Jaweni na Upendo kwa Ajili ya Mungu | Muziki wa Akapela "Yasifu Maisha Mapya"

Kristo wa siku za mwisho ameonekana, akifanya kazi na kuzungumza miongini mwa wanadamu. Neno lake hutuhukumu, kutuadibu na kututakasa, likituongoza kwenye njia sahihi ya maisha ya binadamu.

Muziki wa Akapela "Tokeo Lililofikiwa kwa Kumjua Mungu" (Video Rasmi ya Muziki)

Hayuko katika upeo wa mbali, wala hajajificha juu mawinguni. Yuko kando yako, akiwa na mamlaka juu ya kila kitu chako, Yeye ni kila kitu ulicho nacho, na Yeye ni kitu pekee ulicho nacho.

Mwabudu Mungu kwa Roho na Ukweli | “Sauti ya Moyo ya Kiumbe Aliyeumbwa” (Video za Kikristo)

Mungu wa vitendo na wa kweli, upendo ndani ya moyo wangu. Mimi ni vumbi lakini ninaweza kuona uso Wako. Ninawezaje kukosa kukuabudu?

Mungu ndiye Mwanzo na tena Mwisho | Kwaya ya Injili

Mungu ndiye Mwanzo (Mungu ndiye Mwanzo) na Mwisho (na Mwisho); ni Yeye Mwenyewe Anayetekeleza kazi Yake na hivyo lazima iwe Yeye Mwenyewe Anayemaliza enzi ya kale. Huo ndio ushahidi kuwa Yeye humshinda Shetani (humshinda Shetani) na huishinda dunia, ushahidi kuwa Yeye huishinda dunia.

Nampenda Mungu kwa Moyo Wangu Wote | "Nitampenda Mungu Milele" Video Rasmi ya Muziki

Nitakupa Wewe upendo wa kweli, na sitakuacha Usubiri. Mimi nitakupa Wewe upendo safi, na tafadhali furahia upendo wangu. Nitakupa Wewe upendo wangu wote, na kukuacha upate upendo wangu. Nitakupenda Wewe kwa wakati wote; kukuridhisha Wewe ni matamanio yangu.

Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo kuandamana-na-Mungu. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo kuandamana-na-Mungu. Onyesha machapisho yote

Alhamisi, 6 Septemba 2018

Best Swahili Christian Music Video 2018 "Upendo kwa Mungu" | The Love of God Never Leaves Us


Best Swahili Christian Music Video 2018 "Upendo kwa Mungu" | The Love of God Never Leaves Us

I

Ee Bwana,

Nimefurahia nyingi ya neema Yako.

Kwa nini mimi daima huhisi tupu ndani?

Je, sijapata ukweli na uzima?


II

Kusoma maneno haya kunaweza kuyajibu maswali yako.

"Kristo wa siku za mwisho huleta uzima,

na huleta kudumu kwa njia ya kweli na ya milele.

Ukweli huu ni njia ambayo binadamu atapata uzima,

na njia pekee ambayo

mtu atajua Mungu na kuidhinishwa na Mungu.

Kama hutatafuta njia ya maisha inayotolewa na

Kristo wa siku za mwisho,

basi kamwe hutapata kibali cha Yesu,

na kamwe hutahitimu kuingia lango la ufalme wa mbinguni,

kwa ajili nyote ni makaragosi

na wafungwa wa historia" (Kitabu Chafunguliwa na Mwanakondoo).

Mwenyezi Mungu, Kristo wa siku za mwisho, ameonyesha ukweli wote

kutakasa, kuwaokoa wanadamu,

kumletea mwanadamu njia ya uzima wa milele.

Kwa kukubali na kutii kazi ya Mungu, kutenda na kupitia maneno Yake,

mwanadamu anaweza kuelewa ukweli na kupata uzima.


III

Mungu alinichagua kutoka katika bahari kubwa ya watu, na kupanga kwa njia ya kimiujiza kwamba nije upande Kwake.

Maneno Yake yenye fadhili yameupa moyo wangu upendo. Nikiwa na ukweli, naishi katika furaha isiyo na mwisho.

Sauti hiyo ya kawaida, sura hiyo nzuri havijabadilika tangu mwanzo.

Katika familia ya Mungu ninaonja utamu wa upendo Wake. Ninaegemea karibu na Yeye na sitaki kuondoka tena.

Bila Mungu, siku zilikuwa ngumu kustahimili.

Niliyumbayumba pamoja na kila hatua iliyojaa machungu.

Ni kwa ulinzi wa siri wa Mungu tu kwamba nilifikia leo.

Na sasa nikiwa na maneno ya Mungu upande wangu mimi nimeridhika.


IV

Muda unapopita yanakuja mabadiliko makubwa. Lakini hakuna chochote kitakachofuta moyoni mwangu upendo wangu kwa Mungu.

Ahadi ya maelfu ya miaka, kiapo kisichobadilika.

Baada ya mizunguko mingi ya maisha na kifo ninarudi upande wa Mungu.

Amepanda maisha moyoni mwangu. Maneno Yake yananilisha na kuninyunyizia maji.

Kupitia mateso na taabu maisha yangu yanazidi kuwa yenye nguvu.

Barabara mbaya na kushindwa ni misingi ya mafunzo kwangu.

Mungu hajawahi kuondoka upande wangu.

Kwa kimya, anajitolea kwa ajili ya binadamu kamwe bila neno la malalamiko.

Nitatupilia mbali tabia yangu potovu na nitatakaswa.

Kisha ninaweza kuandamana na Mungu milele.

Mungu hajawahi kuondoka upande wangu.

Kwa kimya, anajitolea kwa ajili ya binadamu kamwe bila neno la malalamiko.

Nitatupilia mbali tabia yangu potovu na nitatakaswa.

Kisha ninaweza kuandamana na Mungu milele.


kutoka kwa Mfuateni Mwanakondoo na Kuimba Nyimbo Mpya

    Tufuate : Kanisa la Mwenyezi MunguUmeme wa Mashariki