje kukosa kukuabudu?

Mungu ndiye Mwanzo na tena Mwisho | Kwaya ya Injili

Mungu ndiye Mwanzo (Mungu ndiye Mwanzo) na Mwisho (na Mwisho); ni Yeye Mwenyewe Anayetekeleza kazi Yake na hivyo lazima iwe Yeye Mwenyewe Anayemaliza enzi ya kale. Huo ndio ushahidi kuwa Yeye humshinda Shetani (humshinda Shetani) na huishinda dunia, ushahidi kuwa Yeye huishinda dunia.

Nampenda Mungu kwa Moyo Wangu Wote | "Nitampenda Mungu Milele" Video Rasmi ya Muziki

Nitakupa Wewe upendo wa kweli, na sitakuacha Usubiri. Mimi nitakupa Wewe upendo safi, na tafadhali furahia upendo wangu. Nitakupa Wewe upendo wangu wote, na kukuacha upate upendo wangu. Nitakupenda Wewe kwa wakati wote; kukuridhisha Wewe ni matamanio yangu.

Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Mungu-hutawala-juu-ya-vitu-vyote. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Mungu-hutawala-juu-ya-vitu-vyote. Onyesha machapisho yote

Jumamosi, 28 Julai 2018

Wimbo wa Maneno ya Mungu | "Jinsi Mungu Anavyotawala Vitu Vyote"


Wimbo wa Maneno ya Mungu | "Jinsi Mungu Anavyotawala Vitu Vyote"

I

Kutoka unapoingia katika dunia hii ukilia,

unaanza kutenda wajibu wako.

Katika mpango na utaratibu wa Mungu, unachukua nafasi yako,

na unaanza safari ya maisha.

Vyovyote vilivyo msingi wako ama safari iliyo mbele yako,

hakuna anayeweza kuepuka utaratibu na mpango ambao Mbingu imeweka,

na hakuna aliye na amri juu ya hatima yake,

kwani ni Yule tu anayetawala juu ya vitu vyote ndiye ana uwezo wa kazi kama hii.


II

Tangu siku ambayo mwanadamu alikuja kuwepo

Mungu amekuwa imara katika kazi Yake,

Akisimamia ulimwengu huu na kuelekeza mabadiliko na kusonga kwa vitu vyote.

Kama vitu vyote, mwanadamu kwa kimya na bila kujua anapokea

uboreshaji wa utamu, mvua na umande kutoka kwa Mungu.

Kama vitu vyote, mwanadamu bila kujua anaishi chini ya utaratibu wa mkono wa Mungu.

Moyo na roho ya mwanadamu viko mkononi mwa Mungu,

na maisha yote ya mwanadamu yanatazamwa machoni mwa Mungu.

Bila kujali kama unaamini katika hili ua la,

chochote na vitu vyote, viishivyo au vilivyokufa,

vitageuka, vibadilike, vifanywe upya, na kupotea kulingana na fikira za Mungu.

Hivi ndivyo Mungu hutawala juu ya vitu vyote.


kutoka kwa Neno Laonekana katika Mwili

    Soma Zaidi: Kuhusu Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki Hutoka wapi?