Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Kikristo. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Kikristo. Onyesha machapisho yote
Jumatatu, 17 Desemba 2018
Best Swahili Full Christian Movie | "Wimbo wa Ushindi" | Preaching the Gospel of the Last Days
By UnknownDesemba 17, 2018Injili, Kanisa-la-Mwenyezi-Mungu, Kikristo, Mateso-ya-Kidini, sinema-za-Kikristo, VideoNo comments

Best Swahili Full Christian Movie | "Wimbo wa Ushindi" | Preaching the Gospel of the Last Days
Kazi ya hukumu ya Mwenyezi Mungu katika siku za mwisho imevuma katika kila farakano na kikundi. Kufuatia kuenea kwa injili ya ufalme, maneno ya Mwenyezi Mungu yanakubaliwa na kuenezwa na watu zaidi na zaidi, waumini wa kweli katika Mungu ambao...
Alhamisi, 23 Agosti 2018
Sura ya 35. Jinsi ya Kuishika Njia ya Petro
By Kuhusu Umeme wa MasharikiAgosti 23, 2018kanisa, Kikristo, kufuatilia-ukweli, Njia-ya-Petro, YesuNo comments


Sura ya 35. Jinsi ya Kuishika Njia ya Petro
Kufanya muhtasari wa kuishika njia ya Petro, ni kuishika njia ya kufuatilia ukweli, ambayo pia ni njia ya kujijua na kubadilisha tabia ya mtu. Ni kwa kuishika tu njia ya Petro ndio mtu atakuwa anashika njia ya kukamilishwa...
Jumapili, 22 Julai 2018
Video ya Kiswahili ya Ushuhuda wa Kikristo "Mungu Ndiye Nguvu ya Maisha Yangu"
By Kuhusu Umeme wa MasharikiJulai 22, 2018Filamu-za-Kikristo, Kanisa-la-Mwenyezi-Mungu, Kikristo, Umeme-wa-MasharikiNo comments

Video ya Kiswahili ya Ushuhuda wa Kikristo "Mungu Ndiye Nguvu ya Maisha Yangu" | Jinsi Wakristo Humtegemea Mungu Kushinda
Fang Jin ni Mkristo. Alikamatwa na serikali ya CCP kwenye mkusanyiko. Ili kumlazimisha kuwataja ndugu zake wa kike na kiume na kumsaliti Mungu, polisi walimnyima chakula, maji na usingizi kwa siku saba mchana na siku sita...
Jumapili, 4 Februari 2018
Swahili Gospel Video "Kanisa la Nafsi Tatu ni Mwavuli Wangu"
Swahili Gospel Video "Kanisa la Nafsi Tatu ni Mwavuli Wangu"
Wakati mmoja, serikali ya Kikomunisti ya Uchina iliwakamata Wakristo wengi wa Kanisa la Mwenyezi Mungu kutoka mahali fulani usiku wa manane. Jambo hili lilisababisha ghasia kubwa mahali hapo. Lilichochea majadiliano miongoni mwa washirika wa Kanisa la Nafsi Tatu. Watu wengine waliamini...
Alhamisi, 1 Februari 2018
Kanisa la Mwenyezi Mungu | Maoni Wanayopaswa Kushikilia Waumini
By UnknownFebruari 01, 2018Kikristo, kumfuata-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, Ukweli, VitabuNo comments

Maoni Wanayopaswa Kushikilia Waumini
Ni kitu gani ambacho mwanadamu amepokea tangu alipomwamini Mungu mara ya kwanza? Umejua kitu gani kumhusu Mungu? Umebadilika kiasi gani kwa sababu ya imani yako kwa Mungu? Sasa mnajua nyote ya kwamba imani ya mwanadamu katika Mungu si kwa ajili ya wokovu wa roho na ustawi wa mwili tu, wala si kuimarisha...