Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Dondoo-ya-Filamu. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Dondoo-ya-Filamu. Onyesha machapisho yote
Jumamosi, 10 Novemba 2018
Muziki wa Injili "Umuhimu wa Mungu Kumsimamia Binadamu" | God Is Salvation to Man
By Kuhusu Umeme wa MasharikiNovemba 10, 2018Dondoo-ya-Filamu, Kanisa-la-Mwenyezi-Mungu, Mungu-anamsimamia-mwanadamu, Muziki-wa-Injili, umuhimu-wa-Mungu-Kumsimamia, VideoNo comments

Muziki wa Injili "Umuhimu wa Mungu Kumsimamia Binadamu" | God Is Salvation to Man
Usimamizi wa Mungu ni ili kuwapata binadamu
wanaomwabudu na kumtii Yeye.
Ingawa wamepotoshwa na Shetani, hawamwiti baba tena.
Wanajua ubaya wa Shetani, hivyo wanamkataa.
Wanakuja mbele ya Mungu, wanakubali adabu na hukumu.
Wanajua kile kilicho kibaya, na...
Jumanne, 2 Januari 2018
Dondoo ya Filamu ya Bwana Wangu Ni Nani – Yote kuhusu Mjadala wa “Iwapo Biblia Inatiwa Msukumo na Mungu”
By Suara TuhanJanuari 02, 2018Biblia, Dondoo-ya-Filamu, Mungu, Video, Video-za-hivi-pundeNo comments


Kwa miaka elfu mbili, dunia ya kidini imetegemea kile alichosema Paulo kuhusu Biblia kutiwa msukumo na Mungu na daima iliamini kwamba “Biblia ni maneno ya Mungu,” na “Biblia inamwakilisha Bwana.” Je, mawazo haya ni sahihi? Video hii itafichua majibu kwako!
Umeme wa Mashariki,...
Jumapili, 31 Desemba 2017
Dondoo ya Filamu ya Bwana Wangu Ni Nani – Ni nini uhusiano kati ya Mungu na Biblia?
By Suara TuhanDesemba 31, 2017Biblia, Bwana-Yesu, Dondoo-ya-Filamu, Kazi-ya-Mungu, Video-za-hivi-punde, Video-za-InjiliNo comments


Kwa miaka elfu mbili, tumemwamini Bwana kulingana na Biblia, na wengi wetu sana huamini “Biblia inamwakilisha Bwana, kumwamini Mungu ni kuamini Biblia, kuamini Biblia ni kumwamini Mungu,” Je, mawazo haya ni sahihi? Kumwamini Mungu kunamaanisha nini kwa kweli? Kunamaanisha...
Jumamosi, 30 Desemba 2017
Dondoo ya Filamu ya Bwana Wangu Ni Nani – Je, Kazi na Maneno Yote ya Mungu Yamo katika Biblia?
By Suara TuhanDesemba 30, 2017Biblia, Dondoo-ya-Filamu, maneno-ya-Mungu, Video, Video-za-hivi-pundeNo comments


Dunia nzima ya kidini yote huamini kwamba kazi na maneno ya Mungu yote yamo katika Biblia, na kwamba isipokuwa Biblia, hakuna maneno yaliyonenwa na Mungu na kazi Yake. Kwa hiyo, ili mradi uko mwaminifu kwa Biblia, hili litahakikisha kwamba utaweza kuingia ufalme wa mbinguni....
Alhamisi, 28 Desemba 2017
Dondoo ya Filamu ya Bwana Wangu Ni Nani-Kanisa la Ukiwa Linatiwa Nguvu

Baada ya ndugu katika pahali pa mkutano pa kanisa la Mzee wa Kanisa Liu Zhizhong kutupilia mbali pingu za Biblia, walisoma mtandaoni kuhusu kazi ya Mwenyezi Mungu katika siku za mwisho. Kwa kusoma maneno ya Mwenyezi Mungu, walistawishwa kwa maji hai ya maisha, na waliweza...