Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Enzi-ya-Sheria. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Enzi-ya-Sheria. Onyesha machapisho yote
Jumatatu, 22 Oktoba 2018
Neno la Mungu | "Kazi katika Enzi ya Sheria" | How Did God Guide the Original Mankind?
By Kuhusu Umeme wa MasharikiOktoba 22, 2018Enzi-ya-Sheria, God-Guide-the-Original-Mankind, Neno-la-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, ushuhuda, VitabuNo comments

Neno la Mungu | "Kazi katika Enzi ya Sheria" | How Did God Guide the Original Mankind?
Kazi ambayo Yehova alifanya kwa Waisraeli ilianzisha mahali pa Mungu pa asili miongoni mwa binadamu, ambapo pia palikuwa pahali patakatifu ambapo Alikuwapo. Aliwekea kazi Yake mipaka kwa watu wa Israeli. Mwanzoni, Hakufanya kazi nje ya Israeli; badala yake,...
Jumanne, 18 Septemba 2018
Wimbo wa Maneno ya Mungu | "Kusudi la Kazi ya Mungu la Usimamizi" | The True Love of God for Man
By Kuhusu Umeme wa MasharikiSeptemba 18, 2018Enzi-ya-Neema, Enzi-ya-Sheria, Enzi-ya-Ufalme, Wimbo-wa-Maneno-ya-MunguNo comments

Wimbo wa Maneno ya Mungu| "Kusudi la Kazi ya Mungu la Usimamizi" | The True Love of God for Man
Mungu ana mpango wa usimamizi wa miaka 6,000,
uliyogawanywa katika hatua tatu, kila moja inaitwa enzi.
Kwanza ni Enzi ya Sheria, kisha Enzi ya Neema, na Enzi ya Ufalme ni awamu ya mwisho.
Ingawa kazi ya Mungu ni tofauti katika kila moja,
yote...