Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Video-za-Nyimbo-na-Ngoma. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Video-za-Nyimbo-na-Ngoma. Onyesha machapisho yote
Jumapili, 18 Machi 2018
Upendo wa Mungu | "Kama Nisingeokolewa na Mungu" | Swahili Gospel Music Video
Kama nisingeokolewa na Mungu, ningekuwa bado nazurura ulimwenguni humu,
nikipambana kwa bidii na maumivu katika dhambi; kila siku huwa ya taabu isiyo na tarajio.
Kama nisingeokolewa na Mungu, bado ningekuwa nimepondwa chini ya miguu ya shetani,
kama nimenaswa katika dhambi na starehe zake, bila kujua maisha yangu yangekuwaje.
Kama nisingeokolewa na Mungu, nisingekuwa na baraka zangu leo,
wala kujua kwa nini sisi tuendelee kuishi ama maana ya maisha yetu.
Kama nisingeokolewa na Mungu, bado ningekuwa nimechanganywa kuhusu imani yangu,
nikiwa ningali katika nafasi tupu nikisukuma siku, bila kujua imani yangu iwe kwa nani.
Hatimaye nimeelewa mikono ya upendo ya Mungu imeshika yangu safarini.
Sitaweza kwenda na kupotea njia kwa sababu niko kwa mwendo huu mwangavu kukaa.
Hatimaye nimeelewa dhamira ya Mungu, yenye ari kwa mtu.
Fikra danganyifu kuondolewa kabisa, nitampa Mungu mwili wangu na roho yangu.
Kama nisingeokolewa na Mungu, nisingekuwa na baraka zangu hapa leo,
wala kujua kwa nini sisi tuendelee kuishi ama maana ya maisha yetu.
Kama nisingeokolewa na Mungu, bado ningekuwa nimechanganywa kuhusu imani yangu,
nikiwa ningali katika nafasi tupu nikisukuma siku, bila kujua imani yangu iwe kwa nani.
Hatimaye nimeelewa mkono wa upendo wa Mungu umeushika wangu safarini.
Sitaweza kwenda na kupotea njia kwa sababu niko kwa mwendo huu mwangavu kukaa.
Hatimaye nimeelewa dhamira ya Mungu, yenye ari kwa mtu.
Fikra danganyifu kuondolewa kabisa, nitampa Mungu mwili wangu na roho yangu.
kutoka kwa Mfuateni Mwanakondoo na Kuimba Nyimbo Mpya
Utukufu wote Uwe kwa Mwenyezi Mungu!
Kujua zaidi: Kuhusu Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki
Jumanne, 13 Machi 2018
Ngoma ya Kikristo | Swahili Worship Song "Ufalme wa Kristo Unapatikana Miongoni mwa Wanadamu"
By UnknownMachi 13, 2018kupata-mwili, siku-za-mwisho, ushindi, Video, Video-za-Nyimbo-na-Ngoma, watu-wa-MunguNo comments
Ngoma ya Kikristo | Swahili Worship Song "Ufalme wa Kristo Unapatikana Miongoni mwa Wanadamu"
Mwenyezi Mungu mwenye mwili
Anaonekana katika siku za mwisho Mashariki,
kama tu vile jua la haki likichomoza;
mwanadamu ameona mwanga wa kweli ukionekana.
Mungu wa haki na mwenye uadhama, mwenye upendo na huruma
Anajificha kwa unyenyekevu miongoni mwa wanadamu,
Akitoa ukweli, kuzungumza na kufanya kazi.
Mwenyezi Mungu yuko uso kwa uso nasi.
Mungu uliyekuwa na kiu naye, Mungu niliyemngoja,
leo anaonekana kwetu kwa utendaji.
Tuliutafuta ukweli, tulitamani sana haki;
ukweli na haki vimekuja miongoni mwa wanadamu.
Unampenda Mungu, nampenda Mungu;
mwanadamu amejaa sana matumaini mapya.
Watu wanatii, mataifa yanamwabudu
Mungu mwenye mwili wa utendaji.
II
Mwenyezi Mungu huonyesha ukweli na kuleta hukumu,
Akifichua tabia ya Mungu yenye haki.
Kwa hukumu, kuadibu na majaribu ya maneno,
Anashinda na kukamilisha kikundi cha washindi.
Maneno ya Mungu, ya gadhabu na uadhama,
yanahukumu na kuutakasa uovu wa mwanadamu,
yakiharibu kabisa enzi ya giza.
Ukweli na haki vinatawala duniani.
Dunia yote inashangilia, watu wote wanafurahia;
Tabenakulo ya Mungu inawasili miongoni mwa wanadamu.
Ulimwengu unatikisika na mataifa yanaabudu,
Mapenzi ya Mungu yanatekelezwa duniani.
Dunia yote inashangilia, watu wote wanafurahia;
Tabenakulo ya Mungu inawasili miongoni mwa wanadamu.
Ulimwengu unatikisika na mataifa yanaabudu,
Mapenzi ya Mungu yanatekelezwa duniani.
Ufalme wa Kristo unapatikana miongoni mwa wanadamu.
Kutoka kwa Mfuateni Mwanakondoo na Kuimba Nyimbo Mpya
Anaonekana katika siku za mwisho Mashariki,
kama tu vile jua la haki likichomoza;
mwanadamu ameona mwanga wa kweli ukionekana.
Mungu wa haki na mwenye uadhama, mwenye upendo na huruma
Anajificha kwa unyenyekevu miongoni mwa wanadamu,
Akitoa ukweli, kuzungumza na kufanya kazi.
Mwenyezi Mungu yuko uso kwa uso nasi.
Mungu uliyekuwa na kiu naye, Mungu niliyemngoja,
leo anaonekana kwetu kwa utendaji.
Tuliutafuta ukweli, tulitamani sana haki;
ukweli na haki vimekuja miongoni mwa wanadamu.
Unampenda Mungu, nampenda Mungu;
mwanadamu amejaa sana matumaini mapya.
Watu wanatii, mataifa yanamwabudu
Mungu mwenye mwili wa utendaji.
II
Mwenyezi Mungu huonyesha ukweli na kuleta hukumu,
Akifichua tabia ya Mungu yenye haki.
Kwa hukumu, kuadibu na majaribu ya maneno,
Anashinda na kukamilisha kikundi cha washindi.
Maneno ya Mungu, ya gadhabu na uadhama,
yanahukumu na kuutakasa uovu wa mwanadamu,
yakiharibu kabisa enzi ya giza.
Ukweli na haki vinatawala duniani.
Dunia yote inashangilia, watu wote wanafurahia;
Tabenakulo ya Mungu inawasili miongoni mwa wanadamu.
Ulimwengu unatikisika na mataifa yanaabudu,
Mapenzi ya Mungu yanatekelezwa duniani.
Dunia yote inashangilia, watu wote wanafurahia;
Tabenakulo ya Mungu inawasili miongoni mwa wanadamu.
Ulimwengu unatikisika na mataifa yanaabudu,
Mapenzi ya Mungu yanatekelezwa duniani.
Ufalme wa Kristo unapatikana miongoni mwa wanadamu.
Kutoka kwa Mfuateni Mwanakondoo na Kuimba Nyimbo Mpya
Kujua zaidi: Kuhusu Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki