Jaweni na Upendo kwa Ajili ya Mungu | Muziki wa Akapela "Yasifu Maisha Mapya"

Kristo wa siku za mwisho ameonekana, akifanya kazi na kuzungumza miongini mwa wanadamu. Neno lake hutuhukumu, kutuadibu na kututakasa, likituongoza kwenye njia sahihi ya maisha ya binadamu.

Muziki wa Akapela "Tokeo Lililofikiwa kwa Kumjua Mungu" (Video Rasmi ya Muziki)

Hayuko katika upeo wa mbali, wala hajajificha juu mawinguni. Yuko kando yako, akiwa na mamlaka juu ya kila kitu chako, Yeye ni kila kitu ulicho nacho, na Yeye ni kitu pekee ulicho nacho.

Mwabudu Mungu kwa Roho na Ukweli | “Sauti ya Moyo ya Kiumbe Aliyeumbwa” (Video za Kikristo)

Mungu wa vitendo na wa kweli, upendo ndani ya moyo wangu. Mimi ni vumbi lakini ninaweza kuona uso Wako. Ninawezaje kukosa kukuabudu?

Mungu ndiye Mwanzo na tena Mwisho | Kwaya ya Injili

Mungu ndiye Mwanzo (Mungu ndiye Mwanzo) na Mwisho (na Mwisho); ni Yeye Mwenyewe Anayetekeleza kazi Yake na hivyo lazima iwe Yeye Mwenyewe Anayemaliza enzi ya kale. Huo ndio ushahidi kuwa Yeye humshinda Shetani (humshinda Shetani) na huishinda dunia, ushahidi kuwa Yeye huishinda dunia.

Nampenda Mungu kwa Moyo Wangu Wote | "Nitampenda Mungu Milele" Video Rasmi ya Muziki

Nitakupa Wewe upendo wa kweli, na sitakuacha Usubiri. Mimi nitakupa Wewe upendo safi, na tafadhali furahia upendo wangu. Nitakupa Wewe upendo wangu wote, na kukuacha upate upendo wangu. Nitakupenda Wewe kwa wakati wote; kukuridhisha Wewe ni matamanio yangu.

Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Wimbo-wa-Maneno-ya-Mungum. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Wimbo-wa-Maneno-ya-Mungum. Onyesha machapisho yote

Ijumaa, 5 Oktoba 2018

Kusudi la Kazi ya Mungu la Usimamizi

Kusudi la Kazi ya Mungu la Usimamizi

Nyimbo za Neno la Mungu,  Kusudi la Kazi ya Mungu, Wimbo wa Maneno ya Mungum



Wimbo wa Maneno ya Mungu
Kusudi la Kazi ya Mungu la Usimamizi
I
Mungu ana mpango wa usimamizi wa miaka 6,000,
uliyogawanywa katika hatua tatu,
kila moja inaitwa enzi.
Kwanza ni Enzi ya Sheria, kisha Enzi ya Neema,
na Enzi ya Ufalme ni awamu ya mwisho.
Ingawa kazi ya Mungu ni tofauti katika kila moja,
yote inalingana na kile ambacho binadamu wanahitaji,
ama hasa inalingana na ujanja ambao Shetani anatumia,
anapopigana na Yeye.
Kusudi la Kazi ya Mungu ni kumshinda Shetani,
kufunua hekima ya Mungu na ukuu,
na kufichua ujanja wote wa Shetani,
hivyo kumwokoa mwanadamu kutoka kwa utawala wake,
hivyo kumwokoa mwanadamu kutoka kwa utawala wake.
II
Ni ili kufunua hekima ya Mungu na ukuu,
na kufichua upotovu mbaya wa Shetani,
kufunza viumbe kutofautisha mema na mabaya,
na kumjua Mtawala wa vitu vyote ni Mungu Mwenyewe.
Kuona wazi kuwa Shetani ni adui wa mwanadamu,
kuwa ni yule mwovu, mhalifu,
ili mwanadamu aweze kutofautisha mema na maovu,
ukweli na uongo,
utakatifu na uchafu, na makuu kutoka kwa ya chini.
Kusudi la Kazi ya Mungu ni kumshinda Shetani,
kufunua hekima ya Mungu na ukuu,
na kufichua ujanja wote wa Shetani,
hivyo kumwokoa mwanadamu kutoka kwa utawala wake,
hivyo kumwokoa mwanadamu kutoka kwa utawala wake.
Kumfanya binadamu pumbavu kuwa na ushuhuda Kwake:
Sio Mungu ndiye Alileta upotovu wa mwanadamu,
na ni Mungu Mwenyewe pekee, Bwana wa uumbaji,
Anayeweza kuweka vitu vya kufurahia
na kumletea mwanadamu wokovu.
Hii ni ili waweze kujua kuwa Mungu
ni Mtawala wa vitu vyote,
kuwa Shetani ni uumbaji Wake,
ambaye baadae alichagua kumgeuka.
III
Mpango wa Mungu wa miaka 6,000 wa usimamizi
umegawanywa katika hatua tatu,
ili yafuatayo yaweze kufikiwa:
kuruhusu viumbe Wake kuwa mashahidi Wake,
kujua mapenzi Yake, na kuona kuwa ukweli ni Yeye.
Kusudi la Kazi ya Mungu ni kumshinda Shetani,
kufunua hekima ya Mungu na ukuu,
na kufichua ujanja wote wa Shetani,
hivyo kumwokoa mwanadamu kutoka kwa utawala wake,
hivyo kumwokoa mwanadamu kutoka kwa utawala wake.

kutoka kwa Neno Laonekana katika Mwili

    Sikiliza zaidi:Kuhusu Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki Hutoka wapi?