Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo maisha. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo maisha. Onyesha machapisho yote
Jumanne, 11 Juni 2019
Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Sura ya 31
By ye.fengJuni 11, 2019maisha, mapenzi-ya-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, Ujenzi-wa-kanisa, VitabuNo comments

Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Sura ya 31
Ninawapenda wale wote wanaonitaka Mimi kwa dhati. Mkilenga kunipenda, hakika Nitawabariki kwa kiasi kikubwa. Je, mnaelewa nia Zangu? Katika nyumba Yangu, hakuna tofauti kati ya hali ya juu na chini. Kila mtu ni mwanangu, Mimi ni Baba yenu, Mungu wenu. Mimi ni mkuu na wa pekee. Ninadhibiti kila...
Jumapili, 12 Mei 2019
Matamshi ya Kristo wa Siku za Mwisho | “Mungu Mwenyewe, Yule wa Kipekee IX Mungu ni Chanzo cha Uhai kwa Vitu Vyote (III)” Sehemu ya Pili
By Mwenyezi Mungu ni Mchungaji WanguMei 12, 2019maisha, Neno-la-Mungu, siku-za-mwisho, Usomaji-wa-Maneno-ya Mwenyezi-Mungu, VideoNo comments

Matamshi ya Kristo wa Siku za Mwisho | “Mungu Mwenyewe, Yule wa Kipekee IX Mungu ni Chanzo cha Uhai kwa Vitu Vyote (III)” Sehemu ya Pili
Mwenyezi Mungu anasema, “Vitu vyote haviwezi kutenganishwa na kanuni ya Mungu, na hakuna mtu hata mmoja ambaye anaweza kujitenganisha kwenye kanuni Yake. Kupoteza kanuni Yake na kupoteza uangalizi wake...
Alhamisi, 14 Desemba 2017
Watiifu wa Kweli Hakika Watakubaliwa na Mungu | Matamshi ya Mwenyezi Mungu
By Suara TuhanDesemba 14, 2017maisha, Mungu, Neno-la-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, Roho-Mtakatifu, VitabuNo comments


Watiifu wa Kweli Hakika Watakubaliwa na Mungu | Matamshi ya Mwenyezi Mungu
Kazi ya Roho Mtakatifu inabadilika kutoka siku hadi siku, ikipanda juu kwa kila hatua; ufunuo wa kesho unakuwa hata juu kuliko wa leo, hatua kwa hatua ukikwea hata juu zaidi. Hii ndiyo kazi...