Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo wakati-wa-ufalme. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo wakati-wa-ufalme. Onyesha machapisho yote
Jumamosi, 14 Aprili 2018
Umeme wa Mashariki | Tamko la Nane
By UnknownAprili 14, 2018hukumu, Kumjua-Mungu, maneno-ya-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, Vitabu, wakati-wa-ufalmeNo comments
Mwenyezi Mungu alisema, Ufunuo Wangu unapofika kilele chake, na hukumu Yangu inapomalizika, utakuwa wakati ambapo watu Wangu wote wanafichuliwa na kufanywa wakamilifu. Nyayo Zangu hukanyaga kila pembe ya ulimwengu dunia katika hali ya kutafuta kwa kudumu wale wenye kupendeza moyo Wangu na wanafaa kwa matumizi Yangu. Nani anaweza kusimama na kushirikiana na Mimi? Upendo wa mwanadamu Kwangu ni mdogo mno na imani yake Kwangu ni ndogo ajabu. Kama sehemu kubwa ya maneno Yangu haingeelekezwa kwa udhaifu wa mwanadamu, angejigamba na kutia mambo chumvi, na angehubiri na kubuni nadharia zenye kuvutia, ni kama aliye na maarifa yote na anayejua yote kuhusu masuala duniani.