Jaweni na Upendo kwa Ajili ya Mungu | Muziki wa Akapela "Yasifu Maisha Mapya"

Kristo wa siku za mwisho ameonekana, akifanya kazi na kuzungumza miongini mwa wanadamu. Neno lake hutuhukumu, kutuadibu na kututakasa, likituongoza kwenye njia sahihi ya maisha ya binadamu.

Muziki wa Akapela "Tokeo Lililofikiwa kwa Kumjua Mungu" (Video Rasmi ya Muziki)

Hayuko katika upeo wa mbali, wala hajajificha juu mawinguni. Yuko kando yako, akiwa na mamlaka juu ya kila kitu chako, Yeye ni kila kitu ulicho nacho, na Yeye ni kitu pekee ulicho nacho.

Mwabudu Mungu kwa Roho na Ukweli | “Sauti ya Moyo ya Kiumbe Aliyeumbwa” (Video za Kikristo)

Mungu wa vitendo na wa kweli, upendo ndani ya moyo wangu. Mimi ni vumbi lakini ninaweza kuona uso Wako. Ninawezaje kukosa kukuabudu?

Mungu ndiye Mwanzo na tena Mwisho | Kwaya ya Injili

Mungu ndiye Mwanzo (Mungu ndiye Mwanzo) na Mwisho (na Mwisho); ni Yeye Mwenyewe Anayetekeleza kazi Yake na hivyo lazima iwe Yeye Mwenyewe Anayemaliza enzi ya kale. Huo ndio ushahidi kuwa Yeye humshinda Shetani (humshinda Shetani) na huishinda dunia, ushahidi kuwa Yeye huishinda dunia.

Nampenda Mungu kwa Moyo Wangu Wote | "Nitampenda Mungu Milele" Video Rasmi ya Muziki

Nitakupa Wewe upendo wa kweli, na sitakuacha Usubiri. Mimi nitakupa Wewe upendo safi, na tafadhali furahia upendo wangu. Nitakupa Wewe upendo wangu wote, na kukuacha upate upendo wangu. Nitakupenda Wewe kwa wakati wote; kukuridhisha Wewe ni matamanio yangu.

Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo wema-wa-mungu. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo wema-wa-mungu. Onyesha machapisho yote

Jumapili, 30 Septemba 2018

Wimbo wa Injili | "Kusudi la Kazi ya Usimamizi ya Mungu ni Kumwokoa Binadamu" | Wema wa Mungu


Wimbo wa Injili | "Kusudi la Kazi ya Usimamizi ya Mungu ni Kumwokoa Binadamu" | Wema wa Mungu

Upendo na huruma za Mungu

hupenyeza kazi Yake

ya usimamizi kwa utondoti.


I

Ikiwa mwanadamu ahisi mapenzi Yake ya huruma au la,

Yeye hachoki kufuatilia kazi Anayohitaji kufanya.

Ikiwa mwanadamu aelewa usimamizi Wake au la,

kazi Yake huleta usaidizi na utoaji unaoweza kuhisiwa na wote.

Upendo na huruma za Mungu

hupenyeza kazi Yake

ya usimamizi kwa utondoti.


II

Pengine leo huhisi upendo na uzima Mungu anaokupa,

mradi tu huondoki katika upande Wake,

wala kuachilia mapenzi yako ya kutafuta ukweli,

hakika siku moja utaiona tabasamu ya Mungu.

Sababu kusudi la Mungu katika kazi Yake ya usimamizi

ni kumpokonya mwanadamu kutoka milki ya shetani

na sio kuwaacha waliopotoshwa na Shetani,

na kupinga mapenzi Yake.

Upendo na huruma za Mungu

hupenyeza kazi Yake

ya usimamizi kwa utondoti.


kutoka kwa Neno Laonekana katika Mwili

    Tufuate : Kanisa la Mwenyezi Mungu, Neno la Mwenyezi mungu