Jaweni na Upendo kwa Ajili ya Mungu | Muziki wa Akapela "Yasifu Maisha Mapya"

Kristo wa siku za mwisho ameonekana, akifanya kazi na kuzungumza miongini mwa wanadamu. Neno lake hutuhukumu, kutuadibu na kututakasa, likituongoza kwenye njia sahihi ya maisha ya binadamu.

Muziki wa Akapela "Tokeo Lililofikiwa kwa Kumjua Mungu" (Video Rasmi ya Muziki)

Hayuko katika upeo wa mbali, wala hajajificha juu mawinguni. Yuko kando yako, akiwa na mamlaka juu ya kila kitu chako, Yeye ni kila kitu ulicho nacho, na Yeye ni kitu pekee ulicho nacho.

Mwabudu Mungu kwa Roho na Ukweli | “Sauti ya Moyo ya Kiumbe Aliyeumbwa” (Video za Kikristo)

Mungu wa vitendo na wa kweli, upendo ndani ya moyo wangu. Mimi ni vumbi lakini ninaweza kuona uso Wako. Ninawezaje kukosa kukuabudu?

Mungu ndiye Mwanzo na tena Mwisho | Kwaya ya Injili

Mungu ndiye Mwanzo (Mungu ndiye Mwanzo) na Mwisho (na Mwisho); ni Yeye Mwenyewe Anayetekeleza kazi Yake na hivyo lazima iwe Yeye Mwenyewe Anayemaliza enzi ya kale. Huo ndio ushahidi kuwa Yeye humshinda Shetani (humshinda Shetani) na huishinda dunia, ushahidi kuwa Yeye huishinda dunia.

Nampenda Mungu kwa Moyo Wangu Wote | "Nitampenda Mungu Milele" Video Rasmi ya Muziki

Nitakupa Wewe upendo wa kweli, na sitakuacha Usubiri. Mimi nitakupa Wewe upendo safi, na tafadhali furahia upendo wangu. Nitakupa Wewe upendo wangu wote, na kukuacha upate upendo wangu. Nitakupenda Wewe kwa wakati wote; kukuridhisha Wewe ni matamanio yangu.

Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Kiini-cha-Kristo-Ni-Mungu. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Kiini-cha-Kristo-Ni-Mungu. Onyesha machapisho yote

Jumamosi, 6 Oktoba 2018

Kiini cha Kristo Ni Mungu

 Kiini cha Kristo Ni Mungu


Mungu, Bwana Yesu, Kristo



Wimbo wa Maneno ya Mungu
Kiini cha Kristo Ni Mungu
I
Mungu anayekuwa mwili anaitwa Kristo,
na hivyo Kristo anayeweza kuwapa watu ukweli anaitwa Mungu.
Si kupita kiasi kusema hivyo,
kwani Ana kiini cha Mungu.
Ana tabia ya Mungu na hekima katika kazi Yake,
ambayo haifikiwi na mwanadamu.
Wale wanaojiita Kristo wenyewe
ilhali hawawezi kufanya kazi
ya Mungu ni wadanganyifu.
Wanaojifanya kuwa Kristo hatimaye wataanguka,
ingawaje wanadai kuwa Kristo,
hawana kiini chochote cha Kristo.
II
Kristo sio tu udhihirisho wa Mungu duniani,
lakini mwili hasa uliochukuliwa na Mungu.
Anapotekeleza na kutimiza kazi Yake kati ya mwanadamu.
Mwili huu hauwezi kubadilishwa na mwanadamu yeyote tu.
Ila mwili unaoweza kutosha kubeba kazi ya Mungu duniani.
Na kuonyesha tabia ya Mungu,
na kumwakilisha Mungu vizuri na kumpa mwanadamu uzima.
Hivyo Mungu anasema kuwa uhalali wa Kristo,
hauwezi kufafanuliwa na mwanadamu,
lakini unajibiwa na kuamuliwa na Mungu Mwenyewe.
Hivyo kama kwa kweli unataka kutafuta njia ya uzima,
lazima kwanza utambue,
ni katika siku za mwisho ambapo Anakuja duniani,
kumpa mwanadamu njia ya uzima.
Sio zamani, sio zamani; inafanyika leo.

kutoka kwa Neno Laonekana katika Mwil

    Sikiliza nyimbo:Kuhusu Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki Hutoka wapi?

Jumanne, 2 Oktoba 2018

Wimbo wa Injili "Kiini cha Kristo Ni Mungu" | Differences Between the True Christ and False Christs


Wimbo wa Injili "Kiini cha Kristo Ni Mungu" | Differences Between the True Christ and False Christs           

Mungu anayekuwa mwili anaitwa Kristo,

na hivyo Kristo anayeweza kuwapa watu ukweli anaitwa Mungu.

Si kupita kiasi kusema hivyo,

kwani Ana kiini cha Mungu, Ana tabia ya Mungu na hekima katika kazi Yake,

ambayo haifikiwi na mwanadamu.

Wale wanaojiita Kristo wenyewe ilhali hawawezi kufanya kazi ya Mungu ni wadanganyifu.

Wanaojifanya kuwa Kristo hatimaye wataanguka,

ingawaje wanadai kuwa Kristo,

hawana kiini chochote cha Kristo.



Kristo sio tu udhihirisho wa Mungu duniani,

lakini mwili hasa uliochukuliwa na Mungu.

Anapotekeleza na kutimiza kazi Yake kati ya mwanadamu.

Mwili huu hauwezi kubadilishwa na mwanadamu yeyote tu.

Ila mwili unaoweza kutosha kubeba kazi ya Mungu duniani.

Na kuonyesha tabia ya Mungu,

na kumwakilisha Mungu vizuri na kumpa mwanadamu uzima.

Hivyo Mungu anasema kuwa uhalali wa Kristo, hauwezi kufafanuliwa na mwanadamu,

lakini unajibiwa na kuamuliwa na Mungu Mwenyewe.

Hivyo kama kwa kweli unataka kutafuta njia ya uzima,

lazima kwanza utambue, ni katika siku za mwisho ambapo Anakuja duniani,

kumpa mwanadamu njia ya uzima.

Sio zamani, sio zamani; inafanyika leo.

kutoka kwa Neno Laonekana katika Mwili