
Ijumaa, 31 Mei 2019
Maneno ya Mungu | Sura ya 21
By Mwenyezi Mungu ni Mchungaji WanguMei 31, 2019kazi-ya-Roho-Mtakatifu, maneno-ya-Mungu, Maombi, Neno-Laonekana-katika-Mwili, VitabuNo comments


Maneno ya Mungu | Sura ya 21
Kazi ya Roho Mtakatifu sasa imewaleta katika mbingu mpya na dunia mpya. Kila kitu kinaendelea kufanywa upya, kila kitu ki mikononi Mwangu, kinarudi ulingoni! Kwa dhana zao, watu wanashindwa kulifikiria kwa makini, na kwao haina maana,...
Alhamisi, 30 Mei 2019
By Mwenyezi Mungu ni Mchungaji WanguMei 30, 2019maneno-ya-Mungu, Mfuateni-Mwanakondoo-na-Kuimba-Nyimbo-Mpya, Upendo-wa-Mungu, Video, Wimbo-wa-KuabuduNo comments

Wimbo wa Kuabudu | "Sifa kwa Maisha Mapya katika Ufalme" | Watu wa Mungu Humsifu na Kumwabudu Mungu
Tumesikia sauti ya Mungu na kurudi nyumbani Kwake.
Mikutanoni tunakula na kunywa maneno ya Mungu, tunahudhuria karamu.
Sisi tunaaga huzuni na vifungo vyetu, tunaishi maisha mapya.
Maneno ya Mungu yako nasi kila siku, tunastarehe ndani...
Jumatano, 29 Mei 2019
Maneno ya Mungu | Sura ya 20
By Mwenyezi Mungu ni Mchungaji WanguMei 29, 2019kanisa, kazi-ya-Roho-Mtakatifu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, Ukweli, VitabuNo comments


Maneno ya Mungu | Sura ya 20
Kazi ya Roho Mtakatifu hushina mbele, ikiwaleta nyinyi ndani ya eneo mpya kabisa, ambayo ni kwamba hali halisi ya maisha ya ufalme imejitokeza mbele yako. Maneno ambayo yamesemwa na Roho Mtakatifu moja kwa moja yamefichua ukina ulio ndani...
Jumanne, 28 Mei 2019
Matamshi ya Kristo | Sura ya 19
By Mwenyezi Mungu ni Mchungaji WanguMei 28, 2019hukumu, kanisa, kazi-ya-Roho-Mtakatifu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, VitabuNo comments


Matamshi ya Kristo | Sura ya 19
Kazi ya Roho Mtakatifu inapoendelea mbele, Mungu kwa mara nyingine tena ametuingiza katika mbinu mpya ya kazi ya Roho Mtakatifu. Matokeo yake, haiepukiki kwamba baadhi ya watu wamenielewa Mimi vibaya na kufanya malalamiko Kwangu. Wengine...
Jumatatu, 27 Mei 2019
Sauti ya Mungu | Sura ya 18
By Mwenyezi Mungu ni Mchungaji WanguMei 27, 2019kanisa, kazi-ya-Roho-Mtakatifu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, sauti-ya-Mungu, VitabuNo comments


Sauti ya Mungu | Sura ya 18
Kujenga kanisa si kitu rahisi cha kufanya! Niliweka moyo Wangu wote katika kulijenga na Shetani angefanya kila kitu ingeweza kuibomoa. Kama unataka kujengwa lazima uwe na maono; lazima uishi maisha kwa Mimi, kuwa shahidi wa Kristo, shikilia...
Jumapili, 26 Mei 2019
Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Sura ya 17
By Mwenyezi Mungu ni Mchungaji WanguMei 26, 2019kanisa, kazi-ya-Roho-Mtakatifu, maneno-ya-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, VitabuNo comments


Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Sura ya 17
Kanisa linajengwa na Shetani anajaribu kwa uwezo wake kulibomoa. Anataka kubomoa ujenzi Wangu kwa njia yoyote iwezekanayo, kwa hivyo, lazima kanisa litakaswe kwa haraka. Lazima kusiwe na makapi au mabaki yoyote maovu; lazima litakaswe...
Jumamosi, 25 Mei 2019
Maneno ya Mungu | Sura ya 16
By Mwenyezi Mungu ni Mchungaji WanguMei 25, 2019kazi-ya-Roho- Mtakatifu, maneno-ya-Mungu, Neno-la-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, VitabuNo comments


Maneno ya Mungu | Sura ya 16
Baada ya ushuhudiaji wa Mwana wa Adamu, Mwenyezi Mungu alijifichua kwetu hadharani kama Jua la haki. Haya ndiyo mabadiliko mlimani! Sasa inakuwa halisi zaidi na zaidi, na zaidi kuwa jambo la uhalisi. Tumeona utaratibu wa kazi ya Roho Mtakatifu,...
Ijumaa, 24 Mei 2019
Wimbo wa Injili | "Toa Akili na Mwili ili Kutimiza Agizo la Mungu" | The Great Mission of Christians
By Mwenyezi Mungu ni Mchungaji WanguMei 24, 2019mapenzi-ya-Mungu, Mfuateni-Mwanakondoo-na-Kuimba-Nyimbo Mpya, Nyimbo, Wimbo-wa-Injili, wimbo-wa-KikristoNo comments

Wimbo wa Injili | "Toa Akili na Mwili ili Kutimiza Agizo la Mungu" | The Great Mission of Christians
I
Kama washiriki wa jamii ya wanadamu,
kama wafuasi wa Kristo wa dhati,
ni wajibu wetu, ni jukumu letu
kutoa akili zetu na miili yetu
kwa kutimiza agizo la Mungu.
Kwa maana asili yetu yote ilitoka kwa Mungu,
na twaishi, kwa ajili ya...
Alhamisi, 23 Mei 2019
Sauti ya Mungu | Sura ya 15
By Mwenyezi Mungu ni Mchungaji WanguMei 23, 2019hukumu, Kristo, Neno-Laonekana-katika-Mwili, sauti-ya-Mungu, VitabuNo comments


Sauti ya Mungu | Sura ya 15
Kuonekana kwa Mungu tayari kumetokea katika makanisa yote. Roho ndiyo anayeongea, Yeye ni moto mkali, Yeye hubeba uadhama na Anahukumu; Yeye ni Mwana wa Adamu, liyevaa vazi lililofika kwa miguu, na kufungwa mshipi kwenye matiti na ukanda...
Jumatano, 22 Mei 2019
Matamshi ya Kristo | Sura ya 14
By Mwenyezi Mungu ni Mchungaji WanguMei 22, 2019kazi-ya-Roho-Mtakatifu, maneno-ya-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, Ukweli, VitabuNo comments


Matamshi ya Kristo | Sura ya 14
Hapana muda wa kupoteza sasa. Roho Mtakatifu hutumia njia nyingi tofauti za kutuongoza katika maneno ya Mungu na kututayarisha na ukweli wote, kutakaswa, kuwa na undani wa kweli na ushirikiano na Mimi; huruhusiwi nafasi yoyote ya kuchagua....
Jumanne, 21 Mei 2019
Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Sura ya 13
By Mwenyezi Mungu ni Mchungaji WanguMei 21, 2019kazi-ya-Roho-Mtakatifu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, Ukweli, ushuhuda, VitabuNo comments


Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Sura ya 13
Katika hali yenu ya sasa nyinyi hushika dhana ya "kibinafsi"zaidi kupindukia, na madakizo ya dini ni mazito kiasi. Mmeshindwa kutenda katika roho, hamuwezi kufahamu kazi ya Roho Mtakatifu, na mmekataa mwanga mpya. Huoni jua wakati...
Jumatatu, 20 Mei 2019
Maneno ya Mungu | Sura ya 12
By Mwenyezi Mungu ni Mchungaji WanguMei 20, 2019hukumu, kazi-ya-Roho-Mtakatifu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, Upendo-wa-Mungu, VitabuNo comments


Maneno ya Mungu | Sura ya 12
Ikiwa una tabia ambayo si thabiti, nyepesi kuhamaki kama upepo au mvua, kama huwezi kuendelea kusonga mbele, basi fimbo Yangu haitakuwa mbali na wewe. Unaposhughulikiwa, kadiri hali ilivyo mbaya zaidi, na kadiri unavyoteswa zaidi, ndivyo...