Jaweni na Upendo kwa Ajili ya Mungu | Muziki wa Akapela "Yasifu Maisha Mapya"

Kristo wa siku za mwisho ameonekana, akifanya kazi na kuzungumza miongini mwa wanadamu. Neno lake hutuhukumu, kutuadibu na kututakasa, likituongoza kwenye njia sahihi ya maisha ya binadamu.

Muziki wa Akapela "Tokeo Lililofikiwa kwa Kumjua Mungu" (Video Rasmi ya Muziki)

Hayuko katika upeo wa mbali, wala hajajificha juu mawinguni. Yuko kando yako, akiwa na mamlaka juu ya kila kitu chako, Yeye ni kila kitu ulicho nacho, na Yeye ni kitu pekee ulicho nacho.

Mwabudu Mungu kwa Roho na Ukweli | “Sauti ya Moyo ya Kiumbe Aliyeumbwa” (Video za Kikristo)

Mungu wa vitendo na wa kweli, upendo ndani ya moyo wangu. Mimi ni vumbi lakini ninaweza kuona uso Wako. Ninawezaje kukosa kukuabudu?

Mungu ndiye Mwanzo na tena Mwisho | Kwaya ya Injili

Mungu ndiye Mwanzo (Mungu ndiye Mwanzo) na Mwisho (na Mwisho); ni Yeye Mwenyewe Anayetekeleza kazi Yake na hivyo lazima iwe Yeye Mwenyewe Anayemaliza enzi ya kale. Huo ndio ushahidi kuwa Yeye humshinda Shetani (humshinda Shetani) na huishinda dunia, ushahidi kuwa Yeye huishinda dunia.

Nampenda Mungu kwa Moyo Wangu Wote | "Nitampenda Mungu Milele" Video Rasmi ya Muziki

Nitakupa Wewe upendo wa kweli, na sitakuacha Usubiri. Mimi nitakupa Wewe upendo safi, na tafadhali furahia upendo wangu. Nitakupa Wewe upendo wangu wote, na kukuacha upate upendo wangu. Nitakupenda Wewe kwa wakati wote; kukuridhisha Wewe ni matamanio yangu.

Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Enzi-ya-Sheria. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Enzi-ya-Sheria. Onyesha machapisho yote

Jumatatu, 22 Oktoba 2018

Neno la Mungu | "Kazi katika Enzi ya Sheria" | How Did God Guide the Original Mankind?


Neno la Mungu | "Kazi katika Enzi ya Sheria" | How Did God Guide the Original Mankind?

Kazi ambayo Yehova alifanya kwa Waisraeli ilianzisha mahali pa Mungu pa asili miongoni mwa binadamu, ambapo pia palikuwa pahali patakatifu ambapo Alikuwapo. Aliwekea kazi Yake mipaka kwa watu wa Israeli. Mwanzoni, Hakufanya kazi nje ya Israeli; badala yake, Aliwachagua watu Aliowaona kuwa wa kufaa ili kuzuia eneo la kazi Yake. Israeli ni mahali ambapo Mungu aliwaumba Adamu na Hawa, na kutoka katika mavumbi ya mahali hapo Yehova alimuumba mwanadamu; mahali hapa pakawa kituo cha kazi Yake duniani. Waisraeli, ambao walikuwa wa ukoo wa Nuhu na pia wa ukoo wa Adamu, walikuwa msingi wa kibinadamu wa kazi ya Yehova duniani.

Jumanne, 18 Septemba 2018

Wimbo wa Maneno ya Mungu | "Kusudi la Kazi ya Mungu la Usimamizi" | The True Love of God for Man


Wimbo wa Maneno ya Mungu| "Kusudi la Kazi ya Mungu la Usimamizi" | The True Love of God for Man

Mungu ana mpango wa usimamizi wa miaka 6,000,

uliyogawanywa katika hatua tatu, kila moja inaitwa enzi.

Kwanza ni Enzi ya Sheria, kisha Enzi ya Neema, na Enzi ya Ufalme ni awamu ya mwisho.

Ingawa kazi ya Mungu ni tofauti katika kila moja,

yote inalingana na kile ambacho binadamu wanahitaji,

ama hasa inalingana na ujanja ambao Shetani anatumia, anapopigana na Yeye.

Kusudi la Kazi ya Mungu ni kumshinda Shetani,

kufunua hekima ya Mungu na ukuu,

na kufichua ujanja wote wa Shetani,

hivyo kumwokoa mwanadamu kutoka kwa utawala wake,

hivyo kumwokoa mwanadamu kutoka kwa utawala wake.

Ni ili kufunua hekima ya Mungu na ukuu,

na kufichua upotovu mbaya wa Shetani,

kufunza viumbe kutofautisha mema na mabaya,

na kumjua Mtawala wa vitu vyote ni Mungu Mwenyewe.

Kuona wazi kuwa Shetani ni adui wa mwanadamu, kuwa ni yule mwovu, mhalifu,

ili mwanadamu aweze kutofautisha mema na maovu, ukweli na uongo,

utakatifu na uchafu, na makuu kutoka kwa ya chini.

Kusudi la Kazi ya Mungu ni kumshinda Shetani,

kufunua hekima ya Mungu na ukuu,

na kufichua ujanja wote wa Shetani,

hivyo kumwokoa mwanadamu kutoka kwa utawala wake,

hivyo kumwokoa mwanadamu kutoka kwa utawala wake.

Kumfanya binadamu pumbavu kuwa na ushuhuda Kwake:

Sio Mungu ndiye Alileta upotovu wa mwanadamu,

na ni Mungu Mwenyewe pekee, Bwana wa uumbaji,

Anayeweza kuweka vitu vya kufurahia na kumletea mwanadamu wokovu.

Hii ni ili waweze kujua kuwa Mungu ni Mtawala wa vitu vyote,

kuwa Shetani ni uumbaji Wake, ambaye baadae alichagua kumgeuka.

Mpango wa Mungu wa miaka 6,000 wa usimamizi umegawanywa katika hatua tatu,

ili yafuatayo yaweze kufikiwa:

kuruhusu viumbe Wake kuwa mashahidi Wake,

kujua mapenzi Yake, na kuona kuwa ukweli ni Yeye.

Kusudi la Kazi ya Mungu ni kumshinda Shetani,

kufunua hekima ya Mungu na ukuu,

na kufichua ujanja wote wa Shetani,

hivyo kumwokoa mwanadamu kutoka kwa utawala wake,

hivyo kumwokoa mwanadamu kutoka kwa utawala wake.

kutoka kwa Neno Laonekana katika Mwili

Umeme wa Mashariki, Kanisa la Mwenyezi Mungu lilianzishwa kwa sababu ya kuonekana na kazi ya Mwenyezi Mungu, ujio wa pili wa Bwana Yesu, Kristo wa siku za mwisho. Linashirikisha wale wote ambao wanaikubali kazi ya Mwenyezi Mungu katika siku za mwisho na ambao wameshindwa na kuokolewa kwa maneno Yake. Liliasisiwa kikamilifu na Mwenyezi Mungu mwenyewe na linaongozwa naye kama Mchungaji. Kwa hakika halikuanzishwa na mtu. Kristo ni ukweli, njia, na uzima. Kondoo wa Mungu husikia sauti ya Mungu. Mradi unasoma maneno ya Mwenyezi Mungu, utaona kuwa Mungu ameonekana.