Jaweni na Upendo kwa Ajili ya Mungu | Muziki wa Akapela "Yasifu Maisha Mapya"

Kristo wa siku za mwisho ameonekana, akifanya kazi na kuzungumza miongini mwa wanadamu. Neno lake hutuhukumu, kutuadibu na kututakasa, likituongoza kwenye njia sahihi ya maisha ya binadamu.

Muziki wa Akapela "Tokeo Lililofikiwa kwa Kumjua Mungu" (Video Rasmi ya Muziki)

Hayuko katika upeo wa mbali, wala hajajificha juu mawinguni. Yuko kando yako, akiwa na mamlaka juu ya kila kitu chako, Yeye ni kila kitu ulicho nacho, na Yeye ni kitu pekee ulicho nacho.

Mwabudu Mungu kwa Roho na Ukweli | “Sauti ya Moyo ya Kiumbe Aliyeumbwa” (Video za Kikristo)

Mungu wa vitendo na wa kweli, upendo ndani ya moyo wangu. Mimi ni vumbi lakini ninaweza kuona uso Wako. Ninawezaje kukosa kukuabudu?

Mungu ndiye Mwanzo na tena Mwisho | Kwaya ya Injili

Mungu ndiye Mwanzo (Mungu ndiye Mwanzo) na Mwisho (na Mwisho); ni Yeye Mwenyewe Anayetekeleza kazi Yake na hivyo lazima iwe Yeye Mwenyewe Anayemaliza enzi ya kale. Huo ndio ushahidi kuwa Yeye humshinda Shetani (humshinda Shetani) na huishinda dunia, ushahidi kuwa Yeye huishinda dunia.

Nampenda Mungu kwa Moyo Wangu Wote | "Nitampenda Mungu Milele" Video Rasmi ya Muziki

Nitakupa Wewe upendo wa kweli, na sitakuacha Usubiri. Mimi nitakupa Wewe upendo safi, na tafadhali furahia upendo wangu. Nitakupa Wewe upendo wangu wote, na kukuacha upate upendo wangu. Nitakupenda Wewe kwa wakati wote; kukuridhisha Wewe ni matamanio yangu.

Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Wimbo-za-Injili. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Wimbo-za-Injili. Onyesha machapisho yote

Ijumaa, 9 Novemba 2018

Wimbo za Injili | "Imani ya Kweli Inatokana tu na Kumjua Mungu" | Do You Have True Faith in God?

Wimbo za Injili Umeme wa Mashariki| "Imani ya Kweli Inatokana tu na Kumjua Mungu" | Do You Have True Faith in God?

Kazi ya Mungu sasa ni kunena,
hakuna ishara tena, wala maajabu.
Sio Enzi ya Neema. Mungu ni wa kawaida na halisi.
Katika siku za mwisho Yeye sio Yesu asiye wa kawaida,
lakini ni Mungu wa vitendo katika mwili, hakuna tofauti na mtu.
Hivyo imani ya mwanadamu katika Mungu ni
kwa sababu ya kazi Zake nyingi, maneno na matendo.
Ndiyo, ni matamshi ya Mungu yanayomshinda na kumkamilisha mtu.
Ishara na maajabu sio mizizi ya imani yao.
Ndiyo, ni matendo ya Mungu yanayomfanya mtu kumjua.


Katika kila enzi Mungu anaonyesha tabia tofauti,
Sehemu tofauti ya matendo Yake.
Lakini yote, bado yanatoa ujuzi Wake wa kina.
imani thabiti na ya unyenyekevu katika Mungu.
Hivyo imani ya mwanadamu katika Mungu ni
kwa sababu ya kazi Zake nyingi, maneno na matendo.
Ndiyo, ni matamshi ya Mungu yanayomshinda na kumkamilisha mtu.
Ishara na maajabu sio mizizi ya imani yao.
Ndiyo, ni matendo ya Mungu yanayomfanya mtu kumjua.

Elewa uhalisi Wake, elewa tabia Yake
ni kwa kujua tu matendo Yake halisi,
jinsi Anavyofanya kazi na kuongea,
kutumia hekima Yake, kuwafanya watu wakamilifu.
Elewa Anavyotenda kazi juu ya mtu,
elewa Anavyopenda na Asivyopenda.
Hili linaweza kusaidia kutofautisha mazuri na mabaya,
na kupitia ufahamu huu wa Mungu kuna maendeleo katika maisha yako.
Hivyo imani ya mwanadamu katika Mungu ni
kwa sababu ya kazi Zake nyingi, maneno na matendo.
Ndiyo, ni matamshi ya Mungu yanayomshinda na kumkamilisha mtu.
Ishara na maajabu sio mizizi ya imani yao.
Ndiyo, ni matendo ya Mungu yanayomfanya mtu kumjua.
Hivyo imani ya mwanadamu katika Mungu ni
kwa sababu ya kazi Zake nyingi, maneno na matendo.
Ndiyo, ni matamshi ya Mungu yanayomshinda na kumkamilisha mtu.
Ishara na maajabu sio mizizi ya imani yao.Ndiyo, ni matendo ya Mungu yanayomfanya mtu kumjua.


kutoka katika Neno Laonekana katika Mwili

Kauli Maalum: Uzalishaji huu wa video ulitengenezwa kama mradi usio wa faida na Kanisa la Mwenyezi Mungu. Video hii isisambazwe kwa mtu mwingine kwa minajili ya faida, na ni matumaini yetu kwamba kila mtu atashiriki kuigawa na kuisambaza hadharani. Wakati unapoisambaza, tafadhali sisitiza chanzo chake. Bila ridhaa ya Kanisa la Mwenyezi Mungu, hakuna shirika, kundi la kijamii, au mtu binafsi anayeweza kubadilisha au kuhudhurisha visivyo maudhui ya video hii.

Jumanne, 2 Oktoba 2018

Wimbo wa Injili "Kiini cha Kristo Ni Mungu" | Differences Between the True Christ and False Christs


Wimbo wa Injili "Kiini cha Kristo Ni Mungu" | Differences Between the True Christ and False Christs           

Mungu anayekuwa mwili anaitwa Kristo,

na hivyo Kristo anayeweza kuwapa watu ukweli anaitwa Mungu.

Si kupita kiasi kusema hivyo,

kwani Ana kiini cha Mungu, Ana tabia ya Mungu na hekima katika kazi Yake,

ambayo haifikiwi na mwanadamu.

Wale wanaojiita Kristo wenyewe ilhali hawawezi kufanya kazi ya Mungu ni wadanganyifu.

Wanaojifanya kuwa Kristo hatimaye wataanguka,

ingawaje wanadai kuwa Kristo,

hawana kiini chochote cha Kristo.



Kristo sio tu udhihirisho wa Mungu duniani,

lakini mwili hasa uliochukuliwa na Mungu.

Anapotekeleza na kutimiza kazi Yake kati ya mwanadamu.

Mwili huu hauwezi kubadilishwa na mwanadamu yeyote tu.

Ila mwili unaoweza kutosha kubeba kazi ya Mungu duniani.

Na kuonyesha tabia ya Mungu,

na kumwakilisha Mungu vizuri na kumpa mwanadamu uzima.

Hivyo Mungu anasema kuwa uhalali wa Kristo, hauwezi kufafanuliwa na mwanadamu,

lakini unajibiwa na kuamuliwa na Mungu Mwenyewe.

Hivyo kama kwa kweli unataka kutafuta njia ya uzima,

lazima kwanza utambue, ni katika siku za mwisho ambapo Anakuja duniani,

kumpa mwanadamu njia ya uzima.

Sio zamani, sio zamani; inafanyika leo.

kutoka kwa Neno Laonekana katika Mwili

Jumapili, 30 Septemba 2018

Wimbo wa Injili | "Kusudi la Kazi ya Usimamizi ya Mungu ni Kumwokoa Binadamu" | Wema wa Mungu


Wimbo wa Injili | "Kusudi la Kazi ya Usimamizi ya Mungu ni Kumwokoa Binadamu" | Wema wa Mungu

Upendo na huruma za Mungu

hupenyeza kazi Yake

ya usimamizi kwa utondoti.


I

Ikiwa mwanadamu ahisi mapenzi Yake ya huruma au la,

Yeye hachoki kufuatilia kazi Anayohitaji kufanya.

Ikiwa mwanadamu aelewa usimamizi Wake au la,

kazi Yake huleta usaidizi na utoaji unaoweza kuhisiwa na wote.

Upendo na huruma za Mungu

hupenyeza kazi Yake

ya usimamizi kwa utondoti.


II

Pengine leo huhisi upendo na uzima Mungu anaokupa,

mradi tu huondoki katika upande Wake,

wala kuachilia mapenzi yako ya kutafuta ukweli,

hakika siku moja utaiona tabasamu ya Mungu.

Sababu kusudi la Mungu katika kazi Yake ya usimamizi

ni kumpokonya mwanadamu kutoka milki ya shetani

na sio kuwaacha waliopotoshwa na Shetani,

na kupinga mapenzi Yake.

Upendo na huruma za Mungu

hupenyeza kazi Yake

ya usimamizi kwa utondoti.


kutoka kwa Neno Laonekana katika Mwili

    Tufuate : Kanisa la Mwenyezi Mungu, Neno la Mwenyezi mungu