Jumapili, 14 Aprili 2019

Wimbo wa Kuabudu | "Sifa kwa Maisha Mapya katika Ufalme" | Watu wa Mungu Humsifu na Kumwabudu Mungu


Wimbo wa Kuabudu | "Sifa kwa Maisha Mapya katika Ufalme" | Watu wa Mungu Humsifu na Kumwabudu Mungu

Tumesikia sauti ya Mungu na kurudi nyumbani Kwake.
Mikutanoni tunakula na kunywa maneno ya Mungu, tunahudhuria karamu.
Sisi tunaaga huzuni na vifungo vyetu, tunaishi maisha mapya.
Tunapofungua mioyo yetu katika ushirika wa kweli, mioyo yetu inaangazwa sana.
Maneno ya Mungu yako nasi kila siku, tunastarehe ndani yake.
Tunaondolewa vizuizi na ubaguzi wetu, tunaishi ndani ya upendo wa Mungu.
Tunatafakari, kufikiri maneno ya Mungu, Roho Mtakatifu anatuangazia.
Tunaelewa moyo wa Mungu, sisi si hasi tena.
Tunaelewa ukweli na kuwekwa huru, mioyo yetu ni tamu kama asali.
Tunapendana, hakuna umbali kati yetu.
Tunaimba kwa sauti sifa zetu kwa Mungu, tunacheza na kucheza.
Tukiishi ndani ya maneno ya Mungu, tunaona uzuri Wake.
Tumechukua njia ya nuru maishani, haya yote ni mwongozo wa Mungu.
Kuinuliwa mbele ya kiti cha enzi cha Mungu ni furaha isiyo na kifani.
Tunasifu maisha yetu mapya katika ufalme, mioyo yetu kweli ni ya furaha.
Ni Mungu aliyetuokoa, tumekuwa watu wa Mungu.
Maneno ya Mungu ni yenye thamani sana, yote ni ukweli kabisa.
Tunajitafakaria, kujielewa, na kuwa na toba ya kweli.
Tunapokubali hukumu ya maneno ya Mungu, upotovu wetu unafunuliwa kabisa.
Kwa tabia fidhuli, tunakosa mantiki kweli.
Maneno ya Mungu hutupogoa na kutushughulikia, tumekuja kujijua wenyewe.
Kupitia hukumu na kuadibu, upotovu wetu unatakaswa.
Kila mmoja anatoa mwanga wake mwenyewe, mwali wake mwenyewe, kumtangaza na kumshuhudia Mungu.
Tunatupa tabia zetu potovu, tunakuwa wanadamu wapya.
Tunaweza kutekeleza wajibu wetu vizuri kulipa upendo wa Mungu.
Kila mmoja wetu anafanya sehemu yake, tunajitolea kwa Mungu.
Tunasimama imara katika ushuhuda kutimiza mapenzi ya Mungu.
Kuinuliwa mbele ya kiti cha enzi cha Mungu ni furaha isiyo na kifani.
Upendo safi na aminifu kwa Mungu ni wenye furaha na mtamu.
Tunaimba kwa sauti sifa zetu kwa Mungu, tunacheza na kucheza.
Tunasifu maisha yetu mapya katika ufalme, mioyo yetu kweli ni ya furaha.
Ni Mungu aliyetuokoa, tumekuwa watu wa Mungu.
Sisi huunga mioyo na mikono kushuhudia kwa Mungu.
Maneno ya Mungu yanatuhimiza, tunazidi kwenda mbele milele.
Tunaeneza injili ya ufalme, tusiogope kamwe ugumu au uchovu.
Katika mateso na majaribu, tunamwomba na kumtegemea Mungu.
Njia ni yenye mabonde na milima, lakini Mungu hufungua njia.
Tunapoelewa ukweli wa maneno ya Mungu, mioyo yetu hupata nguvu.
Sako kwa bako, mkono kwa mkono tunamshuhudia Mungu, tunajitoa
Kwake mwili na akili.
Tunasifu maisha yetu mapya katika ufalme, mioyo yetu kweli ni ya furaha.
Haijalishi ukubwa wa mateso yetu, tuko tayari sana.
Kwa mwongozo wa maneno ya Mungu, tunamshinda Shetani.
Tunampenda Mungu kweli, hatutajua kamwe.
Tumeliacha kabisa joka kuu jekundu, sisi ni askari washindi.
Tunashuhudia katika njia yetu ya upendo kwa Mungu, hatutarudi nyuma kamwe.
Tunaimba kwa sauti sifa zetu kwa Mungu, tunacheza na kucheza.
kutoka katika Mfuateni Mwanakondoo na Kuimba Nyimbo Mpya
Ni Mungu aliyetuokoa, tumekuwa watu wa Mungu.
Kuinuliwa mbele ya kiti cha enzi cha Mungu ni furaha isiyo na kifani.
Tunaimba kwa sauti sifa zetu kwa Mungu, tunacheza na kucheza.
Tunasifu maisha yetu mapya katika ufalme, mioyo yetu kweli ni ya furaha.
Ni Mungu aliyetuokoa, tumekuwa watu wa Mungu.
Kuinuliwa mbele ya kiti cha enzi cha Mungu ni furaha isiyo na kifani.

kutoka katika Mfuateni Mwanakondoo na Kuimba Nyimbo Mpya


Kujua zaidi:  Utangulizi wa programu ya Kanisa la Mwenyezi Mungu | Injili ya kurudi kwa Bwana Yesu. Umeme wa Mashariki Hutoka wapi?





0 评论:

Chapisha Maoni