Jaweni na Upendo kwa Ajili ya Mungu | Muziki wa Akapela "Yasifu Maisha Mapya"

Kristo wa siku za mwisho ameonekana, akifanya kazi na kuzungumza miongini mwa wanadamu. Neno lake hutuhukumu, kutuadibu na kututakasa, likituongoza kwenye njia sahihi ya maisha ya binadamu.

Muziki wa Akapela "Tokeo Lililofikiwa kwa Kumjua Mungu" (Video Rasmi ya Muziki)

Hayuko katika upeo wa mbali, wala hajajificha juu mawinguni. Yuko kando yako, akiwa na mamlaka juu ya kila kitu chako, Yeye ni kila kitu ulicho nacho, na Yeye ni kitu pekee ulicho nacho.

Mwabudu Mungu kwa Roho na Ukweli | “Sauti ya Moyo ya Kiumbe Aliyeumbwa” (Video za Kikristo)

Mungu wa vitendo na wa kweli, upendo ndani ya moyo wangu. Mimi ni vumbi lakini ninaweza kuona uso Wako. Ninawezaje kukosa kukuabudu?

Mungu ndiye Mwanzo na tena Mwisho | Kwaya ya Injili

Mungu ndiye Mwanzo (Mungu ndiye Mwanzo) na Mwisho (na Mwisho); ni Yeye Mwenyewe Anayetekeleza kazi Yake na hivyo lazima iwe Yeye Mwenyewe Anayemaliza enzi ya kale. Huo ndio ushahidi kuwa Yeye humshinda Shetani (humshinda Shetani) na huishinda dunia, ushahidi kuwa Yeye huishinda dunia.

Nampenda Mungu kwa Moyo Wangu Wote | "Nitampenda Mungu Milele" Video Rasmi ya Muziki

Nitakupa Wewe upendo wa kweli, na sitakuacha Usubiri. Mimi nitakupa Wewe upendo safi, na tafadhali furahia upendo wangu. Nitakupa Wewe upendo wangu wote, na kukuacha upate upendo wangu. Nitakupenda Wewe kwa wakati wote; kukuridhisha Wewe ni matamanio yangu.

Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo ninampenda-Mwenyezi-Mungu. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo ninampenda-Mwenyezi-Mungu. Onyesha machapisho yote

Jumamosi, 22 Septemba 2018

Swahili Praise Song "Upendo wa Mungu Unauzingira Moyo Wangu" Thank and Praise the Lord for His Grace


Swahili Praise Song "Upendo wa Mungu Unauzingira Moyo Wangu" Thank and Praise the Lord for His Grace

Jua la haki linainuka Mashariki.

Ee Mungu! Utukufu Wako unajaza mbingu na dunia.

Mpendwa wangu, upendo Wako unauzunguka moyo wangu.

Wale wanaotafuta ukweli—wanampenda Mungu, kila mmoja.

Asubuhi na mapema, ingawa naamka peke yangu,

furaha iko moyoni mwangu ninavyoyatafakari maneno ya Mungu.


Maneno Yake ya upole, kama yale ya mama mwenye upendo; Maneno Yake ya hukumu, makali kama kukaripia kwa baba.

Hakuna kingine duniani ninachopenda, kwa moyo wangu wote ninampenda Mwenyezi Mungu pekee.

Aa, we, aa we,

aa we, aa we.

Hakuna kingine duniani ninachopenda, kwa moyo wangu wote ninampenda Mwenyezi Mungu pekee.


Mapenzi ya Mungu yamefichuliwa—kuwakamilisha wale wanaompenda kweli.

Msio na hatia, mnaobubujikwa na uzima, toneni sifa zenu Kwake.

Dansi ya furaha ni nzuri, rukeni na kucheza karibu na kiti cha enzi.

Kutoka katika pembe nne za dunia, tunakuja, tukiitwa na sauti ya Mungu.

Maneno Yake ya uzima tulipewa sisi, tunatakaswa na hukumu Yake.

Upendo unakuwa wa nguvu zaidi kwa kusafishwa. Ni utamu kufurahia upendo wa Mungu.

Mwenyezi Mungu ni mzuri sana, ninampenda Yeye tu.

Aa, we, aa we,

aa we, aa we.

Mwenyezi Mungu ni mzuri sana, ninampenda Yeye tu.

Aa, we, aa.

Eeh, eeh.

kutoka kwa Mfuate Mwanakondoo na Imba Nyimbo Mpya


    Umeme wa Mashariki, Kanisa la Mwenyezi Mungu lilianzishwa kwa sababu ya kuonekana na kazi ya Mwenyezi Mungu, ujio wa pili wa Bwana Yesu, Kristo wa siku za mwisho. Linashirikisha wale wote ambao wanaikubali kazi ya Mwenyezi Mungu katika siku za mwisho na ambao wameshindwa na kuokolewa kwa maneno Yake. Liliasisiwa kikamilifu na Mwenyezi Mungu mwenyewe na linaongozwa naye kama Mchungaji. Kwa hakika halikuanzishwa na mtu. Kristo ni ukweli, njia, na uzima. Kondoo wa Mungu husikia sauti ya Mungu. Mradi unasoma maneno ya Mwenyezi Mungu, utaona kuwa Mungu ameonekana.